Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Wanamgambo wa kikoo kuingizwa katika Jeshi la Somalia

    Wanamgambo wa kikoo kuingizwa katika Jeshi la Somalia

    Mar 31, 2018 10:31

    Vikosi vya Umoja wa Afrika vya kulinda Amani nchini Somalia, maarufu kama AMISOM, vimetangaza kuanza kwa zoezi la kuwasajili kwa njia ya kielektroniki wapiganaji wa makundi ya wanamgambo wa kikoo katika eneo la Jubbaland, ikiwa ni mchakato wa kuwajumuisha katika jeshi la serikali katika jimbo hilo.

  • Ujenzi wa ukuta katika mpaka wa Kenya na Somalia wasimamishwa

    Ujenzi wa ukuta katika mpaka wa Kenya na Somalia wasimamishwa

    Mar 30, 2018 10:38

    Shughuli ya kujenga ukuta wa kilomita 700 katika mpaka wa Kenya na Somalia imesimamishwa kwa muda, ili kutoa nafasi ya kufanyika mashauriano zaidi kati ya nchi mbili hizo jirani.

  • Somalia yaitaka UN kusitisha uvamizi wa Imarati Somaliland

    Somalia yaitaka UN kusitisha uvamizi wa Imarati Somaliland

    Mar 29, 2018 00:04

    Mwakilishi wa Somalia katika Umoja wa Mataifa amelaani hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ya kukiuka maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na ametaka hatua za lazima zichukuliwe ili kusitisha uchokozi huo wa Imarati.

  • Marekani yamzuia rais wa zamani wa Somalia kuingia nchini humo

    Marekani yamzuia rais wa zamani wa Somalia kuingia nchini humo

    Mar 27, 2018 03:13

    Aliyekuwa rais wa Somalia amenyimwa viza ya kuingia nchini Marekani, chini ya dikrii iliyopasishwa na Rais Donald Trump ya kuzuia watu na wahajiri kutoka nchi za Kiislamu kuingia nchini humo.

  • Mgogoro wa kisiasa nchini Somalia waitia wasiwasi IGAD

    Mgogoro wa kisiasa nchini Somalia waitia wasiwasi IGAD

    Mar 26, 2018 23:03

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali ya Nchi za Afrika Mashariki IGAD imeeleza wasiwasi iliyonao juu ya kushtadi mgogoro wa kisiasa nchini Somalia.

  • Watu 14 wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Watu 14 wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Mar 23, 2018 00:02

    Kwa akali watu 14 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa bomu uliotokea katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu.

  • Jumuiya ya IGAD yataka kuhitimishwa mgogoro wa wakimbizi Somalia

    Jumuiya ya IGAD yataka kuhitimishwa mgogoro wa wakimbizi Somalia

    Mar 22, 2018 23:29

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali ya Nchi za Afrika Mashariki IGAD imesisitiza tena uungaji mkono wake wenye lengo la kuhitimisha mgogoro wa wakimbizi nchini Somalia.

  • AU: Mamlaka za ndani Somalia ziimarishe vita dhidi ya al-Shabaab

    AU: Mamlaka za ndani Somalia ziimarishe vita dhidi ya al-Shabaab

    Mar 14, 2018 10:55

    Mjumbe wa ngazi za juu wa Umoja wa Afrika nchini Somalia ameyataka maeneo yenye mamlaka ya ndani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika yaimarishe makabiliano dhidi ya kundi la kigaidi na la kitakfiri la al-Shabaab.

  • Bunge la Somalia lapinga makubaliano ya Imarati na Somaliland

    Bunge la Somalia lapinga makubaliano ya Imarati na Somaliland

    Mar 13, 2018 04:05

    Bunge la Federali la Somalia limepiga kura kwa kishindo kupinga makubaliano ya pande tatu kati ya eneo la Somaliland, Umoja wa Falme za Kiarabu na Ethiopia kuhusu bandari ya Berbera, iliyoko katika Ghuba ya Aden.

  • Askari wanne wa Somalia wauawa katika shambulio la bomu karibu na Mogadishu

    Askari wanne wa Somalia wauawa katika shambulio la bomu karibu na Mogadishu

    Mar 11, 2018 03:48

    Askari wasiopungua wanne wa vikosi vya usalama vya Somalia wameuawa na mwengine mmoja amejeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea kwenye viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS