-
11 Wauawa katika mlipuko wa bomu Istanbul
Jun 07, 2016 09:50Mji wa Istanbul nchini Uturuki umekumbwa na mlipuko wa bomu ambapo watu 11 wameripotiwa kupoteza maisha na wengine 36 kujeruhiwa.
-
Uturuki kufungua kituo cha kijeshi nchini Somalia
Jun 04, 2016 00:02Serikali ya Uturuki imefungua ubalozi mpya nchini Somalia na kuahidi kufungua kituo cha kutoa mafunzo ya kijeshi katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika karibuni hivi.
-
Kenya na Uturuki zakubaliana kushirikiana katika kubadilishana taarifa za usalama
Jun 03, 2016 02:53Marais wa Kenya na Uturuki wamekubaliana nchi zao mbili kushirikiana katika kubadilishana taarifa za usalama na za kiintelijinsia kwa lengo la kuzima uwezekano wa kutokea mashambulio ya kigaidi.
-
Russia: Njia pekee kwa Uturuki ni kuomba radhi
May 30, 2016 11:00Msemaji wa Rais wa Russia amesema kuwa kuomba radhi ndio njia pekee iliyonayo Uturuki.
-
Waziri Mkuu mpya Uturuki aahidi kuongezewa mamlaka rais
May 22, 2016 11:50Binali Yildirim, Waziri wa Uchukuzi wa Uturuki ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa chama tawala AKP sambamba na kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo kuchukua nafasi ya Ahmet Davutoğlu.
-
Magaidi kadhaa wa Daesh watibiwa nchini Uturuki
May 14, 2016 23:22Baadhi ya wanamgambo wa genge la kigaidi la Daesh hivi karibuni wamepatiwa matibabu kwa siri katika hospitali moja ya mji wa Gaziantep nchini Uturuki, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Syria.
-
Waziri Mkuu wa Uturuki athibitisha kuacha uongozi wa chama tawala
May 06, 2016 03:31Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoğlu, ametangaza rasmi kuwa ataacha uongozi wa chama tawala cha Uadilifu na Ustawi (AKP) na hivyo kulazimika pia kuachia madaraka ya Uwaziri Mkuu.
-
Mtazamo wa Rais Rouhani kuhusu jukumu la Iran na Uturuki katika usalama wa kieneo
Apr 17, 2016 03:11Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alishiriki katika kikao cha pamoja cha waandishi habari na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki mjini Ankara na kusema kuleta uthabiti na usalama katika eneo ni jukumu la kisheria la nchi hizi mbili.
-
Rouhani asema ugaidi, Uzayuni ni tishio kwa Waislamu duniani
Apr 16, 2016 23:38Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema ugaidi na Uzayuni ni tishio kubwa zaidi kwa ulimwengu wa Kiislamu.
-
Rais wa Iran kushiriki kongamano la OIC mjini Istanbul, Uturuki
Apr 13, 2016 03:11Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hii leo anatazamiwa kuelekea mjini Istanbul nchini Uturuki kushiriki Kongamano la 13 la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC).