Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Rais wa Uturuki yuko Tanzania, asaini mikataba kadhaa ya maelewano

    Rais wa Uturuki yuko Tanzania, asaini mikataba kadhaa ya maelewano

    Jan 24, 2017 04:07

    Rais wa Uturuki yuko nchini Tanzania katika ziara rasmi ya kiserikali inayopania kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyanja tofauti.

  • Malengo ya Uturuki ya kuendelea kukiuka haki ya kujitawala Iraq

    Malengo ya Uturuki ya kuendelea kukiuka haki ya kujitawala Iraq

    Jan 16, 2017 00:22

    Licha ya malalamiko ya kila mara na mashitaka ya serikali ya Iraq katika asasi za kieneo na kimataifa, bado Uturuki imekataa kuondoa askari wake kutoka kambi ya kijeshi ya Bashiqa.

  • Uturuki yaendelea kuwaandama wafuasi wa Fethullah Gülen, sasa kuwatia mbaroni mamia yao

    Uturuki yaendelea kuwaandama wafuasi wa Fethullah Gülen, sasa kuwatia mbaroni mamia yao

    Jan 06, 2017 01:19

    Mwanasheria Mkuu nchini Uturuki ametoa kibali cha kutiwa mbaroni wafanyabiashara 380 kwa tuhuma za kuwa na mahusiano na Fethullah Gülen, kiongozi wa kidini na mpinzani dhidi ya serikali.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi Uturuki, idadi ya waliouawa yaongezeka

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi Uturuki, idadi ya waliouawa yaongezeka

    Jan 01, 2017 04:40

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika mji wa Istanbul nchini Uturuki.

  • Syria: Hatuna imani na watawala wa Uturuki

    Syria: Hatuna imani na watawala wa Uturuki

    Jan 01, 2017 03:01

    Ali Abdul Karim Ali, balozi wa Syria nchini Lebanon amesema, Damascus haina imani na watawala wa hivi sasa wa Uturuki kwani Ankara ndiyo nguzo kuu ya uungaji mkono wa kifedha na kifikra kwa ugaidi ulioenea leo hii kwenye eneo hili.

  • 70 wauawa, kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Instabul, Uturuki

    70 wauawa, kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Instabul, Uturuki

    Jan 01, 2017 01:08

    Makumi ya watu wanaripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika klabu moja ya anasa mjini Instabul nchini Uturuki.

  • Ndege za kivita za Uturuki zauwa raia kaskazini mwa Syria

    Ndege za kivita za Uturuki zauwa raia kaskazini mwa Syria

    Dec 23, 2016 03:18

    Makumi ya raia wameuliwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Syria.

  • Iran, UN zalaani mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki

    Iran, UN zalaani mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki

    Dec 20, 2016 04:23

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki na kuutaja ukatili huo kama kitendo cha kikatili na kishenzi.

  • Uturuki yateua balozi wake wa utawala haramu wa Israel

    Uturuki yateua balozi wake wa utawala haramu wa Israel

    Nov 17, 2016 00:54

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza kuwa Ankara imemteua balozi atakayeiwakilisha nchi hiyo katika utawala haramu wa Israel, miezi michache baada ya pande mbili hizo kutangaza kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia.

  • Erdogan: EU inafanya njama ya kutoijumuisha Uturuki katika umoja huo

    Erdogan: EU inafanya njama ya kutoijumuisha Uturuki katika umoja huo

    Nov 13, 2016 12:44

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Umoja wa Ulaya unafanya njama ya kuishinikiza nchi yake iachane na mchakato wa kujiunga na umoja huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS