Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Serikali ya Libya yakomboa eneo jengine muhimu la kiistratijia

    Serikali ya Libya yakomboa eneo jengine muhimu la kiistratijia

    May 31, 2016 03:19

    Vikosi maalumu vya kulinda taasisi za mafuta nchini Libya vimefanikiwa kulikomboa eneo moja la kiistratijia mashariki mwa mji wa bandari wa Sirte wa kaskazini mwa nchi hiyo, kutoka mikono mwa kundi la kigaidi la ISIS yaani Daesh.

  • Wahajiri 700 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    Wahajiri 700 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    May 29, 2016 09:34

    Mamia ya wahajiri wamepoteza maisha baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Libya katika muda wa siku chache zilizopita.

  • Uingereza yataka fukwe za Libya zizingirwe

    Uingereza yataka fukwe za Libya zizingirwe

    May 28, 2016 11:31

    Kamanda wa zamani wa jeshi la majini la Uingereza ametaka fukwe za Libya zizingirwe kila upande.

  • Meli ya Kivita ya Uingereza yaelekea Libya kuzuia wahamiaji

    Meli ya Kivita ya Uingereza yaelekea Libya kuzuia wahamiaji

    May 27, 2016 02:48

    Uingereza imetangaza kuwa itatuma meli ya kivita nchini Libya kuzuia wahamiaji wa kigeni ambao wanatumia pwani ya nchi hiyo kuvuka Bahari ya Mediterranean na kuiniga Ulaya kinyume cha sheria.

  • Tetesi za kuingia kwa mara nyingine NATO nchini Libya

    Tetesi za kuingia kwa mara nyingine NATO nchini Libya

    May 26, 2016 02:27

    Sambamba na kuongezeka matatizo ya kiusalama Libya, kuna taarifa kuwa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO linapanga kuingilia tena kijeshi katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Libya yauomba Umoja wa Ulaya uisaidie kulinda fukwe zake

    Libya yauomba Umoja wa Ulaya uisaidie kulinda fukwe zake

    May 23, 2016 06:42

    Serikali ya Libya imeuomba Umoja wa Ulaya uisaidie kulinda fukwe zake kupitia kutoa mafunzo kwa jeshi la majini la nchi hiyo.

  • Khalifa Haftar: Ulaya haiupi uzito utulivu na usalama nchini Libya

    Khalifa Haftar: Ulaya haiupi uzito utulivu na usalama nchini Libya

    May 18, 2016 22:21

    Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Libya amesema, ana wasiwasi na siasa za nchi za Ulaya kuhusiana na Libya na inaonekana kuwa nchi hizo hazilipi uzito suala la usalama wa nchi hiyo.

  • Madola makubwa duniani yatangaza utayari wa kuisaidia Libya kwa silaha

    Madola makubwa duniani yatangaza utayari wa kuisaidia Libya kwa silaha

    May 17, 2016 03:22

    Marekani na madola mengine makubwa kadhaa yametangaza kuwa yako tayari kuisaidia serikali mpya ya Libya kwa silaha katika kupambana na magaidi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Daesh yaua raia 16 wa Ethiopia nchini Libya

    Daesh yaua raia 16 wa Ethiopia nchini Libya

    May 12, 2016 02:20

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limetoa kanda mpya ya video ya kuogofya inayoonyesha namna magaidi hao wanavyowaua kinyama raia wa Ethiopia nchini Libya.

  • Watu 8 wauawa Misri, el Sisi ataka vikwazo dhidi ya Libya viondolewe

    Watu 8 wauawa Misri, el Sisi ataka vikwazo dhidi ya Libya viondolewe

    May 08, 2016 03:06

    Watu wenye silaha wamelishambulia basi moja lililokuwa na maafisa wa polisi katika eneo la Halwan, kusini mwa mji mkuu wa Misri, Cairo, na kuua watu wanane akiwemo afisa mmoja wa polisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS