Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Waasi wa Niger Delta nchini Nigeria watoa wito wa kusitishwa mapigano

    Waasi wa Niger Delta nchini Nigeria watoa wito wa kusitishwa mapigano

    Aug 30, 2016 23:56

    Waasi wa eneo la Niger Delta nchini Nigeria wametoa wito wa kusitishwa mapigano katika eneo hilo la kusini mwa nchi hiyo.

  • Wanajeshi wanne wa Chad wauawa mpakani na Niger

    Wanajeshi wanne wa Chad wauawa mpakani na Niger

    Aug 27, 2016 23:35

    Wanajeshi wanne wa Chad wameuawa baada ya kuripuka bomu la kutegwa ardhini katika eneo moja la mpakani mwa nchi hiyo na Niger.

  • Wanigeria waandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Wanigeria waandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Aug 26, 2016 22:55

    Waislamu wa Nigeria wamendamana katika mji wa Kaduna ulioko kaskazini mwa nchi hiyo wakitaka kuachiwa huru mara moja kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa kwa miezi kadhaa sasa katika korokoro za nchi hiyo.

  • WFP: Watu milioni 4.5 wanahitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria

    WFP: Watu milioni 4.5 wanahitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 24, 2016 10:21

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa tangu mwezi Machi mwaka huu hadi sasa, idadi ya watu wanaohitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka maradufu na kufikia milioni 4.5.

  • Jeshi la Nigeria: Makamanda watatu wa Boko Haram wameuawa, kiongozi wao amejeruhiwa vibaya

    Jeshi la Nigeria: Makamanda watatu wa Boko Haram wameuawa, kiongozi wao amejeruhiwa vibaya

    Aug 23, 2016 12:07

    Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la nchini Nigeria inaaminika kuwa amejeruhiwa vibaya katika shambulio la anga lililofanywa na jeshi kaskazini mashariki mwa nchi. Hayo ni kwa mujibu wa duru rasmi za jeshi la nchi hiyo.

  • Kujisalimisha maelfu ya wanachama wa Boko Haram kwa jeshi la Nigeria

    Kujisalimisha maelfu ya wanachama wa Boko Haram kwa jeshi la Nigeria

    Aug 18, 2016 08:15

    Kanali Rabe Abubakar, Mkurugenzi wa taarifa za ulinzi za jeshi la Nigeria amesema, hivi karibuni wanachama wapatao 8,000 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko wamejisalimisha kwa hiyari yao kwa jeshi la nchi hiyo.

  • Kuendelea mashambulio dhidi ya vinu vya kusafisha mafuta Nigeria

    Kuendelea mashambulio dhidi ya vinu vya kusafisha mafuta Nigeria

    Aug 12, 2016 11:01

    Kundi jipya la wabeba silaha lililoundwa katika eneo la Niger Delta nchini Nigeria limeonya kuwa litafanya mashambulio zaidi ya ilivyokuwa hapo kabla dhidi ya vinu vya kusafisha mafuta vya makampuni ya kigeni yaliyoko katika eneo hilo.

  • Luteni Jenerali Buratai: Boko Haram wanakaribia kushindwa kikamilifu

    Luteni Jenerali Buratai: Boko Haram wanakaribia kushindwa kikamilifu

    Aug 10, 2016 09:37

    Kamanda Mkuu wa jeshi la Nigeria Tukur Yusuf Buratai amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram linakaribia kushindwa kikamilifu.

  • Makabiliano kati ya jeshi na wabeba silaha Nigeria yaua 19

    Makabiliano kati ya jeshi na wabeba silaha Nigeria yaua 19

    Aug 07, 2016 08:43

    Watu 19 wameuawa katika makabiliano makali kati ya askari wa jeshi la serikali na kundi la wabeba silaha katika jimbo la Niger nchini Nigeria.

  • Buhari akanusha madai ya kuzuka mpasuko wa kidini Nigeria

    Buhari akanusha madai ya kuzuka mpasuko wa kidini Nigeria

    Aug 03, 2016 03:27

    Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amekanusha madai kwamba serikali yake inafanya kila iwezalo kuleta mgawanyiko na matafaruku wa kidini nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS