-
Uchaguzi wa rais wa Iran umeanza mapema leo, Ayatullah Khamenei apiga kura
Jul 05, 2024 04:01Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amepongeza "kuhusika athirifu" kwa watu wa Iran katika uchaguzi wa rais ulioanza mapema leo hapa nchini.
-
Kiongozi Muadhamu: Watu hawapaswi kuwa na shaka yoyote kuhusu kushiriki katika uchaguzi
Jun 28, 2024 03:49Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewataka wananchi wa Iran kutosita hata kidogo kushiriki katika uchaguzi wa leo wa Rais.
-
Barua ya wanazuoni wa Kisunni wa Iran kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu uchaguzi wa kesho
Jun 27, 2024 04:38Katika barua waliyomuandikia Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, zaidi ya wanazuoni elfu mbili wa Kisunni wa Iran wamesema kuwa uchaguzi wa rais utakaofanyika kesho Ijumaa hapa nchini utaimarisha nguvu na irada ya taifa la Iran.
-
Rais Rouhani asema rais mteule Raeisi atakabidhiwa ripoti za hali ya uchumi nchini
Jun 20, 2021 08:26Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaamuru wanachama wa Idara ya Kiuchumi wa Serikali kumkabidhi rais mteule Sayyid Ebrahim Raeisi taarifa zote za hali ya kiuchumi ya nchi.
-
Rais mteule wa Iran aahidi kufanya juhudi zake zote kutatua matatizo ya wananchi
Jun 19, 2021 21:52Rais mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyeshinda katika uchaguzi wa 13 wa rais uliofanyika juzi Ijumaa humu nchini amesema kuwa, serikali atakayounda itafanya juhudi zake zote kutatua matatizo yaliyopo nchini hasa ya kiuchumi.
-
Matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais wa Iran yatangazwa
Jun 19, 2021 09:43Baada ya kumalizika zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi wa 13 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran imetangaza matokeo rasmi ya uchaguzi huo ulioshirikisha mamilioni ya wapiga kura.
-
Rais Rouhani: Dunia nzima leo inafuatilia uchaguzi wa rais nchini Iran
Jun 18, 2021 03:48Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo baada na kupiga kura yake katika uchaguzi wa Rais amesema kuwa uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ni miongoni mwa chaguzi muhimu sana hapa nchini na kwamba dunia nzima inafuatilia uchaguzi huo.
-
Ghalibaf: Utatuzi wa matatizo ya nchi utapatikana kwa kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi
Jun 17, 2021 21:47Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesisitiza kuwa, matatizo ya nchi hayawezi kutatuliwa kwa kususia uchaguzi, bali jukumu kuu la wapiga kura ni kushiriki kwa wingi katika uchaguzi na kumchagua mtu ambaye wanaamini atawatatulia matatizo yao.
-
Rouhani: Tujitokeze kwa wingi kupiga kura ili tusiruhusu kutimia ndoto za adui
Jun 17, 2021 11:38Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine ametoa mwito kwa wananchi wa Iran kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi akisisitiza kuwa, kwa kushiriki vilivyo katika uchaguzi, taifa la Iran halitoruhusu kuaguka ndoto za adui.
-
Kiongozi wa Ahul Sunna: Kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa rais wa Iran kutavunja njama za adui
Jun 15, 2021 02:56Mwanachama wa Baraza la Fatwa la Ahul Sunna Kusini mwa Iran amesema kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ujao wa Ijumaa nchini Iran kutavunja njama za maadui.