-
Kukiri Marekani kuhusu kuuawa raia na ndege zake zisizo na rubani
Jul 02, 2016 08:12Hatimaye serikali ya Marekani imekiri wazi kwamba, zaidi ya raia 116 wameuawa wakati wa mashambulio ya ndege zake zisizo na rubani.
-
Mamia wauawa katika mashambulizi nchini Libya
Jun 03, 2016 14:13Wanajeshi wawili wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya wameuawa na wengine 12 kujeruhiwa katika shambulizi la kujitoa mhanga lililofanywa na wanamgambo wa kundi la ISIS (Daesh) karibu na mji wa Sirte hapo jana.
-
Kiongozi wa Taliban, Mullah Mansour auawa katika hujuma ya drone
May 22, 2016 16:20Kiongozi wa kundi la kigaidi la Taliban, Mullah Akhtar Mohammad Mansour ameuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani ya Marekani katika mkoa wa Baluchistan, mpakani mwa Afghanistan na Pakistan.
-
Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita
Apr 30, 2016 07:44Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetetea mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi lake dhidi ya hospitali moja nchini Afghanistan mwishoni mwa mwaka jana 2015.
-
Watu wa Yemen, wahanga wa njama za Aal Saud
Mar 17, 2016 15:33Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen amesema kuwa zinafanyika jitihada za kufikiwa mapatano ya kusitisha vita nchini humo licha ya Saudi Arabia kuzidisha mashambulizi dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo.
-
Machafuko yashika kasi zaidi nchini Burundi
Mar 17, 2016 09:27Raia kadhaa wanaripotiwa kuuawa katika machafuko yanayoendelea huko kusini mwa Burundi.
-
Machafuko yashika kasi zaidi nchini Burundi
Mar 17, 2016 07:03Raia kadhaa wanaripotiwa kuuawa katika machafuko yanayoendelea huko kusini mwa Burundi.
-
Iran: Umoja wa Mataifa ufuatilie mauaji ya Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen
Mar 16, 2016 15:26Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeutaka Umoja wa Mataifa ufuatilie mauaji yanayofanywa Saudi Arabia dhidi ya raia huko Yemen.
-
Mashambulio ya anga ya utawala wa Aal Saud yaendelea kuua raia wasio na hatia Yemen
Mar 13, 2016 03:31Ndege za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Aal Saud zinaendelea kuua raia wasio na hatia wa Yemen.
-
Saudia yazidisha mashambulizi dhidi ya raia, misikiti ya Yemen
Mar 11, 2016 03:48Saudi Arabia na washirika wake wamezidisha mashambulizi ya anga dhidi ya makazi ya raia na maeneo ya ibada nchini Yemen.