Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mapigano

  • Licha ya kufikiwa maafikiano ya kusitisha vita, mapigano yaanza tena Sudan Kusini

    Licha ya kufikiwa maafikiano ya kusitisha vita, mapigano yaanza tena Sudan Kusini

    Sep 25, 2018 10:40

    Mapigano kati ya vikosi vya jeshi la serikali ya Sudan Kusini na vya kundi kubwa zaidi la waasi yameanza tena kaskazini mwa nchi hiyo baada ya kupita wiki mbili tangu pande hizo mbili zisaini makubaliano ya usitishaji vita.

  • Mapigano yaanza tena karibu na matangi ya mafuta huko Tripoli, Libya

    Mapigano yaanza tena karibu na matangi ya mafuta huko Tripoli, Libya

    Sep 23, 2018 23:27

    Duru za kiusalama za Libya zimetangaza habari ya kuanza tena mapigano kandokando ya matangi ya mafuta huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Mapigano yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Mapigano yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Aug 29, 2018 23:48

    Mapigano yameanza tena katika mji mkuu wa Libya Tripoli baina ya pande zinazozozana nchini humo baada ya usitishaji vita wa muda mfupi.

  • Askari usalama wa Saudia wafyatuliana risasi; 5 waaga dunia na kujeruhiwa

    Askari usalama wa Saudia wafyatuliana risasi; 5 waaga dunia na kujeruhiwa

    Jul 15, 2018 23:34

    Askari usalam watano wa Saudi Arabia wamepoteza maisha na kujeruhiwa kufuatia kujiri mapigano baina ya askari hao katika kituo kimoja cha upekuzi katika mpaka wa Najran kusini mwa nchi hiyo.

  • 7 wauawa katika makabiliano kati ya jeshi la Uganda na Kongo DR

    7 wauawa katika makabiliano kati ya jeshi la Uganda na Kongo DR

    Jul 06, 2018 08:53

    Askari wanne na raia watatu wa Uganda wameripotiwa kuuawa katika mapigano makali baina ya vikosi vya majini vya Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika maji ya Ziwa Albert.

  • Watu 10 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Ethiopia

    Watu 10 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Ethiopia

    Jun 29, 2018 03:06

    Watu wasiopungua kumi wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea magharibi mwa Ethiopia.

  • Kutowezekana kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Yemen kwa mtutu wa bunduki

    Kutowezekana kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Yemen kwa mtutu wa bunduki

    Jun 27, 2018 22:06

    Baraza la Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya limesisitiza kuwa, mgogoro wa Yemen hauwezi kupatiwa ufumbuzi kwa njia za kijeshi na kwamba, ufumbuzi pekee ni kupatikana amani ya kudumu kupitia njia ya mazungumzo.

  • Idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila Nigeria yapindukia 200

    Idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila Nigeria yapindukia 200

    Jun 27, 2018 09:08

    Gavana wa jimbo la Plateau lililoko katikati mwa Nigeria amesema idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila yaliyofanyika mwishoni mwa wiki imepindukia watu 200.

  • Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya kusini mwa Libya

    Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya kusini mwa Libya

    May 12, 2018 09:39

    Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyotokea katika mji wa Sabha, kusini magharibi mwa Libya.

  • Papa Francis atoa wito wa kusitishwa machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Papa Francis atoa wito wa kusitishwa machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 06, 2018 22:27

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ametoa wito wa kukomeshwa mapigano, machafuko pamoja na vitendo vya utumiaji mabavu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS