-
Kamanda wa Jeshi la Libya adai, jeshi la Algeria limeivamia Libya
Sep 09, 2018 11:33Kamanda wa jeshi la taifa la Libya amedai kuwa Algeria imeingiza wanajeshi wake katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Makundi hasimu Libya yafikia makubaliano ya kusimamisha vita mjini Tripoli
Sep 04, 2018 22:29Kamati ya Umoja wa Mataifa ya kusimamia masuala ya Libya jana jioni ilitangaza habari ya kufikiwa makubaliano ya kusimamisha vita baina ya makundi yenye silaha mjini Tripoli.
-
Wafungwa zaidi ya 400 watoroka jela mjini Tripoli, Libya
Sep 03, 2018 03:24Wafungwa zaidi ya 400 wametoroka jela baada ya kuzuka uasi na machafuko katika jela moja iliyoko kwenye kiunga cha kusini mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusitishwa haraka mapigano nchini Libya
Sep 02, 2018 09:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa haraka mapigano nchini Libya na pande zote zinazopigana katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ziheshimu usitishaji vita.
-
Mapigano yanaendelea Libya, uwanja wa ndege wa Tripoli wafungwa
Sep 01, 2018 03:00Mapigano makali yanayoendelea mjini Tripoli yamepelekea kufungwa uwanja wa ndege wa mji mkuu huo wa Libya.
-
Idadi ya waliouawa katika mapigano ya Tripoli, Libya yafikia watu 41
Aug 30, 2018 23:20Idadi ya watu waliopoteza maisha yao katika mapigano ya siku za hivi karibuni huko Tripoli, mji mkuu wa Libya imefikia watu 41.
-
Mapigano yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli
Aug 29, 2018 23:48Mapigano yameanza tena katika mji mkuu wa Libya Tripoli baina ya pande zinazozozana nchini humo baada ya usitishaji vita wa muda mfupi.
-
Usitishwaji mapigano watangazwa Tripoli, Libya
Aug 28, 2018 09:35Waziri wa Mambo ya Ndani wa Libya Abdulsalam Ashour amesema kuwa makubaliano ya kusimamisha mapigano yamefikiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, kufuatia mapigano makali kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo wenye silaha.
-
Libya yajiweka katika hali ya tahadhari kufuatia mripuko wa kipindupindu nchini Algeria
Aug 27, 2018 03:30Wizara ya Afya ya Libya imetangaza kuwa hali ya tahadhari imetangazwa nchini humo kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu kufuatia mripuko wa ugonjwa huo uliotokea katika nchi jirani ya Algeria.
-
Uungaji mkono wa silaha wa Imarati kwa magaidi nchini Libya
Aug 27, 2018 00:01Tovuti ya habari ya Tunisia Online Today imeripoti kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) inawapatia silaha magaidi huko Libya.