Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Vyama vya upinzani Angola vyaenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi

    Vyama vya upinzani Angola vyaenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi

    Sep 09, 2017 03:27

    Vyama vitatu vya upinzani nchini Angola vimewasilisha malalamiko mahakamani dhidi ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo hivi karibuni, ambapo chama tawala cha MPLA kilitangazwa kuibuka mshindi.

  • Mahakama ya Pakistan: Musharaf anasakwa katika kesi ya mauaji ya Bhutto

    Mahakama ya Pakistan: Musharaf anasakwa katika kesi ya mauaji ya Bhutto

    Sep 01, 2017 03:45

    Rais wa zamani wa Pakistan, Parvez Musharaf anasakwa na vyombo vya sheria vya nchi hiyo kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mwaka 2007 ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Pakistan Bi Benazir Bhutto.

  • Mahakama ya Misri yawahukumu kifungo cha maisha watu 25

    Mahakama ya Misri yawahukumu kifungo cha maisha watu 25

    Aug 29, 2017 10:24

    Mahakama nchini Misri imewahukumu watu 25 kifungo cha maisha jela kwa tuhuma za kuhusika na matukio ya utumiaji mabavu ya mwaka 2015 nchini humo.

  • Odinga kwenda Mahakama ya Juu Kenya kupinga matokeo ya urais

    Odinga kwenda Mahakama ya Juu Kenya kupinga matokeo ya urais

    Aug 16, 2017 11:18

    Kinara wa muungano wa upinzani wa NASA nchini Kenya, Raila Odinga hatimaye amepasua mbarika na kusema kuwa ataenda katika Mahakama ya Juu ya nchi kupinga matokeo ya kura za urais yaliyompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee.

  • Kiongozi wa upinzani wa Zambia aachiwa huru, afutiwa kesi ya uhaini

    Kiongozi wa upinzani wa Zambia aachiwa huru, afutiwa kesi ya uhaini

    Aug 16, 2017 09:51

    Kinara wa upinzani nchini Zambia, Hakainde Hichilema ameachiwa huru na kutoka gerezani hii leo baada ya Mkuu wa Mashtaka ya Umma kumfutia mashtaka ya uhaini.

  • Zambia kumuachia huru kiongozi wa upinzani, kumfutia mashtaka ya uhaini

    Zambia kumuachia huru kiongozi wa upinzani, kumfutia mashtaka ya uhaini

    Aug 13, 2017 09:31

    Serikali ya Zambia inatazamiwa kumfutia mashitaka ya uhaini sambamba na kumuachia huru kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo, Hakainde Hichilema.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan ajiuzulu kufuatia uamuzi wa mahakama

    Waziri Mkuu wa Pakistan ajiuzulu kufuatia uamuzi wa mahakama

    Jul 28, 2017 09:41

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Nawaz Sharif amejiuzulu wadhifa wake baada ya Mahakama ya Juu nchini humo kumuengua madarakani kutokana na kashfa ya ufisadi.

  • Misri yawahukumu maisha jela wanaharakati 43 wa Ikhwani

    Misri yawahukumu maisha jela wanaharakati 43 wa Ikhwani

    Jul 25, 2017 22:38

    Mahakama ya Jinai ya Misri imewahukumu wanaharakati 43 wa harakati ya Ikhwanul Muslimin kifungo cha maisha jela kwa madai kwamba wamepatikana na hatia ya kushiriki maandamano dhidi ya serikali.

  • Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi

    Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi

    Jul 10, 2017 01:34

    Watu 292 wa Misri wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Daesh na kupanga njama ya kutaka kumuua Rais wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.

  • Kiongozi wa upinzani Niger ahukumiwa kifungo jela

    Kiongozi wa upinzani Niger ahukumiwa kifungo jela

    Jun 06, 2017 09:18

    Mahakama moja nchini Niger hii leo imetoa hukumu ya kifungo cha miezi mitatu jela dhidi ya kiongozi wa upinzani nchini humo, aliyekuwa akikabiliwa na mashitaka ya kuchochea mapinduzi dhidi ya serikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS