Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Sababu za mivutano ya sasa ya kisiasa nchini Tunisia

    Sababu za mivutano ya sasa ya kisiasa nchini Tunisia

    Nov 27, 2018 02:48

    Chama cha Nidaa Tounis kimemtuhumu Waziri Mkuu wa Tunisia kuwa anafanya jitihada za kumpindua rais wa nchi hiyo, madai ambayo yamepingwa na Waziri Mkuu na kuzusha mvutano mkubwa wa kisiasa nchini humo.

  • Mwanasiasa nchini Tunisia: Mohammad Bin Salman hana nafasi ndani ya nchi yetu

    Mwanasiasa nchini Tunisia: Mohammad Bin Salman hana nafasi ndani ya nchi yetu

    Nov 25, 2018 16:55

    Mwakilishi wa Bunge nchini Tunisia amelalamikia vikali uamuzi wa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia wa kuitembelea nchi hiyo na kusisitiza kwamba, Bin Salman ambaye ni muuaji mkubwa, hana nafasi ndani ya nchi hiyo.

  • Wafanyakazi wa umma waandamana wakitaka nyongeza ya mishahara Tunisia

    Wafanyakazi wa umma waandamana wakitaka nyongeza ya mishahara Tunisia

    Nov 23, 2018 07:46

    Maelfu ya watumishi wa umma nchini Tunisia jana Alkhamisi walimiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kushinikiza nyongeza ya mishahara.

  • Genge moja la kigaidi lasambaratishwa nchini Tunisia

    Genge moja la kigaidi lasambaratishwa nchini Tunisia

    Oct 23, 2018 03:01

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza habari ya kusambaratishwa genge moja la kigaidi magharibi mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Wawakilishi wa Nidaa Tounes waendelea kujiuzulu bungeni Tunisia

    Wawakilishi wa Nidaa Tounes waendelea kujiuzulu bungeni Tunisia

    Oct 08, 2018 13:27

    Wabunge wa chama tawala cha Nidaa Tunis nchini Tunisia wanaendelea kujiuzulu nafasi zao katika bunge la nchi hiyo.

  •  Essebsi: Uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa nchini Tunisia

    Essebsi: Uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa nchini Tunisia

    Sep 27, 2018 07:24

    Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia amekiri kuwa hali ni nzito hivi sasa nchini humo lakini pamoja na hayo amesisitiza kuwa uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa mwaka 2019.

  • Marekani yapanua kisiri uwepo wake wa kijeshi Tunisia

    Marekani yapanua kisiri uwepo wake wa kijeshi Tunisia

    Sep 25, 2018 02:24

    Ripoti mpya imefichua kuwa Marekani imekuwa ikipanua kisiri uwepo wake wa kijeshi nchini Tunisia, licha ya upinzani kusisitiza kuwa kitendo hicho ni uingiliaji wa masuala ya ndani na kukanyaga uhuru wa kujitawala nchi hiyo.

  • Wabunge 8 wa Chama cha Nidaa Tounes wajiuzulu

    Wabunge 8 wa Chama cha Nidaa Tounes wajiuzulu

    Sep 10, 2018 04:11

    Wabunge wanane wa chama cha Nidaa Tounes wamejiuzulu chamani na kujiunga na mrengo mwingine wa kisiasa.

  • Al Nahdha yapinga mpango wa Rais wa Tunisia kuhusu mirathi

    Al Nahdha yapinga mpango wa Rais wa Tunisia kuhusu mirathi

    Aug 28, 2018 03:31

    Baraza la Ushauri la Harakati ya al Nahdha ncini Tunisia limetangaza kuwa linashikamana na mfumo wa mirathi ulioainishwa katika mafundisho ya Qur'ani tukufu na Suna za Mtume Muhammad (saw).

  • Wahajiri wanne wapoteza maisha baada ya boti kuwaka moto Tunisia

    Wahajiri wanne wapoteza maisha baada ya boti kuwaka moto Tunisia

    Aug 19, 2018 15:18

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza habari ya kupoteza maisha wahajiri wanne baada ya boti yao kuungua moto katika fukwe za Sfax, mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS