-
Waasi wa Niger Delta nchini Nigeria watoa wito wa kusitishwa mapigano
Aug 30, 2016 23:56Waasi wa eneo la Niger Delta nchini Nigeria wametoa wito wa kusitishwa mapigano katika eneo hilo la kusini mwa nchi hiyo.
-
Wanajeshi wanne wa Chad wauawa mpakani na Niger
Aug 27, 2016 23:35Wanajeshi wanne wa Chad wameuawa baada ya kuripuka bomu la kutegwa ardhini katika eneo moja la mpakani mwa nchi hiyo na Niger.
-
Wanigeria waandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru
Aug 26, 2016 22:55Waislamu wa Nigeria wamendamana katika mji wa Kaduna ulioko kaskazini mwa nchi hiyo wakitaka kuachiwa huru mara moja kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa kwa miezi kadhaa sasa katika korokoro za nchi hiyo.
-
WFP: Watu milioni 4.5 wanahitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria
Aug 24, 2016 10:21Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa tangu mwezi Machi mwaka huu hadi sasa, idadi ya watu wanaohitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka maradufu na kufikia milioni 4.5.
-
Jeshi la Nigeria: Makamanda watatu wa Boko Haram wameuawa, kiongozi wao amejeruhiwa vibaya
Aug 23, 2016 12:07Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la nchini Nigeria inaaminika kuwa amejeruhiwa vibaya katika shambulio la anga lililofanywa na jeshi kaskazini mashariki mwa nchi. Hayo ni kwa mujibu wa duru rasmi za jeshi la nchi hiyo.
-
Kujisalimisha maelfu ya wanachama wa Boko Haram kwa jeshi la Nigeria
Aug 18, 2016 08:15Kanali Rabe Abubakar, Mkurugenzi wa taarifa za ulinzi za jeshi la Nigeria amesema, hivi karibuni wanachama wapatao 8,000 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko wamejisalimisha kwa hiyari yao kwa jeshi la nchi hiyo.
-
Kuendelea mashambulio dhidi ya vinu vya kusafisha mafuta Nigeria
Aug 12, 2016 11:01Kundi jipya la wabeba silaha lililoundwa katika eneo la Niger Delta nchini Nigeria limeonya kuwa litafanya mashambulio zaidi ya ilivyokuwa hapo kabla dhidi ya vinu vya kusafisha mafuta vya makampuni ya kigeni yaliyoko katika eneo hilo.
-
Luteni Jenerali Buratai: Boko Haram wanakaribia kushindwa kikamilifu
Aug 10, 2016 09:37Kamanda Mkuu wa jeshi la Nigeria Tukur Yusuf Buratai amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram linakaribia kushindwa kikamilifu.
-
Makabiliano kati ya jeshi na wabeba silaha Nigeria yaua 19
Aug 07, 2016 08:43Watu 19 wameuawa katika makabiliano makali kati ya askari wa jeshi la serikali na kundi la wabeba silaha katika jimbo la Niger nchini Nigeria.
-
Buhari akanusha madai ya kuzuka mpasuko wa kidini Nigeria
Aug 03, 2016 03:27Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amekanusha madai kwamba serikali yake inafanya kila iwezalo kuleta mgawanyiko na matafaruku wa kidini nchini humo.