Nov 20, 2022 02:35
Tangu kuanza kwa vita vya Ukraine, mahusiano kati ya Russia na nchi za Magharibi yameambatana na mizozo na mivutano mingi, haswa katika sekta ya nishati, kwa kadiri kwamba usafirishaji wa gesi kupitia bomba kuu la usafirishaji wa gesi kutoka Russia kwenda Ulaya lijulikanalo kama "Nord Stream", umesimamishwa kwa miezi kadhaa iliyopita kutokana na sababu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uvujaji wa gesi.