-
Amnesty International yakiri kuuawa kinyama Mashia wa Nigeria
Nov 01, 2018 04:39Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limevinyooshea kidole cha lawama vikosi vya usalama vya Nigeria likivituhumu kwamba, vimehusika na mauaji ya kinyama ya makumi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.
-
Wanigeria waandamana, waitaka serikali imwachie huru Sheikh Zakzaky
Oct 04, 2018 03:06Wananchi wa Nigeria wamefanya tena maandamano makubwa mjini Abuja wakitaka kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Mahakama ya Kaduna kusikiliza kesi ya Sheikh Zakzaky Oktoba 4
Aug 04, 2018 04:22Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna nchini Nigeria imetangaza kuwa, itasikiliza ombi la kuachiliwa huru kwa dhamana Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kkiislamu ya Nigeria.
-
Mashinikizo ya Saudia yapelekea Nigeria isimuachilie huru Sheikh Zakzaky
Jul 13, 2018 04:09Utawala wa Saudi Arabia unaishinikiza serikali ya Nigeria isimuachilie huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Sheikh Zakzaky hajulikani alipo, njia za mawasiliano zakatwa
May 20, 2018 07:21Harakati ya Kiislamu Nigeria imeeleza juu ya wasi wasi ilionao kuhusu uwepo wa kiongozi wao, Sheikh Ibrahim Zakzaky, na kubainisha kwamba njia ambazo zilikuwa zikitumiwa na familia na watu wa karibu naye kwa ajili ya mawasiliano zimekatwa.
-
Mtoto wa Sheikh Zakzaky: Sina taarifa ya hali ya wazazi wangu
May 17, 2018 07:56Mtoto wa kiume wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, hana taarifa zozote kuhusiana na hali ya baba, mama na kaka zake wanaoshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo.
-
Sheikh Zakzaky apandishiwa kizimbani jimboni Kaduna
May 16, 2018 07:34Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky pamoja na mkewe wamefikishwa katika Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna.
-
Hali ya kiafya ya kiongozi wa harakati ya Kiislamu Nigeria si nzuri
Apr 04, 2018 07:17Hali ya kiafya ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, IMN, Sheikh Ibrahim Zakzaky, si nzuri na anahitaji matibabu ya dharura.
-
Harakati Ya Kiislamu Nigeria yataka haki itendeke kuhusu wafuasi wake waliouawa
Feb 17, 2018 17:16Wafuasi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana kwa mnasaba wa Siku ya Arubaini ya kuuawa wafuasi kadhaa wa harakati hiyo wakati wakishiriki katika maandamano ya kutaka Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.
-
Nigeria inaendelea kumzuilia Sheikh Zakzaky kwa amri ya Marekani
Feb 04, 2018 16:36Mwanaharakati wa kisiasa nchini Nigeria amekosoa vikali hatua ya serikali ya Abuja ya kukataa kumuachia huru mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky licha ya agizo la mahakama, na kusisitiza kuwa msomi huyo anaendelea kuzuiliwa kwa amri ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.