Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Wanamgambo wa al-Shabab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia Baidoa

    Wanamgambo wa al-Shabab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia Baidoa

    Sep 03, 2016 23:43

    Vikosi vya usalama vya Somalia vimefanya operesheni kubwa dhidi ya wanamgambo wa kigaidi wa al-Shabab katika eneo la kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • AU: Hatua zaidi zichukuliwe kuzuia vijana kufuatia itikadi za msimamo mkali Somalia

    AU: Hatua zaidi zichukuliwe kuzuia vijana kufuatia itikadi za msimamo mkali Somalia

    Sep 02, 2016 10:23

    Kikosi cha Umoja wa Afrika cha Kulinda Amani Somalia (AMISOM) kimetoa wito kwa vijana kushirikiana na polisi katika kupambana na itikadi za misimamo mikali na kuimarisha amani na utulivu nchini humo.

  • Ash-Shabab yashambulia tena mjini Mogadishu, watu kadhaa wauawa

    Ash-Shabab yashambulia tena mjini Mogadishu, watu kadhaa wauawa

    Aug 27, 2016 03:15

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia limefanya shambulizi lingine mjini Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • AU kushirikiana na Somalia kudhaminii usalama wakati wa uchaguzi

    AU kushirikiana na Somalia kudhaminii usalama wakati wa uchaguzi

    Aug 23, 2016 23:05

    Umoja wa Afrika (AU) umeeleza kuwa utashirikiana na Somalia kudhamini usalama wakati wa kufanyika uchaguzi nchini humo.

  • Kenyatta: Vikosi vya AMISOM vimepiga hatua katika mapambano dhidi ya Al-Shabab

    Kenyatta: Vikosi vya AMISOM vimepiga hatua katika mapambano dhidi ya Al-Shabab

    Aug 23, 2016 00:20

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema jeshi la Somalia na vikosi vya Umoja wa Afrika vilivyotumwa nchini humo (AMISOM) vimepiga hatua ya kuridhisha katika vita dhidi ya wanamgambo wa kundi la Al-AShabab nchini Somalia.

  • Shambulio la mabomu laua watu wasiopungua 20 Somalia

    Shambulio la mabomu laua watu wasiopungua 20 Somalia

    Aug 21, 2016 11:05

    Watu wasiopungua 20 wameuawa katika miripuko miwili ya mabomu yaliyotegwa garini iliyotokea katika mji wa Galkayo ulioko kwenye makao makuu ya eneo linalojiendeshea mambo yake la Puntland nchini Somalia.

  • Magaidi wanne wa ash-Shabab waangamizwa Somalia

    Magaidi wanne wa ash-Shabab waangamizwa Somalia

    Aug 20, 2016 10:15

    Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) wametangaza habari ya kuuawa wanachama wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al Shabab nchini humo.

  • AU; Uchaguzi Somalia lazima ufanyike kama ilivyopangwa

    AU; Uchaguzi Somalia lazima ufanyike kama ilivyopangwa

    Aug 18, 2016 09:47

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Afrika nchini Somalia amesiistiza juu ya azma ya umoja huo ya kuhakikisha kuwa uchaguzi wa Rais na Bunge huko Somalia unafanyika kama ilivyoainishwa.

  • Askari wa AU nchini Somalia wafungwa jela kwa kufanya ulaghai

    Askari wa AU nchini Somalia wafungwa jela kwa kufanya ulaghai

    Aug 16, 2016 23:27

    Askari tisa wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM wamehukumiwa vifungo jela kwa kuendesha biashara ya ulaghai ya mafuta katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Maafisa usalama wa Somalia kupatiwa mafunzo zaidi na kikosi cha AMISOM

    Maafisa usalama wa Somalia kupatiwa mafunzo zaidi na kikosi cha AMISOM

    Aug 14, 2016 09:47

    Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimeazimia kuongeza kozi za mafunzo kwa maafisa usalama wa nchi hiyo ya pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS