Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Afya Duniani

  • WHO yatoa indhari: Hali ya kiafya ya Yemen ni mbaya sana

    WHO yatoa indhari: Hali ya kiafya ya Yemen ni mbaya sana

    Jan 01, 2017 13:05

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa hali ya kiafya nchini Yemen ni mbaya sana na kubainisha kuwa tangu vilipoanza vita vya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo hadi mwezi Novemba mwaka jana, zaidi ya watu 7,300 wameuawa na wengine ya 39,000 wamejeruhiwa.

  • WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100

    WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100

    Dec 23, 2016 03:31

    Utafiti uliochapishwa katika jarida la Lancet umeonyesha kuwa chanjo ya majaribio ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Ebola kwa jina la rVSV-ZEBOV inaonekana kuwa na athari kwa asilimia 100.

  • WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria

    WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria

    Dec 16, 2016 01:19

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Boko Haram limeharibu sehemu kubwa ya vituo vya afya katika eneo la kaskazini mwa Nigeria.

  • WHO: Nusu ya wanaoishi na HIV kote duniani hawajapimwa

    WHO: Nusu ya wanaoishi na HIV kote duniani hawajapimwa

    Dec 01, 2016 00:39

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema karibu nusu ya watu wanaoishi na virusi vya HIV kote duniani hawana habari wala ufahamu kuwa wameambukizwa virusi hivyo hatari vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi.

  • WHO: Hospitali 600 zimeshambuliwa miaka miwili iliyopita

    WHO: Hospitali 600 zimeshambuliwa miaka miwili iliyopita

    May 27, 2016 02:38

    Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani WHO imebaini kuwa mashambulizi takriban 600 yamelenga wauguzi ulimwenguni kote mwaka 2014 na 2015 na kusababisha vifo zaidi ya 900.

  • WHO: Malaria itaangamizwa kabisa Afrika hadi mwaka 2020

    WHO: Malaria itaangamizwa kabisa Afrika hadi mwaka 2020

    Apr 25, 2016 10:36

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kuna uwezekano ugonjwa wa malaria utaangamizwa kabisa ifikapo mwaka 2020.

  • Makumi waaga dunia kutokana na homa ya manjano DRC

    Makumi waaga dunia kutokana na homa ya manjano DRC

    Apr 13, 2016 02:38

    Mripuko wa homa ya manjano umesababisha vifo vya watu wasiopungua 21 katika Jamhuri ya Kidemorasia ya Kongo.

  • Tahadhari ya WHO kuhusu mgogoro wa maji duniani

    Tahadhari ya WHO kuhusu mgogoro wa maji duniani

    Mar 19, 2016 23:35

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa ripoti kuhusu mgogoro wa maji na hatari ya kuchafuliwa kwa maji kote duniani.

  • WHO: Mripuko wa Zika utapanuka zaidi

    WHO: Mripuko wa Zika utapanuka zaidi

    Feb 25, 2016 04:34

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa, virusi vya Zika huenda vikasambaa zaidi katika siku za usoni kabla ya ugonjwa huo kupatiwa tiba na kudhibitiwa.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS