Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Waislamu wa Marekani wana hatari ya kunyanyaswa zaidi mwezi wa Ramadhani

    Waislamu wa Marekani wana hatari ya kunyanyaswa zaidi mwezi wa Ramadhani

    May 10, 2018 10:01

    Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu limetaka kuchukuliwa hatua za lazima za kuimarisha usalama kwa ajili ya kuwalinda Waislamu ambao wana hatari ya kukumbwa na mashambulizi na unyanyasaji zaidi katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Kusimama kidete Wapalestina kwawalazimisha Wazayuni kuitisha kikao cha dharura

    Kusimama kidete Wapalestina kwawalazimisha Wazayuni kuitisha kikao cha dharura

    May 09, 2018 03:20

    Viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamelazimika kuitisha kikao cha dharura baada ya vyama, mirengo na makundi yote ya Wapalestina kuungana na kusimama imara kukabiliana na uadui wa kupindukia wa rais wa Marekani dhidi ya mji mtakatifu wa Quds wenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Shamkhani: Kuvunjika makubaliano ya JCPOA hakutainufaisha Marekani

    Shamkhani: Kuvunjika makubaliano ya JCPOA hakutainufaisha Marekani

    May 08, 2018 12:33

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza kuwa kuvunjika kwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hakutakuwa na manufaa kwa Marekani; na akatoa indhari pia kwa mwenendo wa nchi za Ulaya wa kutaka kujipatia fursa zaidi kwa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Wamarekani wengi wanataka US ibakie kwenye JCPOA

    Wamarekani wengi wanataka US ibakie kwenye JCPOA

    May 08, 2018 12:28

    Utafiti wa maoni wa hivi punde unaonyesha kuwa thuluthi mbili ya wananchi wa Marekani wanaamini kuwa nchi yao haipaswi kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya Iran, huku yakiwa yamesalia masaa machache kabla Rais Donald Trump atangaze iwapo Washington itajiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa au la.

  • Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa

    Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa

    May 07, 2018 10:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itajitoa katika mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA, basi madhara yake yataikumba Washington yenyewe kabla ya upande mwingine wowote.

  • Rais Frank-Walter Steinmeier: Ujerumani tunaunga mkono makubaliano ya JCPOA

    Rais Frank-Walter Steinmeier: Ujerumani tunaunga mkono makubaliano ya JCPOA

    May 07, 2018 02:27

    Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani amesisitiza kuwa, nchi yakke inaunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na Iran na pia udharura wa kubakishwa makubaliano hayo.

  • Velayati: Iran itachukua hatua inayofaa endapo Marekani itajiondoa katika makubaliano ya JCPOA

    Velayati: Iran itachukua hatua inayofaa endapo Marekani itajiondoa katika makubaliano ya JCPOA

    May 06, 2018 22:28

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, endapo Marekani itajiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatoa jibu mwafaka kulingana na mazingira yalivyo.

  • Rahim Safavi: Iran imekwamisha njama na mipango ya Marekani Mashariki ya Kati

    Rahim Safavi: Iran imekwamisha njama na mipango ya Marekani Mashariki ya Kati

    May 06, 2018 12:17

    Msaidizi na Mshauri mwandamizi wa Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamuu imekwamisha njama na mipango ya Marekani ya kutaka kuwasha moto na kujikita katika Mashariki ya Kati.

  • Korea Kaskazini: Marekani inachafua anga ya mazungumzo kwa kueneza uwongo

    Korea Kaskazini: Marekani inachafua anga ya mazungumzo kwa kueneza uwongo

    May 06, 2018 03:02

    Wiki chache kabla ya kufanyika mazungumzo yanayosubiriwa kwa shauku kuu kati ya Rais Donald Trump wa Marekani na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, Pyongyang imekosoa vikali kile ilichokitaja kama upotoshaji wa makusudi wa Washington, kwamba sera za Trump za kushadidisha vikwazo na mashinikizo ya kisiasa dhidi ya nchi hiyo ndizo zilizopelekea Korea Kaskazini kukubali kwenda katika meza ya mazungumzo.

  • Shamkhani: JCPOA ni mtihani wa kihistoria kwa ufanisi wa taasisi za kimataifa

    Shamkhani: JCPOA ni mtihani wa kihistoria kwa ufanisi wa taasisi za kimataifa

    May 05, 2018 22:06

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kudumu au kuvunjika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, yakiwa ni makubaliano ya kisiasa na kiusalama yaliyothibitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ni mtihani wa kihistoria wa kutathmini taathira ya mantiki ya mazungumzo badala ya mizozo na vilevile kiwango cha ufanisi wa taasisi za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS