Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Juba yapinga kutumwa wanajeshi wa kulinda amani  katika mipaka ya Sudan mbili

    Juba yapinga kutumwa wanajeshi wa kulinda amani katika mipaka ya Sudan mbili

    Jul 31, 2016 23:28

    Sudan Kusini imesisitiza kuwa kikosi cha kulinda amani cha Kiafrika hakiwezi kutumwa katika mipaka ya pamoja ya nchi hiyo na Sudan.

  • Sudan Kusini kuzishawishi UN na IGAD zikubali mabadiliko ya uongozi

    Sudan Kusini kuzishawishi UN na IGAD zikubali mabadiliko ya uongozi

    Jul 31, 2016 11:49

    Serikali ya umoja wa kitaifa ya Sudan Kusini imemteua Makamu mpya wa Rais aliyechukua nafasi ya Riek Machar kuufafanulia Umoja wa Mataifa sababu za kufanyika mabadiliko ya uongozi ndani ya chama cha upinzani cha SPLM-IO.

  • Ombi la mashirika ya utoaji misaada Sudan Kusini kwa Umoja wa Mataifa

    Ombi la mashirika ya utoaji misaada Sudan Kusini kwa Umoja wa Mataifa

    Jul 30, 2016 10:26

    Mashirika yanayofanya kazi ya kutoa misaada ya kibinadamu nchini Sudan Kusini yametoa taarifa ya pamoja na kutangaza kuwa Umoja wa Mataifa unapaswa kuandaa mazingira ya ufikishaji misaada kwa waathirika wa vita vya ndani nchini humo.

  • Mashirika ya misaada Sudan Kusini yaitaka UN kuwasaidi walioathiriwa na vita

    Mashirika ya misaada Sudan Kusini yaitaka UN kuwasaidi walioathiriwa na vita

    Jul 29, 2016 22:09

    Mashirika ya misaada ya kibinadamu yanayohudumu Sudan Kusini yameutaka Umoja wa Mataifa uandae uwanja mzuri wa kuwasaidia raia walioathiriwa na vita vya ndani nchini humo.

  • Kiir: Nafasi ya Machar ilijazwa na SPLM yenyewe, sio mimi

    Kiir: Nafasi ya Machar ilijazwa na SPLM yenyewe, sio mimi

    Jul 28, 2016 11:01

    Serikali ya Sudan Kusini imepuuzlilia mbali onyo la Umoja wa Mataifa kuhusu uteuzi wa viongozi wa kisiasa nchini humo na haswa uteuzi wa Makamu wa Rais mpya aliyechukua nafasi ya Riek Machar.

  • Sudan Kusini yakanusha tetesi za kuuawa Machar

    Sudan Kusini yakanusha tetesi za kuuawa Machar

    Jul 28, 2016 00:21

    Sudan Kusini imekanusha tetesi kwamba kiongozi wa upinzani wa nchi hiyo Riek Machar ameuawa.

  • Kesi 290 za kipindupindu zaripotiwa Sudan Kusini

    Kesi 290 za kipindupindu zaripotiwa Sudan Kusini

    Jul 26, 2016 22:11

    Wizara ya Afya Sudan Kusini imethibitisha kutokea mripuko wa kipindupindu nchini humo huku kesi karibu 300 za ugonjwa huo zikiripotiwa.

  • Kuongezeka mgawanyiko wa kisiasa Sudan Kusini

    Kuongezeka mgawanyiko wa kisiasa Sudan Kusini

    Jul 25, 2016 06:48

    Mgawanyiko wa kisaisa umeshadidi huko Sudan Kusini kufuatia Riek Machar kiongozi wa waasi wa nchi hiyo kumfukuza Taban Deng Gai kwa upande mmoja; na matamshi ya kiwanagenzi ya Deng Gai na sisitizo lake la kusalia katika nafasi yake kwa upande wa pili.

  • Machar apuuza makataa ya masaa 48 ya Kiir kumtaka arejee Juba

    Machar apuuza makataa ya masaa 48 ya Kiir kumtaka arejee Juba

    Jul 22, 2016 23:39

    Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar amekataa kuheshimu makataa ya masaa 48 aliyopewa na Rais Salva Kiir wa nchi hiyo awe amerejea katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba.

  • Wapinzani: Kuna njama ya kujaza nafasi ya Machar Sudan Kusini

    Wapinzani: Kuna njama ya kujaza nafasi ya Machar Sudan Kusini

    Jul 24, 2016 03:21

    Wafuasi wa karibu wa Riek Machar, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini wamedai kuwa Rais Salva Kiir anapanga njama ya kujaza nafasi ya Machar ambaye kwa sasa hayuko katika mji mkuu Juba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS