-
Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR
Jun 10, 2016 23:48Uganda imesema karibuni hivi itawaondoa askari wake wanaoongoza katika operesheni ya kuwasaka waasi wa Lord's Resistance Army (LRA) katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini
May 30, 2016 00:04Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema karibuni hivi nchi yake itasitisha ushirikiano wa kijeshi na kiusalama na Korea Kaskazini.
-
Iran yafadhili mashindano ya Qur'ani katika Televisheni ya Uganda
May 28, 2016 23:43Kitengo cha Utamaduni cha Iran nchini Uganda kimefadhili mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo, UBC.
-
Usalama warejea kikamilifu kaskazini mwa Uganda
May 28, 2016 11:32Kamanda mmoja wa jeshi la Uganda amesema kuwa, hali ya usalama imesharejea kaskazini mwa nchi hiyo, na ndio maana sheria ya hali ya hatari imeondolewa.
-
5 wahukumiwa maisha jela Uganda kwa mashambulizi ya kigaidi Kampala
May 28, 2016 03:21Mahakama Kuu ya Uganda imewahukumu kifungo cha miaka mitano jela, watu watano miongoni mwa wanane waliopatikana na hatia ya kuhusika katika mashambulizi pacha mjini Kampala, wakati wa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010.
-
ICC yaitaka Uganda kueleza kwa nini haikumkamata Rais wa Sudan
May 21, 2016 11:28Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ICC imeitaka Uganda kueleza ni kwa nini ilishindwa kumkamata Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipofanya ziara nchini humo wiki iliyopita.
-
Besigye: Huenda nikauawa kwenye gereza la Luzira, Uganda
May 19, 2016 02:46Kinara wa upinzani nchini Uganda, Dakta Kizza Besigye amesema maisha yake yamo hatarini na kwamba yumkini atauawa katika gereza kuu la Luzira, ambako anazuiliwa kwa sasa.
-
Wanajeshi wa DRC wanawaua raia mashariki mwa nchi hiyo
May 16, 2016 23:48Wataalamu wa Umoja wa Mataifa katika kamati ya vikwazo vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametoa ripoti na kusema maafisa wa kijeshi nchini humo wanahusika na mauaji ya raia.
-
UN: Jeshi la DRC liliwasaidia waasi wa Uganda kuua Wakongomani
May 15, 2016 09:31Ripoti ya siri ya Baraza la Usalama la Umoja wa Matafa imefichua kuwa, kamanda mwandamizi wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alifadhili na kulipa silaha kundi la waasi wa Uganda la ADF kuua raia wa nchi hiyo.
-
HRW na Amnesty zaitaka Uganda kumkamata al-Bashir
May 13, 2016 03:26Mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameitaka serikali ya Uganda kumkamata Rais Omar al-Bashir wa Sudan na kumkabidhi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, kwa tuhuma za mauaji ya kimbari katika eneo la Darfur na jinai dhidi ya binadamu.