Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Amoli Larijani: Uislamu hauna uhusiano na ugaidi

    Amoli Larijani: Uislamu hauna uhusiano na ugaidi

    Jul 18, 2016 09:30

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema Uislamu hauna uhusiano na ugaidi na kuongeza kuwa kile kinachodaiwa kuwa ni 'Ugaidi wa Kiislamu' ni fikra ya Wamagharibi ambao wanaunga mkono kundi la kigaidi la ISIS au Daesh na makundi mengine ya wakufurishaji.

  • Assad: Huenda Erdogan atatumia 'mapinduzi' kuwaondoa maadui serikalini

    Assad: Huenda Erdogan atatumia 'mapinduzi' kuwaondoa maadui serikalini

    Jul 18, 2016 03:05

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema huenda Rais Reccep Teyyip Erdogan wa Uturuki akatumia jaribio la mapinduzi yaliyofeli kuwaadhibu na kuwaondoa serikalini wakosoaji na wapinzani wake.

  • Hatima ya TV za Ikhwanul Muslimin nchini Uturuki haijulikani

    Hatima ya TV za Ikhwanul Muslimin nchini Uturuki haijulikani

    Jul 16, 2016 23:37

    Vyombo vya habari vya Misri vimetangaza kuwa, hatima ya televisheni za kundi la Ikhwanul Muslimin zilizokuwa zinarusha matangazo yake nchini Uturuki, haijulikani.

  • Jaribio la Mapinduzi ya Kijeshi Uturuki, Rais Erdogan Aapa kuwaadhibu wahusika

    Jaribio la Mapinduzi ya Kijeshi Uturuki, Rais Erdogan Aapa kuwaadhibu wahusika

    Jul 15, 2016 23:23

    Kumejiri jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini Uturuki Ijumaa usiku huku watu 42 wakiripotiwa kupoteza maisha katika mji mkuu Ankara na Rais ReccepTayyib Erdogan akisema jaribio hilo limeshindwa.

  • Jesi la Uturuki lasema limechukua madaraka ya nchi ili kulinda demokrasia

    Jesi la Uturuki lasema limechukua madaraka ya nchi ili kulinda demokrasia

    Jul 15, 2016 17:21

    Jeshi la Uturuki limesema kuwa, limechukua madaraka ya nchi hiyo na kuiondoa madarakani serikali ya Rais Recep Tayyip Erdogan na kwamba litalinda utawala wa sheria nchini humo.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi Istanbul, Uturuki

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi Istanbul, Uturuki

    Jun 29, 2016 23:02

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya uwanja wa ndege mjini Istambul nchini Uturuki, yaliyosababisha vifo vya makumi ya watu na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Ban Ki-moon alaani mashambulizi ya kigaidi huko Istanbul Uturuki

    Ban Ki-moon alaani mashambulizi ya kigaidi huko Istanbul Uturuki

    Jun 29, 2016 02:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa kwenye uwanja wa ndege wa Istanbul Uturuki.

  • Wapaestina wakasirishwa na kufufuliwa uhusiano wa Israel na Uturuki

    Wapaestina wakasirishwa na kufufuliwa uhusiano wa Israel na Uturuki

    Jun 28, 2016 02:49

    Wananchi wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel wameghadhabishwa na hatua ya Uturuki kuhuisha uhusiano wake wa kidiplomasia na utawala huo, baada ya kuukatiza zaidi ya miaka mitano iliyopita.

  • Russia: Tupo tayari kufanya mazungumzo na Uturuki

    Russia: Tupo tayari kufanya mazungumzo na Uturuki

    Jun 23, 2016 22:37

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema kuwa Moscow ipo tayari kufanya mazungumzo na maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki.

  • Muhammad Ali kuzikwa leo, rais wa Uturuki na mfalme wa Jordan kutohutubia

    Muhammad Ali kuzikwa leo, rais wa Uturuki na mfalme wa Jordan kutohutubia

    Jun 09, 2016 23:33

    Nguli wa masumbwi duniani marehemu Muhammad Ali anatazamiwa kuzikwa leo Ijumaa katika mji wa Louisville jimbo la Kentucky nchini Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS