-
Pendekezo jipya la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya utatuzi wa mgogoro wa Libya
Nov 21, 2016 23:14Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametoa pendekezo la kuteuliwa Waziri Mkuu mpya wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
-
Mjumbe wa UN asisitiza kufanyika mazungumzo kuhusu mgogoro wa Libya
Nov 14, 2016 23:22Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Libya amesema kuwa mazungumzo na kujiepusha na mivutano ya kijeshi huko Libya ndiyo njia pekee itakayoupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.
-
AU yasema mzozo wa Libya hauhitaji suluhisho la kijeshi
Nov 09, 2016 04:10Viongozi wa Umoja wa Afrika AU wanakutana nchini Ethiopia kujadili mgogoro wa kisiasa na kiusalama unaoikabili Libya kwa sasa.
-
Miili kumi ya wahajiri yapatikana kwenye boti katika maji ya Libya
Nov 06, 2016 04:32Kikosi cha ulinzi katika pwani ya Italia kimeripoti kuwa kimepata miili ya wahajiri kumi walioaga dunia ikiwa ndani ya boti katika maji ya Libya.
-
Wahajiri 239 wafariki dunia pwani ya Libya wakielekea Ulaya
Nov 03, 2016 12:55Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 239 wali0kuwa wakielekea barani Ulaya wamepoteza maisha baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Libya.
-
Wakimbizi 700 waokolewa katika bahari ya Medditerranean
Oct 27, 2016 01:52Gadi ya ulinzi wa fukweni ya Italia imetangaza habari ya kuokolewa wakimbizi zaidi ya 700 katika bahari ya Mediterranean.
-
Waziri Mkuu wa Libya yupo tayari kufanya mazungumzo na Haftar
Oct 24, 2016 09:48Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa na Baraza la Uongozi la Libya amesema yupo tayari kufanya mazungumzo na kamanda wa jeshi la taifa la nchi hiyo lililoko mashariki mwa nchi hiyo ili kutatua mgogoro wa Libya.
-
Daesh yafanya juhudi za kujizatiti kaskazini mwa Libya
Oct 22, 2016 06:26Kundi la kigaidi la Daesh linafanya juhudi zake za mwisho za kulinda uwepo wake katika mji wa Sirte wa kaskazini mwa Libya.
-
Jeshi la Libya lasonga mbele Sirte, magaidi wa Daesh waendelea kupigwa
Oct 21, 2016 00:29Jeshi la Libya linaloiunga mkono serikali ya umoja wa kitaifa limesonga mbele zaidi katika mji wa Sirte unaotambuliwa kuwa ngome kuu ya kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.
-
Mgogoro wa kisiasa waongezeka nchini Libya
Oct 17, 2016 12:20Taasisi ya kulinda usalama iliyoko chini ya amri ya baraza la uongozi wa Libya imetangaza kujitenga na baraza hilo.