Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Madagascar

  • Wapinzani Madagascar wafanya maandamano licha ya marufuku ya polisi

    Wapinzani Madagascar wafanya maandamano licha ya marufuku ya polisi

    Jul 08, 2017 12:13

    Wafuasi wa kambi ya upinzani nchini Madagascar wamefanya maandamano leo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Antananarivo licha ya maandamano hayo kupigwa marufuku na vyombo vya usalama.

  • Idadi ya Waislamu nchini Madagascar imeongezeka ndani ya miaka saba iliyopita

    Idadi ya Waislamu nchini Madagascar imeongezeka ndani ya miaka saba iliyopita

    Jun 04, 2017 10:48

    Jamii ya Waislamu nchini Madagascar imeongezeka zaidi katika kipindi cha miaka saba ya hivi karibuni.

  • Idadi ya waliouawa na kimbunga Madagascar yapindukia 50

    Idadi ya waliouawa na kimbunga Madagascar yapindukia 50

    Mar 12, 2017 01:04

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na Kimbunga cha Enawo katika kisiwa cha Madagascar imepindukia watu 50.

  • Waliouawa kwa kimbunga Madagascar wafikia 38

    Waliouawa kwa kimbunga Madagascar wafikia 38

    Mar 11, 2017 10:49

    Watu wasiopungua 38 wameuawa kwa kimbunga cha "Enawo" kilichoikumba Madagascar wiki hii. Hayo yameelezwa na afisa wa Idara ya Kukabiliana na Majanga ya nchi hiyo.

  • Kimbunga, maporomoko ya ardhi vyaua watu 16 kisiwani Madagascar

    Kimbunga, maporomoko ya ardhi vyaua watu 16 kisiwani Madagascar

    Mar 10, 2017 10:36

    Kwa akali watu 16 wameaga dunia kufuatia maporomoko ya ardhi katika eneo la Vatomandry, mashariki mwa Madagascar.

  • Kimbunga chasababisha maafa na hasara kisiwani Madagascar

    Kimbunga chasababisha maafa na hasara kisiwani Madagascar

    Mar 09, 2017 12:56

    Kimbunga cha Enawo kimesababisha vifo vya watu watano huku makumi ya maelfu ya wengine wakiachwa bila makao katika kisiwa cha Madagascar.

  • Nchi za jumuiya ya Francophone zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nchi za jumuiya ya Francophone zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nov 29, 2016 10:20

    Washiriki katika mkutano wa kimataifa wa 16 wa Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) wametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kuanzisha ulimwengu wenye amani na usalama.

  • Mkutano wa 16 wa Francophone waanza leo nchini Madagascar

    Mkutano wa 16 wa Francophone waanza leo nchini Madagascar

    Nov 26, 2016 12:30

    Mkutano wa 16 wa wanachama katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) umeanza leo Jumamosi katika mji mkuu wa Madagascar, Antananarivo.

  • Shirika la Fao: Madagascar isaidiwe kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa chakula

    Shirika la Fao: Madagascar isaidiwe kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa chakula

    Oct 28, 2016 01:16

    Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limetangaza kuwa, karibu watu laki nane na 50 elfu nchini Madagascar, wanakabiliwa na hali mbaya ya chakula.

  • Moto Madagascar wauwa watu 38, wakiwemo watoto 16

    Moto Madagascar wauwa watu 38, wakiwemo watoto 16

    Jul 25, 2016 23:05

    Watu zaidi ya 36 wamefariki dunia wakiwemo watoto 16 baada ya moto kutokea katika nyumba moja katikati mwa Madagascar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS