-
Wapinzani Madagascar wafanya maandamano licha ya marufuku ya polisi
Jul 08, 2017 12:13Wafuasi wa kambi ya upinzani nchini Madagascar wamefanya maandamano leo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Antananarivo licha ya maandamano hayo kupigwa marufuku na vyombo vya usalama.
-
Idadi ya Waislamu nchini Madagascar imeongezeka ndani ya miaka saba iliyopita
Jun 04, 2017 10:48Jamii ya Waislamu nchini Madagascar imeongezeka zaidi katika kipindi cha miaka saba ya hivi karibuni.
-
Idadi ya waliouawa na kimbunga Madagascar yapindukia 50
Mar 12, 2017 01:04Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na Kimbunga cha Enawo katika kisiwa cha Madagascar imepindukia watu 50.
-
Waliouawa kwa kimbunga Madagascar wafikia 38
Mar 11, 2017 10:49Watu wasiopungua 38 wameuawa kwa kimbunga cha "Enawo" kilichoikumba Madagascar wiki hii. Hayo yameelezwa na afisa wa Idara ya Kukabiliana na Majanga ya nchi hiyo.
-
Kimbunga, maporomoko ya ardhi vyaua watu 16 kisiwani Madagascar
Mar 10, 2017 10:36Kwa akali watu 16 wameaga dunia kufuatia maporomoko ya ardhi katika eneo la Vatomandry, mashariki mwa Madagascar.
-
Kimbunga chasababisha maafa na hasara kisiwani Madagascar
Mar 09, 2017 12:56Kimbunga cha Enawo kimesababisha vifo vya watu watano huku makumi ya maelfu ya wengine wakiachwa bila makao katika kisiwa cha Madagascar.
-
Nchi za jumuiya ya Francophone zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi
Nov 29, 2016 10:20Washiriki katika mkutano wa kimataifa wa 16 wa Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) wametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kuanzisha ulimwengu wenye amani na usalama.
-
Mkutano wa 16 wa Francophone waanza leo nchini Madagascar
Nov 26, 2016 12:30Mkutano wa 16 wa wanachama katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) umeanza leo Jumamosi katika mji mkuu wa Madagascar, Antananarivo.
-
Shirika la Fao: Madagascar isaidiwe kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa chakula
Oct 28, 2016 01:16Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limetangaza kuwa, karibu watu laki nane na 50 elfu nchini Madagascar, wanakabiliwa na hali mbaya ya chakula.
-
Moto Madagascar wauwa watu 38, wakiwemo watoto 16
Jul 25, 2016 23:05Watu zaidi ya 36 wamefariki dunia wakiwemo watoto 16 baada ya moto kutokea katika nyumba moja katikati mwa Madagascar.