Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Mamia ya wahajiri wafariki dunia karibu na pwani za Libya

    Mamia ya wahajiri wafariki dunia karibu na pwani za Libya

    Sep 11, 2018 03:02

    Zaidi ya wahajiri 100 kutoka nchi za Afrika wamefariki dunia katika kipindi cha siku chache zilizopita baada ya boti zao kuzama katika maji ya bahari ya Mediterania karibu na pwani za Libya.

  • Watu wenye silaha washambulia makao makuu ya Shirika la Mafuta la Libya

    Watu wenye silaha washambulia makao makuu ya Shirika la Mafuta la Libya

    Sep 10, 2018 10:11

    Watu kadhaa waliokuwa na silaha leo Jumatatu wameyashambulia makao makuu ya Shirika la Taifa la Mafuta la Libya (NOC) huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo. Watu walioshuhudia wamesema kuwa, sauti za milipuko zilisika kabla ya watu waliojeruhiwa kutolewa katika jengo la shirika hilo kwa kutumia magari ya ambulansi.

  • Kamanda wa Jeshi la Libya adai, jeshi la Algeria limeivamia Libya

    Kamanda wa Jeshi la Libya adai, jeshi la Algeria limeivamia Libya

    Sep 09, 2018 11:33

    Kamanda wa jeshi la taifa la Libya amedai kuwa Algeria imeingiza wanajeshi wake katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Makundi hasimu Libya yafikia makubaliano ya kusimamisha vita mjini Tripoli

    Makundi hasimu Libya yafikia makubaliano ya kusimamisha vita mjini Tripoli

    Sep 04, 2018 22:29

    Kamati ya Umoja wa Mataifa ya kusimamia masuala ya Libya jana jioni ilitangaza habari ya kufikiwa makubaliano ya kusimamisha vita baina ya makundi yenye silaha mjini Tripoli.

  • Wafungwa zaidi ya 400 watoroka jela mjini Tripoli, Libya

    Wafungwa zaidi ya 400 watoroka jela mjini Tripoli, Libya

    Sep 03, 2018 03:24

    Wafungwa zaidi ya 400 wametoroka jela baada ya kuzuka uasi na machafuko katika jela moja iliyoko kwenye kiunga cha kusini mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusitishwa haraka mapigano nchini Libya

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusitishwa haraka mapigano nchini Libya

    Sep 02, 2018 09:08

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa haraka mapigano nchini Libya na pande zote zinazopigana katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ziheshimu usitishaji vita.

  • Mapigano yanaendelea Libya, uwanja wa ndege wa Tripoli wafungwa

    Mapigano yanaendelea Libya, uwanja wa ndege wa Tripoli wafungwa

    Sep 01, 2018 03:00

    Mapigano makali yanayoendelea mjini Tripoli yamepelekea kufungwa uwanja wa ndege wa mji mkuu huo wa Libya.

  • Idadi ya  waliouawa katika mapigano ya Tripoli, Libya yafikia watu 41

    Idadi ya waliouawa katika mapigano ya Tripoli, Libya yafikia watu 41

    Aug 30, 2018 23:20

    Idadi ya watu waliopoteza maisha yao katika mapigano ya siku za hivi karibuni huko Tripoli, mji mkuu wa Libya imefikia watu 41.

  • Mapigano yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Mapigano yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Aug 29, 2018 23:48

    Mapigano yameanza tena katika mji mkuu wa Libya Tripoli baina ya pande zinazozozana nchini humo baada ya usitishaji vita wa muda mfupi.

  • Usitishwaji mapigano watangazwa Tripoli, Libya

    Usitishwaji mapigano watangazwa Tripoli, Libya

    Aug 28, 2018 09:35

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Libya Abdulsalam Ashour amesema kuwa makubaliano ya kusimamisha mapigano yamefikiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, kufuatia mapigano makali kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo wenye silaha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS