Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • UNICEF yatahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda

    UNICEF yatahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda

    Jun 29, 2016 08:46

    Mwakilishi wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF ametahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda.

  • Jeshi la Uganda laamua kuondoa vikosi vyake CAR

    Jeshi la Uganda laamua kuondoa vikosi vyake CAR

    Jun 29, 2016 02:49

    Jeshi la Uganda limechukua uamuzi wa kuondoa wanajeshi wake huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ili kusaidia jitihada za kuwaangamiza waasi wa Uganda.

  • Uganda yatangaza tarehe ya kuondoa askari wake Somalia

    Uganda yatangaza tarehe ya kuondoa askari wake Somalia

    Jun 24, 2016 09:56

    Uganda imetangaza kuwa itaondoa askari wake walioko nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM kufikia mwishoni mwa mwaka ujao 2017.

  • Ombi la Uganda kwa Algeria

    Ombi la Uganda kwa Algeria

    Jun 18, 2016 06:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda ameiomba Algeria iiunge mkono nchi hiyo katika kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utekelezaji ya Umoja wa Afrika.

  • Waasi wa Uganda waendelea kufanya uhalifu CAR

    Waasi wa Uganda waendelea kufanya uhalifu CAR

    Jun 17, 2016 03:53

    Mkuu wa mkoa wa mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametangaza kuwa waasi wa kundi la Lord's Resistance Army (LRA) kutoka Uganda wameteka nyara watu 17 na kuwapeleka kusikojulikana.

  • Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR

    Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR

    Jun 10, 2016 23:48

    Uganda imesema karibuni hivi itawaondoa askari wake wanaoongoza katika operesheni ya kuwasaka waasi wa Lord's Resistance Army (LRA) katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini

    Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini

    May 30, 2016 00:04

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema karibuni hivi nchi yake itasitisha ushirikiano wa kijeshi na kiusalama na Korea Kaskazini.

  • Iran yafadhili mashindano ya Qur'ani katika Televisheni ya Uganda

    Iran yafadhili mashindano ya Qur'ani katika Televisheni ya Uganda

    May 28, 2016 23:43

    Kitengo cha Utamaduni cha Iran nchini Uganda kimefadhili mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo, UBC.

  • Usalama warejea kikamilifu kaskazini mwa Uganda

    Usalama warejea kikamilifu kaskazini mwa Uganda

    May 28, 2016 11:32

    Kamanda mmoja wa jeshi la Uganda amesema kuwa, hali ya usalama imesharejea kaskazini mwa nchi hiyo, na ndio maana sheria ya hali ya hatari imeondolewa.

  • 5 wahukumiwa maisha jela Uganda kwa mashambulizi ya kigaidi Kampala

    5 wahukumiwa maisha jela Uganda kwa mashambulizi ya kigaidi Kampala

    May 28, 2016 03:21

    Mahakama Kuu ya Uganda imewahukumu kifungo cha miaka mitano jela, watu watano miongoni mwa wanane waliopatikana na hatia ya kuhusika katika mashambulizi pacha mjini Kampala, wakati wa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS