Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wamarekani waandamana kuupinga utawala wa Kizayuni wa Israel

    Wamarekani waandamana kuupinga utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 21, 2016 03:48

    Idadi kubwa ya Mayahudi ambao ni wafuasi wa Kanisa la Orthodox pamoja na wanaharakati wa Kipalestina wameandamana nchini Marekani na kukusanyika mbele ya Ikulu ya White House wakiulaani utawala haramu wa Israel unaotenda jina kila leo dhidi ya Wapalestina.

  • Waislamu India wapinga uchochezi wa Wahindu

    Waislamu India wapinga uchochezi wa Wahindu

    Mar 02, 2016 03:45

    Waislamu wa India wamefanya maandamano mjini New Delhi wakipinga vitendo vya kichochezi vinavyofanywa na Wahindu wenye misimamo mikali.

  • Wanafunzi wateketeza kwa moto chuo kikuu Afrika Kusini

    Wanafunzi wateketeza kwa moto chuo kikuu Afrika Kusini

    Feb 26, 2016 12:47

    Wanafunzi waliogoma nchini Afrika Kusini wameteketeza kwa moto majengo kadhaa ya chuo kikuu.

  • Maandamano ya upinzani DRC yaanza bila kishindo, wapinzani wakamatwa

    Maandamano ya upinzani DRC yaanza bila kishindo, wapinzani wakamatwa

    Feb 16, 2016 04:43

    Polisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inawazuilia wanaharakati 6 wa nchi hiyo ambao wanaaminika kuwachochea wananchi wajitokeze kwa wingi katika maandamano ya leo ya kumshinikiza Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo kujiuzulu wadhifa wake atakapomaliza muhula wake Disemba mwaka huu.

  • Maandamano Nigeria kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Maandamano Nigeria kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Feb 16, 2016 04:10

    Kwa mara nyingine tena maelfu ya wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano katika mji wa Bauchi, kaskazini mashariki mwa nchi, kushinikiza kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Wabahrain waendesha kampeni ya uasi wa kiraia

    Wabahrain waendesha kampeni ya uasi wa kiraia

    Feb 12, 2016 12:07

    Wananchi wa Bahrain leo wameandamana katika miji na vijiji kadhaa katika kampeni ya uasi wa kiraia huku wakijitayarisha kuadhimisha mwaka wa tano wa mwamko dhidi ya utawala wa kiimla wa Aal Khalifa.

  • Arubaini ya Sheikh Nimr yaadhimishwa kwa maandamano

    Arubaini ya Sheikh Nimr yaadhimishwa kwa maandamano

    Feb 12, 2016 04:46

    Arubaini ya Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, mwanachuoni wa Kiislamu aliyeuawa shahidi na utawala wa Aal-Saud imeadhimishwa kwa maandamano ya maelfu ya watu nchini Saudi Arabia na Bahrain.

  • Iran yaadhimisha miaka 37 ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Iran yaadhimisha miaka 37 ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 11, 2016 04:18

    Mamilioni ya wananchi wa Iran leo wamemiminika mabarabarani katika miji mbalimbali ukiwemo mji mkuu Tehran, kushiriki maandamano ya kuadhimisha miaka 37 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS