-
Libya yalalamikia vikali jaribio la kurejeshwa wakimbizi nchini humo
Aug 23, 2018 10:36Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amelalamikia juhudi za nchi za Ulaya za kutaka kuwarejesha wakimbizi wa Kiafrika nchini Libya na kusema kuwa jambo hilo ni la kidhalimu, ni kinyume cha sheria na halikubaliki kabisa.
-
Nigeria yawarahisishia raia wake kurejea nyumbani kwa hiari kutokea Libya
Aug 21, 2018 03:10Serikali ya Nigeria kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) imeamua kuwarahishia njia za kurejea nyumbani kwa hiari raia wake waliokwama nchini Libya.
-
Raia 130 wauawa kwenye mapigano nchini Libya tangu mwaka 2018
Aug 20, 2018 22:14Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa mambo ya kibinadamu nchini Libya Bi. Maria Ribiero, amesema raia130 wameuawa kwenye mapambano nchini Libya tangu mwaka 2018.
-
Makumi ya watu wahukumiwa kifo kwa kuua wapinzani wa Gaddafi nchini Libya
Aug 16, 2018 03:06Mahakama moja nchini Libya imewahukumu adhabu ya kifo makumi ya watu baada ya kuwapata na hatia ya kuua waandamanaji waliokuwa wanapinga utawala wa Muammar Gaddafi mwaka 2011.
-
UN yatahadharisha kuhusu kufukuzwa wakimbizi huko Libya
Aug 15, 2018 09:15Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetahadharisha kuhusu kufukuzwa wakimbizi 1,900 huko Libya.
-
NATO, sababu kuu ya mgogoro wa ndani nchini Libya
Aug 13, 2018 22:21Kamanda wa Jeshi la Taifa la Libya Khalifa Haftar amesema kuwa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) ndiyo sababu ya hali mbaya inayoshuhudiwa sasa nchini humo.
-
Bunge la Libya lataka balozi wa Italia afukuzwe nchini humo
Aug 09, 2018 23:29Bunge la Libya limemtuhumu balozi wa Italia mjini Tripoli kuwa anaingila masuala ya ndani ya nchi hiyo na kutaka afukuzwe mara moja.
-
Libya yaiomba Russia iisaidie kutatua migogoro yake
Aug 08, 2018 23:54Msemaji wa Jeshi la Taifa la Libya ameiomba serikali ya Russia iingilie mgogoro wa Libya kwa ajili ya kuutatua.
-
Tunisia yakosoa uingiliaji kati wa nchi ajinabi huko Libya
Aug 08, 2018 02:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia ameeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya machafuko inayoendelea kushuhudiwa nchini Libya na kusema kuwa nchi hiyo imekuwa medani ya vita vya niaba vya pande za kigeni.
-
Wananchi wa Libya waandamana kulalamikia maisha magumu
Aug 05, 2018 10:48Miji mingi ya Libya imekumbwa na maandamano ya wananchi wanaolalamikia maisha magumu.