Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Vita vyawalazimisha watoto milioni mbili Sudan Kusini kukimbia makazi yao

    Vita vyawalazimisha watoto milioni mbili Sudan Kusini kukimbia makazi yao

    May 08, 2017 10:55

    Umoja wa Mataifa umetangaza leo kuwa vita na ukame vimewalazimisha watoto zaidi ya milioni mbili kuyahama makazi yao nchini Sudan Kusini huku watu 21 wakiuawa katika shambulio la karibuni lililofanywa na watu wenye silaha wasiojulikana.

  • UN: Watoto milioni 2 wa Sudan Kusiniwamelazimika kuwa wakimbizi

    UN: Watoto milioni 2 wa Sudan Kusiniwamelazimika kuwa wakimbizi

    May 08, 2017 03:18

    Umoja wa Mataifa umesema watoto zaidi ya milioni 2 wa Sudan Kusini wamelazimika kuyahama makazi yao kutokana na mapigano na ukame vinavyoisakama nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • UN yalaani shambulizi dhidi ya askari wa kusimamia amani huko Sudan Kusini

    UN yalaani shambulizi dhidi ya askari wa kusimamia amani huko Sudan Kusini

    May 07, 2017 23:01

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limelaani shambulizi la hivi karibuni la waasi wa Sudan Kusini dhidi ya askari wa kusimamia amani wa umoja huo katika mji wa Leer, magharibi mwa mkoa wa Upper Nile.

  • Umoja wa Mataifa waonyesha wasiwasi wake kutokana na kuendelea machafuko Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa waonyesha wasiwasi wake kutokana na kuendelea machafuko Sudan Kusini

    May 05, 2017 09:09

    Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameonyesha wasiwasi mkubwa alionao kutokana na kuendelea mgogoro wa Sudan Kusini na ametoa wito wa kusimamishwa mapigano katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Uingereza yatuma mamia ya askari wake nchini Sudan Kusini

    Uingereza yatuma mamia ya askari wake nchini Sudan Kusini

    May 03, 2017 03:14

    Serikali ya Uingereza imeanza kutuma askari 400 wa nchi hiyo nchini Sudan Kusini kwenda kujiunga na Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa UNMISS.

  • Sudan Kusini yaipiga marufuku televisheni ya 'Aljazeera' nchini humo

    Sudan Kusini yaipiga marufuku televisheni ya 'Aljazeera' nchini humo

    May 02, 2017 03:48

    Ofisi ya kusimamia vyombo vya habari nchini Sudan Kusini, imezifunga ofisi za televisheni ya Al-Jazeera ya Kingereza kuendelea na shughuli zake ndani ya nchi hiyo.

  • AU yaonyesha masikitiko yake makubwa juu ya kuendelea mapigano Sudan Kusini

    AU yaonyesha masikitiko yake makubwa juu ya kuendelea mapigano Sudan Kusini

    May 01, 2017 09:36

    Umoja wa Afrika umeonyesha wasi wasi wake mkubwa kutokana na hali mabaya nchini Sudan Kusini na kuendelea mapigano sambamba na mashambulizi dhidi ya raia wa kawaida.

  • UN yasema machafuko mapya Sudan Kusini yanaongeza mateso kwa raia

    UN yasema machafuko mapya Sudan Kusini yanaongeza mateso kwa raia

    Apr 30, 2017 03:01

    Umoja wa Mataifa umeeleza kusikitishwa na kuongezeka kwa machafuko na mateso kwa raia wa Sudan Kusini, kufuatia operesheni ya hivi karibuni ya jeshi la serikali ya nchi hiyo.

  • Baadhi ya marais wa Afrika hawataki Machar arejee Sudan Kusini

    Baadhi ya marais wa Afrika hawataki Machar arejee Sudan Kusini

    Apr 27, 2017 03:32

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema baadhi ya nchi za kanda ya Afrika Mashariki pamoja na Afrika Kusini haziungi mkono wazo la kurejea mjini Juba, kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini, Riek Machar.

  • Sudan yamtuhumu Rais wa Sudan Kusini kwa kufanya mazungumzo na waasi

    Sudan yamtuhumu Rais wa Sudan Kusini kwa kufanya mazungumzo na waasi

    Apr 25, 2017 03:46

    Sudan jana iliitaka nchi jirani ya Sudan Kusini isitishe uungaji mkono wake kwa makundi ya waasi wanaopigana vita na Khartoum na kumtuhumu Rais Kiir kuwa amekutana na kufanya mazungumzo na waasi wiki iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS