-
Wanamgambo wa al-Shabab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia Baidoa
Sep 03, 2016 23:43Vikosi vya usalama vya Somalia vimefanya operesheni kubwa dhidi ya wanamgambo wa kigaidi wa al-Shabab katika eneo la kusini magharibi mwa nchi hiyo.
-
AU: Hatua zaidi zichukuliwe kuzuia vijana kufuatia itikadi za msimamo mkali Somalia
Sep 02, 2016 10:23Kikosi cha Umoja wa Afrika cha Kulinda Amani Somalia (AMISOM) kimetoa wito kwa vijana kushirikiana na polisi katika kupambana na itikadi za misimamo mikali na kuimarisha amani na utulivu nchini humo.
-
Ash-Shabab yashambulia tena mjini Mogadishu, watu kadhaa wauawa
Aug 27, 2016 03:15Kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia limefanya shambulizi lingine mjini Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
AU kushirikiana na Somalia kudhaminii usalama wakati wa uchaguzi
Aug 23, 2016 23:05Umoja wa Afrika (AU) umeeleza kuwa utashirikiana na Somalia kudhamini usalama wakati wa kufanyika uchaguzi nchini humo.
-
Kenyatta: Vikosi vya AMISOM vimepiga hatua katika mapambano dhidi ya Al-Shabab
Aug 23, 2016 00:20Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema jeshi la Somalia na vikosi vya Umoja wa Afrika vilivyotumwa nchini humo (AMISOM) vimepiga hatua ya kuridhisha katika vita dhidi ya wanamgambo wa kundi la Al-AShabab nchini Somalia.
-
Shambulio la mabomu laua watu wasiopungua 20 Somalia
Aug 21, 2016 11:05Watu wasiopungua 20 wameuawa katika miripuko miwili ya mabomu yaliyotegwa garini iliyotokea katika mji wa Galkayo ulioko kwenye makao makuu ya eneo linalojiendeshea mambo yake la Puntland nchini Somalia.
-
Magaidi wanne wa ash-Shabab waangamizwa Somalia
Aug 20, 2016 10:15Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) wametangaza habari ya kuuawa wanachama wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al Shabab nchini humo.
-
AU; Uchaguzi Somalia lazima ufanyike kama ilivyopangwa
Aug 18, 2016 09:47Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Afrika nchini Somalia amesiistiza juu ya azma ya umoja huo ya kuhakikisha kuwa uchaguzi wa Rais na Bunge huko Somalia unafanyika kama ilivyoainishwa.
-
Askari wa AU nchini Somalia wafungwa jela kwa kufanya ulaghai
Aug 16, 2016 23:27Askari tisa wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM wamehukumiwa vifungo jela kwa kuendesha biashara ya ulaghai ya mafuta katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Maafisa usalama wa Somalia kupatiwa mafunzo zaidi na kikosi cha AMISOM
Aug 14, 2016 09:47Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimeazimia kuongeza kozi za mafunzo kwa maafisa usalama wa nchi hiyo ya pembe ya Afrika.