Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Usalama waimarishwa Somalia kabla ya mkutano wa kilele wa IGAD

    Usalama waimarishwa Somalia kabla ya mkutano wa kilele wa IGAD

    Sep 12, 2016 02:20

    Serikali ya Somalia imeimarisha usalama kote katika nchi hiyo, hususan mji mkuu Mogadishu, wakati wa kufanyika kwa mkutano wa Shirika la Maendeleo la Kiserikali la Nchi za Afrika Mashariki IGAD mjini humo hapo kesho

  • Usalama waimarishwa Somalia kabla ya kuanza kikao cha viongozi wa IGAD

    Usalama waimarishwa Somalia kabla ya kuanza kikao cha viongozi wa IGAD

    Sep 11, 2016 02:30

    Serikali ya Somalia imechukua hatua kali za kuimarisha usalama katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu sambamba na kukaribia kufanyika kikao cha viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ustawi wa Mashariki mwa Afrika IGAD

  • Kikosi cha AMISOM chadhibiti ngome muhimu ya al-Shabab nchini Somalia

    Kikosi cha AMISOM chadhibiti ngome muhimu ya al-Shabab nchini Somalia

    Sep 09, 2016 10:10

    Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimefanikiwa kudhibiti ngome muhimu ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabab katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Wanachama wanne wa  Daesh watiwa mbaroni Somalia

    Wanachama wanne wa Daesh watiwa mbaroni Somalia

    Sep 05, 2016 09:32

    Wanachama wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wametiwa mbaroni kusini mwa Somalia.

  • Wanamgambo wa al-Shabab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia Baidoa

    Wanamgambo wa al-Shabab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia Baidoa

    Sep 03, 2016 23:43

    Vikosi vya usalama vya Somalia vimefanya operesheni kubwa dhidi ya wanamgambo wa kigaidi wa al-Shabab katika eneo la kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • AU: Hatua zaidi zichukuliwe kuzuia vijana kufuatia itikadi za msimamo mkali Somalia

    AU: Hatua zaidi zichukuliwe kuzuia vijana kufuatia itikadi za msimamo mkali Somalia

    Sep 02, 2016 10:23

    Kikosi cha Umoja wa Afrika cha Kulinda Amani Somalia (AMISOM) kimetoa wito kwa vijana kushirikiana na polisi katika kupambana na itikadi za misimamo mikali na kuimarisha amani na utulivu nchini humo.

  • Ash-Shabab yashambulia tena mjini Mogadishu, watu kadhaa wauawa

    Ash-Shabab yashambulia tena mjini Mogadishu, watu kadhaa wauawa

    Aug 27, 2016 03:15

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia limefanya shambulizi lingine mjini Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • AU kushirikiana na Somalia kudhaminii usalama wakati wa uchaguzi

    AU kushirikiana na Somalia kudhaminii usalama wakati wa uchaguzi

    Aug 23, 2016 23:05

    Umoja wa Afrika (AU) umeeleza kuwa utashirikiana na Somalia kudhamini usalama wakati wa kufanyika uchaguzi nchini humo.

  • Kenyatta: Vikosi vya AMISOM vimepiga hatua katika mapambano dhidi ya Al-Shabab

    Kenyatta: Vikosi vya AMISOM vimepiga hatua katika mapambano dhidi ya Al-Shabab

    Aug 23, 2016 00:20

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema jeshi la Somalia na vikosi vya Umoja wa Afrika vilivyotumwa nchini humo (AMISOM) vimepiga hatua ya kuridhisha katika vita dhidi ya wanamgambo wa kundi la Al-AShabab nchini Somalia.

  • Shambulio la mabomu laua watu wasiopungua 20 Somalia

    Shambulio la mabomu laua watu wasiopungua 20 Somalia

    Aug 21, 2016 11:05

    Watu wasiopungua 20 wameuawa katika miripuko miwili ya mabomu yaliyotegwa garini iliyotokea katika mji wa Galkayo ulioko kwenye makao makuu ya eneo linalojiendeshea mambo yake la Puntland nchini Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS