Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Kusalia Imara Mhimili wa Muqawama

    Kusalia Imara Mhimili wa Muqawama

    Oct 10, 2024 23:05

    Baada ya kutekelezwa Oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa, Utawala wa Kizayuni wa Israel ulidhani kuwa ungeweza kuiangamiza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa mashambulizi ma kubwa na kuigeuza Gaza kuwa ardhi iliyoungua.

  • China na Russia zakosoa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    China na Russia zakosoa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 10, 2024 03:43

    Wawakilishi wa Kudumu wa China na Russia katika Umoja wa Mataifa wameikosoa vikali Israel kwa kushindwa kutafuta amani na kuzuia juhudi za kukomesha mauaji ya watu wa Palestina.

  • Muendelezo wa mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za muqawama wa Kiislamu wa Iraq dhidi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)

    Muendelezo wa mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za muqawama wa Kiislamu wa Iraq dhidi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)

    Oct 10, 2024 02:05

    Muqawama wa Kiislamu wa Iraq kwa mara nyingine tena umelenga na kushambulia moja ya maeneo muhimu kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa ndege isiyo na rubani.

  • Uchunguzi wa matokeo ya mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon na Palestina

    Uchunguzi wa matokeo ya mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon na Palestina

    Oct 07, 2024 22:45

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unatumia silaha zilizopigwa marufuku kushambulia maeneo ya raia ya Lebanon na Ukanda wa Gaza.

  • Mwaka mmoja baada ya Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa; Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

    Mwaka mmoja baada ya Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa; Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

    Oct 07, 2024 03:55

    Jumatatu ya leo 7 Oktoba inasadifiana na kutimia mwaka mmoja tangu Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ilipotekeleza Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa dhidi ya utawala haramu wa Israel.

  • Katibu Mkuu wa UN: Sasa ni wakati wa kunyamazishwa sauti za bunduki Mashariki ya Kati

    Katibu Mkuu wa UN: Sasa ni wakati wa kunyamazishwa sauti za bunduki Mashariki ya Kati

    Oct 06, 2024 03:59

    Katika mkesha wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa mashambulizi ya Oktoba 7, 2023, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kukomesha mara moja "umwagaji damu na ukatili wa kutisha" katika ukanda wa Gaza na Lebanon, kunyamazisha sauti za bunduki na kurejeshwa amani katika eneo hilo.

  • Hizbullah yashambulia kampuni ya viwanda vya kijeshi vya Israel

    Hizbullah yashambulia kampuni ya viwanda vya kijeshi vya Israel

    Oct 06, 2024 03:58

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeshambulia kwa mabomu kampuni ya viwanda vya kijeshi vya utawala wa Kizayuni ya "ETA".

  • Araghchi akosoa uzembe wa Baraza la Usalama katika kukabiliana na jinai za Israel

    Araghchi akosoa uzembe wa Baraza la Usalama katika kukabiliana na jinai za Israel

    Oct 05, 2024 23:21

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa uzembe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo haramu na jinai za utawala wa Kizayuni ambazo zinafanyika kwa himaya na uungaji mkono wa Marekani na Uingereza.

  • Jibu la kulipiza kisasi la Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni lilitolewa kwa msingi wa sheria za kimataifa

    Jibu la kulipiza kisasi la Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni lilitolewa kwa msingi wa sheria za kimataifa

    Oct 05, 2024 22:53

    Licha ya kuwa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetekeleza Operesheni ya "Ahadi ya Kweli 2" kwa ajili ya kuonyesha uwezo wake wa kistratijia wa kuuadhibu utawala wa Kizayuni wa Israel, lakini wakati huo huo ni wazi kuwa hatua hiyo iliyochukuliwa kwa ajili ya kulinda heshima ya taifa la Iran imefanyika kwa msingi wa sheria za kimataifa.

  • Wazayuni wafanya mashambulizi makubwa katika  hospitali moja huko  mjini Beirut

    Wazayuni wafanya mashambulizi makubwa katika hospitali moja huko mjini Beirut

    Oct 05, 2024 09:08

    Wavamizi wa Kizayuni wamelenga hospitali ya Bint Jbeil iliyoko kusini mwa Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS