Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mfuko wa Fedha wa Kimataifa

  • Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Apr 27, 2025 02:26

    Indhari na radiamali mpya zimetolewa ndani ya Marekani na kimataifa kutokana na kuendelea vita vya ushuru vya Rais Donald Trump na madai yake katika uwanja huo.

  • Russia yataka BRICS iunde mbadala wa IMF

    Russia yataka BRICS iunde mbadala wa IMF

    Oct 11, 2024 10:32

    Russia ambayo ni mwenyekiti wa kiduru wa kundi la BRICS mwaka huu, imetoa wito kwa washirika wake kubuni njia mbadala ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) kukabiliana na shinikizo la kisiasa kutoka mataifa ya magharibi kabla ya mkutano wa kilele wa BRICS baadaye mwezi huu.

  • Kukua uchumi wa Iran licha ya kuandamwa na vikwazo

    Kukua uchumi wa Iran licha ya kuandamwa na vikwazo

    Feb 28, 2024 02:49

    Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limetangaza kuwa, uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umekuwa kwa kiwango ambacho haikutabiriwa

  • IMF na Benki ya Dunia zafanya mikutano ya kwanza barani Afrika katika kipindi cha miaka 50

    IMF na Benki ya Dunia zafanya mikutano ya kwanza barani Afrika katika kipindi cha miaka 50

    Oct 10, 2023 15:02

    Mkuu wa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) Kristalina Georgieva ametoa wito kwa mataifa tajiri kutoa msaada zaidi kwa nchi zinazoendelea zenye madeni, wakati akifungua mikutano ya kwanza ya IMF na Benki ya Dunia kufanywa katika ardhi ya Bara la Afrika katika kipindi cha miaka 50.

  • IMF: Dunia itaendelea kushuhudia kudorora zaidi kwa uchumi

    IMF: Dunia itaendelea kushuhudia kudorora zaidi kwa uchumi

    Jul 27, 2022 08:03

    Ripoti ya hali ya uchumi kwa robo mwaka iliyotolewa na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF imesema, hivi karibuni ulimwengu utashuhudia kudorora kwa uchumi kimataifa na kwamba njia kuu ya kusaidia nchi zote kwa sasa ni kuungana na kushirikiana; na iwapo hazitafanya hivyo kutakuwa na utofauti mkubwa wa ukuaji wa uchumi kijiografia katika siku zijazo.

  • Onyo la mashirika 4 ya Umoja wa Mataifa kuhusu hatari ya usalama wa chakula duniani

    Onyo la mashirika 4 ya Umoja wa Mataifa kuhusu hatari ya usalama wa chakula duniani

    Apr 14, 2022 07:22

    Benki ya Dunia, Shirika la Biashara Duniani, Mfuko wa Fedha wa Kimataifa na Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa zimeonya kuwa usalama wa chakula duniani uko hatarini na kwamba nchi zote zinapaswa kuchukua hatua maalumu kudhamini chakula kwa watu wao.

  • IMF kuinyima fedha Somalia iwapo itaakhirisha tena uchaguzi

    IMF kuinyima fedha Somalia iwapo itaakhirisha tena uchaguzi

    Feb 23, 2022 02:37

    Shirika la Fedha Duniani (IMF) limesema huenda likasimamisha ushirikiano wake wa kifedha na serikali ya federali ya Somalia katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, iwapo nchi hiyo ya Pembe ya Afrika itaakhirisha tena uchaguzi.

  • Taathira za vikwazo vya Marekani kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF)

    Taathira za vikwazo vya Marekani kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF)

    Oct 22, 2020 12:52

    Gavana wa Benki Kuu ya Iran amesema kuwa, Mfuko wa Fedha Kimataifa (IMF) unapaswa kujibu ombi la Iran la kupewa mkopo kutoka kwenye bajeti ya dharura ya IMF kwa ajili ya kukabiliana na maambukizi ya corona, na usikubali kuathiiwa na lobi za kisiasa na mashinikizo ya Marekani.

  • IMF kuzisaidia nchi 28 maskini kutokana na athari mbaya za corona, nyingi ni za Afrika

    IMF kuzisaidia nchi 28 maskini kutokana na athari mbaya za corona, nyingi ni za Afrika

    Oct 06, 2020 11:20

    Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) umeafiki kutoa msaada wa haraka kwa nchi 28 maskini duniani kwa lengo la kupunguza madeni ya nchi hizo na kukabiliana na athari mbaya za maambukizi ya virusi vya corona.

  • Mfuko wa Fedha wa Kimataifa wataka jamii ya kimataifa iisaidie Lebanon

    Mfuko wa Fedha wa Kimataifa wataka jamii ya kimataifa iisaidie Lebanon

    Aug 07, 2020 08:14

    Mkurugenzi Mwandamizi wa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa IMF jana Alkhamisi alitoa taarifa akiitaka jamii ya kimataifa na nchi rafiki za Lebanon ziisaidie nchi hiyo kupunguza hasara iliyotokana na mlipuko mkubwa uliotokea siku ya Jumanne alasiri katika bandari ya Beirut.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS