Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sheikh Ibrahim Zakzaky

  • Amnesty International yakiri kuuawa kinyama Mashia wa Nigeria

    Amnesty International yakiri kuuawa kinyama Mashia wa Nigeria

    Nov 01, 2018 04:39

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limevinyooshea kidole cha lawama vikosi vya usalama vya Nigeria likivituhumu kwamba, vimehusika na mauaji ya kinyama ya makumi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • Wanigeria waandamana, waitaka serikali imwachie huru Sheikh Zakzaky

    Wanigeria waandamana, waitaka serikali imwachie huru Sheikh Zakzaky

    Oct 04, 2018 03:06

    Wananchi wa Nigeria wamefanya tena maandamano makubwa mjini Abuja wakitaka kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Mahakama ya Kaduna kusikiliza kesi ya  Sheikh Zakzaky Oktoba 4

    Mahakama ya Kaduna kusikiliza kesi ya Sheikh Zakzaky Oktoba 4

    Aug 04, 2018 04:22

    Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna nchini Nigeria imetangaza kuwa, itasikiliza ombi la kuachiliwa huru kwa dhamana Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kkiislamu ya Nigeria.

  • Mashinikizo ya Saudia yapelekea Nigeria isimuachilie huru Sheikh Zakzaky

    Mashinikizo ya Saudia yapelekea Nigeria isimuachilie huru Sheikh Zakzaky

    Jul 13, 2018 04:09

    Utawala wa Saudi Arabia unaishinikiza serikali ya Nigeria isimuachilie huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Sheikh Zakzaky hajulikani alipo, njia za mawasiliano zakatwa

    Sheikh Zakzaky hajulikani alipo, njia za mawasiliano zakatwa

    May 20, 2018 07:21

    Harakati ya Kiislamu Nigeria imeeleza juu ya wasi wasi ilionao kuhusu uwepo wa kiongozi wao, Sheikh Ibrahim Zakzaky, na kubainisha kwamba njia ambazo zilikuwa zikitumiwa na familia na watu wa karibu naye kwa ajili ya mawasiliano zimekatwa.

  • Mtoto wa Sheikh Zakzaky: Sina taarifa ya hali ya wazazi wangu

    Mtoto wa Sheikh Zakzaky: Sina taarifa ya hali ya wazazi wangu

    May 17, 2018 07:56

    Mtoto wa kiume wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, hana taarifa zozote kuhusiana na hali ya baba, mama na kaka zake wanaoshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo.

  • Sheikh Zakzaky apandishiwa kizimbani jimboni Kaduna

    Sheikh Zakzaky apandishiwa kizimbani jimboni Kaduna

    May 16, 2018 07:34

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky pamoja na mkewe wamefikishwa katika Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna.

  • Hali ya kiafya ya kiongozi wa harakati ya Kiislamu Nigeria si nzuri

    Hali ya kiafya ya kiongozi wa harakati ya Kiislamu Nigeria si nzuri

    Apr 04, 2018 07:17

    Hali ya kiafya ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, IMN, Sheikh Ibrahim Zakzaky, si nzuri na anahitaji matibabu ya dharura.

  • Harakati Ya Kiislamu Nigeria yataka haki itendeke kuhusu wafuasi wake waliouawa

    Harakati Ya Kiislamu Nigeria yataka haki itendeke kuhusu wafuasi wake waliouawa

    Feb 17, 2018 17:16

    Wafuasi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana kwa mnasaba wa Siku ya Arubaini ya kuuawa wafuasi kadhaa wa harakati hiyo wakati wakishiriki katika maandamano ya kutaka Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Nigeria inaendelea kumzuilia Sheikh Zakzaky kwa amri ya Marekani

    Nigeria inaendelea kumzuilia Sheikh Zakzaky kwa amri ya Marekani

    Feb 04, 2018 16:36

    Mwanaharakati wa kisiasa nchini Nigeria amekosoa vikali hatua ya serikali ya Abuja ya kukataa kumuachia huru mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky licha ya agizo la mahakama, na kusisitiza kuwa msomi huyo anaendelea kuzuiliwa kwa amri ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS