Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Libya yalalamikia vikali jaribio la kurejeshwa wakimbizi nchini humo

    Libya yalalamikia vikali jaribio la kurejeshwa wakimbizi nchini humo

    Aug 23, 2018 10:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amelalamikia juhudi za nchi za Ulaya za kutaka kuwarejesha wakimbizi wa Kiafrika nchini Libya na kusema kuwa jambo hilo ni la kidhalimu, ni kinyume cha sheria na halikubaliki kabisa.

  • Nigeria yawarahisishia raia wake kurejea nyumbani kwa hiari kutokea Libya

    Nigeria yawarahisishia raia wake kurejea nyumbani kwa hiari kutokea Libya

    Aug 21, 2018 03:10

    Serikali ya Nigeria kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) imeamua kuwarahishia njia za kurejea nyumbani kwa hiari raia wake waliokwama nchini Libya.

  • Raia 130 wauawa kwenye mapigano nchini Libya tangu mwaka 2018

    Raia 130 wauawa kwenye mapigano nchini Libya tangu mwaka 2018

    Aug 20, 2018 22:14

    Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa mambo ya kibinadamu nchini Libya Bi. Maria Ribiero, amesema raia130 wameuawa kwenye mapambano nchini Libya tangu mwaka 2018.

  • Makumi ya watu wahukumiwa kifo kwa kuua wapinzani wa Gaddafi nchini Libya

    Makumi ya watu wahukumiwa kifo kwa kuua wapinzani wa Gaddafi nchini Libya

    Aug 16, 2018 03:06

    Mahakama moja nchini Libya imewahukumu adhabu ya kifo makumi ya watu baada ya kuwapata na hatia ya kuua waandamanaji waliokuwa wanapinga utawala wa Muammar Gaddafi mwaka 2011.

  • UN yatahadharisha kuhusu kufukuzwa wakimbizi huko Libya

    UN yatahadharisha kuhusu kufukuzwa wakimbizi huko Libya

    Aug 15, 2018 09:15

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetahadharisha kuhusu kufukuzwa wakimbizi 1,900 huko Libya.

  • NATO, sababu kuu ya mgogoro wa ndani nchini Libya

    NATO, sababu kuu ya mgogoro wa ndani nchini Libya

    Aug 13, 2018 22:21

    Kamanda wa Jeshi la Taifa la Libya Khalifa Haftar amesema kuwa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) ndiyo sababu ya hali mbaya inayoshuhudiwa sasa nchini humo.

  • Bunge la Libya lataka balozi wa Italia afukuzwe nchini humo

    Bunge la Libya lataka balozi wa Italia afukuzwe nchini humo

    Aug 09, 2018 23:29

    Bunge la Libya limemtuhumu balozi wa Italia mjini Tripoli kuwa anaingila masuala ya ndani ya nchi hiyo na kutaka afukuzwe mara moja.

  • Libya yaiomba Russia iisaidie kutatua migogoro yake

    Libya yaiomba Russia iisaidie kutatua migogoro yake

    Aug 08, 2018 23:54

    Msemaji wa Jeshi la Taifa la Libya ameiomba serikali ya Russia iingilie mgogoro wa Libya kwa ajili ya kuutatua.

  • Tunisia yakosoa uingiliaji kati wa nchi ajinabi huko Libya

    Tunisia yakosoa uingiliaji kati wa nchi ajinabi huko Libya

    Aug 08, 2018 02:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia ameeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya machafuko inayoendelea kushuhudiwa nchini Libya na kusema kuwa nchi hiyo imekuwa medani ya vita vya niaba vya pande za kigeni.

  • Wananchi wa Libya waandamana kulalamikia maisha magumu

    Wananchi wa Libya waandamana kulalamikia maisha magumu

    Aug 05, 2018 10:48

    Miji mingi ya Libya imekumbwa na maandamano ya wananchi wanaolalamikia maisha magumu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS