-
Matukio ya hivi karibuni ya Syria kufuatia kuzidi kupata pigo magaidi
May 24, 2016 01:28Waziri wa Habari wa Syria amesema kuwa, miripuko ya siku za hivi karibuni ikiwemo ile iliyotokea jana magharibi mwa nchi hiyo ni ishara ya wazi kuwa magaidi wameshindwa katika medani za mapambano.
-
Nasrallah ampongeza kamanda wa Hizbullah aliyeuawa Syria
May 20, 2016 23:25Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah amempongeza kamanda mwandamizi wa harakati hiyo ya muqawama, Shahidi Mustafa Badreddine aliyeuawa Syria wiki jana na kusema alikuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya Israel.
-
Mamia ya magaidi waangamizana nchini Syria
May 20, 2016 02:33Mamia ya magaidi wameangamizana katika viunga vya Damascus, mjini mkuu wa Syria baada ya kutokea mapigano makali baina yao.
-
Rais wa Syria: Magharibi inataka urafiki na nchi zisizo na uhuru wa kujiamulia
May 19, 2016 11:22Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema inachotaka Magharibi ni kuwa na urafiki na nchi zisizo na uhuru wa kujiamulia wala wa kujitawala.
-
Kongamano la kupinga utawala wa Aal Saudi lafanyika nchini Syria
May 17, 2016 03:22Shakhsia kadhaa wa kidini na kisiasa kutoka nchi kadhaa za eneo la Mashariki ya Kati wameshiriki kongamano la kuchunguza jinai za utawala wa Aal Saudi lililofanyika katika mji mkuu wa Syria Damascus.
-
Jeshi la Syria lakomboa madaktari kutoka mikononi mwa Daesh
May 15, 2016 02:20Jeshi la serikali ya Syria limefanikiwa kukomboa hospitali moja katika mji wa Dayr al Zawr wa mashariki mwa nchi hiyo kutoka katika makucha ya genge la kitakfiri la Daesh.
-
Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi
May 14, 2016 23:22Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura na matakwa ya wananchi wenyewe wa Syria.
-
Askari wa jeshi la majini la Uingereza ajiunga na Daesh
May 08, 2016 22:59Imearifiwa kuwa askari mmoja wa jeshi la majini la Uingereza ameondoka nchini na kuelekea Syria kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Velayati: Syria imeimarika zaidi kuliko awali
May 07, 2016 00:16Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa Syria ya leo imeimarika zaidi kuliko hapo awali na kwamba uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Syria umekurubiana zaidi.
-
Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina
May 06, 2016 08:38Afisa mwandamizi wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani kile alichokitaja kuwa juhudi za utawala wa Aal-Saud za kukwamisha muqawama wa Wapalestina dhidi ya utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa serikali ya Saudi Arabia inaunga mkono hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.