Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Matukio ya hivi karibuni ya Syria kufuatia kuzidi kupata pigo magaidi

    Matukio ya hivi karibuni ya Syria kufuatia kuzidi kupata pigo magaidi

    May 24, 2016 01:28

    Waziri wa Habari wa Syria amesema kuwa, miripuko ya siku za hivi karibuni ikiwemo ile iliyotokea jana magharibi mwa nchi hiyo ni ishara ya wazi kuwa magaidi wameshindwa katika medani za mapambano.

  • Nasrallah ampongeza kamanda wa Hizbullah aliyeuawa Syria

    Nasrallah ampongeza kamanda wa Hizbullah aliyeuawa Syria

    May 20, 2016 23:25

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah amempongeza kamanda mwandamizi wa harakati hiyo ya muqawama, Shahidi Mustafa Badreddine aliyeuawa Syria wiki jana na kusema alikuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya Israel.

  • Mamia ya magaidi waangamizana nchini Syria

    Mamia ya magaidi waangamizana nchini Syria

    May 20, 2016 02:33

    Mamia ya magaidi wameangamizana katika viunga vya Damascus, mjini mkuu wa Syria baada ya kutokea mapigano makali baina yao.

  • Rais wa Syria:  Magharibi inataka urafiki na nchi zisizo na uhuru wa kujiamulia

    Rais wa Syria: Magharibi inataka urafiki na nchi zisizo na uhuru wa kujiamulia

    May 19, 2016 11:22

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema inachotaka Magharibi ni kuwa na urafiki na nchi zisizo na uhuru wa kujiamulia wala wa kujitawala.

  • Kongamano la kupinga utawala wa Aal Saudi lafanyika nchini Syria

    Kongamano la kupinga utawala wa Aal Saudi lafanyika nchini Syria

    May 17, 2016 03:22

    Shakhsia kadhaa wa kidini na kisiasa kutoka nchi kadhaa za eneo la Mashariki ya Kati wameshiriki kongamano la kuchunguza jinai za utawala wa Aal Saudi lililofanyika katika mji mkuu wa Syria Damascus.

  • Jeshi la Syria lakomboa madaktari kutoka mikononi mwa Daesh

    Jeshi la Syria lakomboa madaktari kutoka mikononi mwa Daesh

    May 15, 2016 02:20

    Jeshi la serikali ya Syria limefanikiwa kukomboa hospitali moja katika mji wa Dayr al Zawr wa mashariki mwa nchi hiyo kutoka katika makucha ya genge la kitakfiri la Daesh.

  • Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi

    Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi

    May 14, 2016 23:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura na matakwa ya wananchi wenyewe wa Syria.

  • Askari wa jeshi la majini la Uingereza ajiunga na Daesh

    Askari wa jeshi la majini la Uingereza ajiunga na Daesh

    May 08, 2016 22:59

    Imearifiwa kuwa askari mmoja wa jeshi la majini la Uingereza ameondoka nchini na kuelekea Syria kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Velayati: Syria imeimarika zaidi kuliko awali

    Velayati: Syria imeimarika zaidi kuliko awali

    May 07, 2016 00:16

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa Syria ya leo imeimarika zaidi kuliko hapo awali na kwamba uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Syria umekurubiana zaidi.

  • Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    May 06, 2016 08:38

    Afisa mwandamizi wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani kile alichokitaja kuwa juhudi za utawala wa Aal-Saud za kukwamisha muqawama wa Wapalestina dhidi ya utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa serikali ya Saudi Arabia inaunga mkono hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS