-
Jibu la Syria kwa uzushi wa magaidi na waungaji mkono wao
Apr 06, 2017 03:04Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Faisal al-Miqdad ametaka wahusika wa mashambulio ya silaha za kemikali yaliyofanywa katika mkoa wa Idlib wawajibishwe na kusisitiza kuwa jeshi la Syria halijawahi hata mara moja kutumia silaha za kemikali katika vita na magaidi.
-
Magaidi ndio waliofanya shambulio la kemikali nchini Syria
Apr 05, 2017 22:49Msemaji wa Ikulu ya Russia, Kremlin amesema kuwa, magaidi ndio waliofanya mashambulizi ya silaha za kemikali nchini Syria.
-
Qassemi: Iran inalaaani matumizi ya aina yoyote ya silaha za kemikali
Apr 05, 2017 11:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Tehran inalaani matumizi ya aina yoyote ya silaha za kemikali bila ya kujali waliofanya na aina ya wahanga wa mashambulio hayo.
-
Hamma Hammami: Rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kumuondoa Rais Assad
Apr 05, 2017 09:40Msemaji wa Harakati ya Wananchi 'The Popular Front' ya nchini Tunisia amesema kuwa, Moncef Marzouki rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kutaka kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria.
-
Jeshi la Syria lakanusha kuhusika na utumiaji silaha za kemikali
Apr 04, 2017 11:41Jeshi la Syria limekadhibisha madai ya wapinzani kwamba limehusika na shambulio la silaha za kemikali katika mji wa Khan Sheikhoun, mkoani Idlib.
-
Marekani yakiri imeua raia 400 Syria na Iraq
Apr 03, 2017 00:07Muungano unaodaiwa ni wa kupambana na genge la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani umekiri kwamba katika kipindi cha baina ya mwaka 2014 hadi 2017 umeua karibu raia 400 nchini Iraq na Syria katika mashambulizi yake ya anga.
-
Russia: Iran ni mshirika wa aina yake katika vita dhidi ya ugaidi
Mar 31, 2017 10:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amepuuzilia mbali madai bandia kuwa Iran inaunga mkono ugaidi na kusisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ni mshirika mkubwa katika vita dhidi ya magenge ya kigaidi nchini Syria.
-
Jeshi la Syria laangamiza magaidi zaidi ya 2000 wa kitakfiri, Hama
Mar 31, 2017 10:22Jeshi la Syria limefanikiwa kuangamiza maelfu ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Jabhat Fateh al-Sham karibu na mji wa Hama, ulio magharibi mwa nchi.
-
UNHCR: Idadi ya wakimbizi wa Syria imevunja rekodi, yapindukia milioni 5
Mar 30, 2017 10:49Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema idadi ya raia wa Syria walioikimbia nchi na kwenda kutafuta hifadhi katika nchi nyingine imepindukia watu milioni 5.
-
Umoja wa Mataifa wawashutumu wanaoeneza uongo kuhusu Uislamu
Mar 29, 2017 09:48Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewashutumu watu wanaoeneza propaganda chafu dhidi ya Uislamu ambao wanajaribu kuihusisha dini hiyo na vitendo vya kigaidi.