Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Madagascar

  • Spika wa Bunge la Tanzania na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wakutana na Larijani

    Spika wa Bunge la Tanzania na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wakutana na Larijani

    Aug 04, 2017 22:11

    Maspika wa mabunge ya Tanzania na Madagascar na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wamekutana na kufanya mazungumzo katika nyakati tofauti na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran.

  • 34 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Madagascar

    34 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Madagascar

    Aug 02, 2017 03:36

    Kwa akali watu 34 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika kisiwa cha Madagascar.

  • Wapinzani Madagascar wafanya maandamano licha ya marufuku ya polisi

    Wapinzani Madagascar wafanya maandamano licha ya marufuku ya polisi

    Jul 08, 2017 12:13

    Wafuasi wa kambi ya upinzani nchini Madagascar wamefanya maandamano leo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Antananarivo licha ya maandamano hayo kupigwa marufuku na vyombo vya usalama.

  • Idadi ya Waislamu nchini Madagascar imeongezeka ndani ya miaka saba iliyopita

    Idadi ya Waislamu nchini Madagascar imeongezeka ndani ya miaka saba iliyopita

    Jun 04, 2017 10:48

    Jamii ya Waislamu nchini Madagascar imeongezeka zaidi katika kipindi cha miaka saba ya hivi karibuni.

  • Idadi ya waliouawa na kimbunga Madagascar yapindukia 50

    Idadi ya waliouawa na kimbunga Madagascar yapindukia 50

    Mar 12, 2017 01:04

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na Kimbunga cha Enawo katika kisiwa cha Madagascar imepindukia watu 50.

  • Waliouawa kwa kimbunga Madagascar wafikia 38

    Waliouawa kwa kimbunga Madagascar wafikia 38

    Mar 11, 2017 10:49

    Watu wasiopungua 38 wameuawa kwa kimbunga cha "Enawo" kilichoikumba Madagascar wiki hii. Hayo yameelezwa na afisa wa Idara ya Kukabiliana na Majanga ya nchi hiyo.

  • Kimbunga, maporomoko ya ardhi vyaua watu 16 kisiwani Madagascar

    Kimbunga, maporomoko ya ardhi vyaua watu 16 kisiwani Madagascar

    Mar 10, 2017 10:36

    Kwa akali watu 16 wameaga dunia kufuatia maporomoko ya ardhi katika eneo la Vatomandry, mashariki mwa Madagascar.

  • Kimbunga chasababisha maafa na hasara kisiwani Madagascar

    Kimbunga chasababisha maafa na hasara kisiwani Madagascar

    Mar 09, 2017 12:56

    Kimbunga cha Enawo kimesababisha vifo vya watu watano huku makumi ya maelfu ya wengine wakiachwa bila makao katika kisiwa cha Madagascar.

  • Nchi za jumuiya ya Francophone zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nchi za jumuiya ya Francophone zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nov 29, 2016 10:20

    Washiriki katika mkutano wa kimataifa wa 16 wa Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) wametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kuanzisha ulimwengu wenye amani na usalama.

  • Mkutano wa 16 wa Francophone waanza leo nchini Madagascar

    Mkutano wa 16 wa Francophone waanza leo nchini Madagascar

    Nov 26, 2016 12:30

    Mkutano wa 16 wa wanachama katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) umeanza leo Jumamosi katika mji mkuu wa Madagascar, Antananarivo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS