-
Mamia ya wahajiri wafariki dunia karibu na pwani za Libya
Sep 11, 2018 03:02Zaidi ya wahajiri 100 kutoka nchi za Afrika wamefariki dunia katika kipindi cha siku chache zilizopita baada ya boti zao kuzama katika maji ya bahari ya Mediterania karibu na pwani za Libya.
-
Watu wenye silaha washambulia makao makuu ya Shirika la Mafuta la Libya
Sep 10, 2018 10:11Watu kadhaa waliokuwa na silaha leo Jumatatu wameyashambulia makao makuu ya Shirika la Taifa la Mafuta la Libya (NOC) huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo. Watu walioshuhudia wamesema kuwa, sauti za milipuko zilisika kabla ya watu waliojeruhiwa kutolewa katika jengo la shirika hilo kwa kutumia magari ya ambulansi.
-
Kamanda wa Jeshi la Libya adai, jeshi la Algeria limeivamia Libya
Sep 09, 2018 11:33Kamanda wa jeshi la taifa la Libya amedai kuwa Algeria imeingiza wanajeshi wake katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Makundi hasimu Libya yafikia makubaliano ya kusimamisha vita mjini Tripoli
Sep 04, 2018 22:29Kamati ya Umoja wa Mataifa ya kusimamia masuala ya Libya jana jioni ilitangaza habari ya kufikiwa makubaliano ya kusimamisha vita baina ya makundi yenye silaha mjini Tripoli.
-
Wafungwa zaidi ya 400 watoroka jela mjini Tripoli, Libya
Sep 03, 2018 03:24Wafungwa zaidi ya 400 wametoroka jela baada ya kuzuka uasi na machafuko katika jela moja iliyoko kwenye kiunga cha kusini mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusitishwa haraka mapigano nchini Libya
Sep 02, 2018 09:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa haraka mapigano nchini Libya na pande zote zinazopigana katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ziheshimu usitishaji vita.
-
Mapigano yanaendelea Libya, uwanja wa ndege wa Tripoli wafungwa
Sep 01, 2018 03:00Mapigano makali yanayoendelea mjini Tripoli yamepelekea kufungwa uwanja wa ndege wa mji mkuu huo wa Libya.
-
Idadi ya waliouawa katika mapigano ya Tripoli, Libya yafikia watu 41
Aug 30, 2018 23:20Idadi ya watu waliopoteza maisha yao katika mapigano ya siku za hivi karibuni huko Tripoli, mji mkuu wa Libya imefikia watu 41.
-
Mapigano yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli
Aug 29, 2018 23:48Mapigano yameanza tena katika mji mkuu wa Libya Tripoli baina ya pande zinazozozana nchini humo baada ya usitishaji vita wa muda mfupi.
-
Usitishwaji mapigano watangazwa Tripoli, Libya
Aug 28, 2018 09:35Waziri wa Mambo ya Ndani wa Libya Abdulsalam Ashour amesema kuwa makubaliano ya kusimamisha mapigano yamefikiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, kufuatia mapigano makali kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo wenye silaha.