Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Afya Duniani

  • WHO yatoa indhari baada ya Wayemeni nusu milioni kukumbwa na kipindupindu

    WHO yatoa indhari baada ya Wayemeni nusu milioni kukumbwa na kipindupindu

    Aug 14, 2017 22:00

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa kutokana na kuendelea hujuma na mashambulio ya kijeshi ya Saudi Arabia nchini Yemen, zaidi ya watu laki tano na elfu tatu wamekumbwa na ugonjwa wa kipindupindu nchini humo huku wagonjwa 1,975 wakiwa tayari wameaga dunia kuanzia mwezi Aprili mwaka huu hadi sasa kutokana na ugonjwa huo.

  • Mlipuko wa polio waripotiwa Kongo DR, mikoa 2 yaathiriwa

    Mlipuko wa polio waripotiwa Kongo DR, mikoa 2 yaathiriwa

    Jun 14, 2017 03:40

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza habari ya mlipuko wa ugonjwa wa kupooza (polio) katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • WHO: Watu bilioni 2 duniani wanakunywa maji machafu

    WHO: Watu bilioni 2 duniani wanakunywa maji machafu

    Apr 13, 2017 02:58

    Shirika la Afya Duniani limesema watu bilioni 2 kote duniani wanatumia maji machafu na kusisitiza kwamba kuna haja ya kufanyika juhudi za makusudi kuhakikisha kuwa kila mtu anapata maji safi ya kunywa na anaishi katika mazingira safi yenye mifumo ya kuondoa majitaka.

  • WHO: Wasomali zaidi ya milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo

    WHO: Wasomali zaidi ya milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo

    Mar 01, 2017 00:26

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu uzima na maisha ya zaidi ya Wasomali milioni moja wanaosumbuliwa na baa la njaa.

  • WHO yawataka walimwengu wazidishe mapambano dhidi ya sigara

    WHO yawataka walimwengu wazidishe mapambano dhidi ya sigara

    Jan 11, 2017 10:35

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa mapambano dhidi ya sigara yanaweza kuokoa mabilioni ya fedha mbali na kuokoa maisha ya mamilioni ya wanadamu.

  • WHO yatoa indhari: Hali ya kiafya ya Yemen ni mbaya sana

    WHO yatoa indhari: Hali ya kiafya ya Yemen ni mbaya sana

    Jan 01, 2017 13:05

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa hali ya kiafya nchini Yemen ni mbaya sana na kubainisha kuwa tangu vilipoanza vita vya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo hadi mwezi Novemba mwaka jana, zaidi ya watu 7,300 wameuawa na wengine ya 39,000 wamejeruhiwa.

  • WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100

    WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100

    Dec 23, 2016 03:31

    Utafiti uliochapishwa katika jarida la Lancet umeonyesha kuwa chanjo ya majaribio ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Ebola kwa jina la rVSV-ZEBOV inaonekana kuwa na athari kwa asilimia 100.

  • WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria

    WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria

    Dec 16, 2016 01:19

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Boko Haram limeharibu sehemu kubwa ya vituo vya afya katika eneo la kaskazini mwa Nigeria.

  • WHO: Nusu ya wanaoishi na HIV kote duniani hawajapimwa

    WHO: Nusu ya wanaoishi na HIV kote duniani hawajapimwa

    Dec 01, 2016 00:39

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema karibu nusu ya watu wanaoishi na virusi vya HIV kote duniani hawana habari wala ufahamu kuwa wameambukizwa virusi hivyo hatari vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi.

  • WHO: Hospitali 600 zimeshambuliwa miaka miwili iliyopita

    WHO: Hospitali 600 zimeshambuliwa miaka miwili iliyopita

    May 27, 2016 02:38

    Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani WHO imebaini kuwa mashambulizi takriban 600 yamelenga wauguzi ulimwenguni kote mwaka 2014 na 2015 na kusababisha vifo zaidi ya 900.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS