Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Kenyatta: Vikosi vya AMISOM vimepiga hatua katika mapambano dhidi ya Al-Shabab

    Kenyatta: Vikosi vya AMISOM vimepiga hatua katika mapambano dhidi ya Al-Shabab

    Aug 23, 2016 00:20

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema jeshi la Somalia na vikosi vya Umoja wa Afrika vilivyotumwa nchini humo (AMISOM) vimepiga hatua ya kuridhisha katika vita dhidi ya wanamgambo wa kundi la Al-AShabab nchini Somalia.

  • Shambulio la mabomu laua watu wasiopungua 20 Somalia

    Shambulio la mabomu laua watu wasiopungua 20 Somalia

    Aug 21, 2016 11:05

    Watu wasiopungua 20 wameuawa katika miripuko miwili ya mabomu yaliyotegwa garini iliyotokea katika mji wa Galkayo ulioko kwenye makao makuu ya eneo linalojiendeshea mambo yake la Puntland nchini Somalia.

  • Magaidi wanne wa ash-Shabab waangamizwa Somalia

    Magaidi wanne wa ash-Shabab waangamizwa Somalia

    Aug 20, 2016 10:15

    Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) wametangaza habari ya kuuawa wanachama wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al Shabab nchini humo.

  • AU; Uchaguzi Somalia lazima ufanyike kama ilivyopangwa

    AU; Uchaguzi Somalia lazima ufanyike kama ilivyopangwa

    Aug 18, 2016 09:47

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Afrika nchini Somalia amesiistiza juu ya azma ya umoja huo ya kuhakikisha kuwa uchaguzi wa Rais na Bunge huko Somalia unafanyika kama ilivyoainishwa.

  • Askari wa AU nchini Somalia wafungwa jela kwa kufanya ulaghai

    Askari wa AU nchini Somalia wafungwa jela kwa kufanya ulaghai

    Aug 16, 2016 23:27

    Askari tisa wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM wamehukumiwa vifungo jela kwa kuendesha biashara ya ulaghai ya mafuta katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Maafisa usalama wa Somalia kupatiwa mafunzo zaidi na kikosi cha AMISOM

    Maafisa usalama wa Somalia kupatiwa mafunzo zaidi na kikosi cha AMISOM

    Aug 14, 2016 09:47

    Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimeazimia kuongeza kozi za mafunzo kwa maafisa usalama wa nchi hiyo ya pembe ya Afrika.

  • Somalia kuelekea kwenye siasa za vyama ili kuondoa ushindani wa kikoo

    Somalia kuelekea kwenye siasa za vyama ili kuondoa ushindani wa kikoo

    Aug 11, 2016 00:02

    Kongamano la viongozi wa kanda na wa kitaifa wa Somalia limetangaza kuwa wabunge watakaochaguliwa katika bunge jipya litakaloundwa mwaka huu watalazimika kujiunga na chama cha siasa ndani ya kipindi cha miaka miwili au kujiuzulu, ikiwa ni katika juhudi za kuliondoa taifa hilo la Pembe ya Afrika kwenye siasa za kikoo.

  • Stratijia mpya ya jeshi la Somalia na Umoja wa Afrika katika kukabiliana na ash-Shabab

    Stratijia mpya ya jeshi la Somalia na Umoja wa Afrika katika kukabiliana na ash-Shabab

    Aug 08, 2016 23:15

    Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kwa kushirikiana na askari wa serikali ya nchi hiyo, wamebadili stratijia kwa ajili ya kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab.

  • Stratijia mpya ya jeshi la Somalia na Umoja wa Afrika katika kukabiliana na ash-Shabab

    Stratijia mpya ya jeshi la Somalia na Umoja wa Afrika katika kukabiliana na ash-Shabab

    Aug 08, 2016 23:14

    Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kwa kushirikiana na askari wa serikali ya nchi hiyo, wamebadili stratijia kwa ajili ya kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab.

  • Kamisheni ya Uchaguzi Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa Rais

    Kamisheni ya Uchaguzi Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa Rais

    Aug 08, 2016 10:09

    Kamisheni ya Uchaguzi ya Somalia imetangaza kuwa, uchaguzi wa Rais nchini humo utafanyika tarehe 30 Oktoba mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS