• Maandamano dhidi ya vita katika nchi za Ulaya

    Maandamano dhidi ya vita katika nchi za Ulaya

    Feb 27, 2023 11:44

    Sambamba na kuendelea vita nchini Ukraine na hali mbaya ya kiuchumi na kijamii katika nchi mbalimbali za Ulaya, wananchi barani humo wamefanya maandamano katika nchi kadhaa wakipinga sera za nchi za Magharibi na kuingilia kati vita vya Ukraine.

  • Mwito wa Russia wa kufuatiliwa jinai za Marekani na Uingereza nchini Iraq

    Mwito wa Russia wa kufuatiliwa jinai za Marekani na Uingereza nchini Iraq

    Feb 10, 2023 04:06

    Vasily Nebenzya, mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa, Jumatano ya juzi na ikiwa ni siku tatu baada ya kumbukumbu ya mwaka wa uongo mkubwa wa Marekani dhidi ya Iraq alisema kuwa, lazima watenda jinai Wamarekani na Waingereza wapandishwe kizimbani kwa jinai zao nchini humo.

  • Jenerali Mmarekani atabiri vita na China mwaka 2025, anawaambia maafisa wajitayarishe

    Jenerali Mmarekani atabiri vita na China mwaka 2025, anawaambia maafisa wajitayarishe

    Jan 29, 2023 02:36

    Jenerali wa nyota nne wa Jeshi la Wanahewa la Marekani ameonya kuhusu uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati yake na China kuhusu eneo la Taiwan mapema mwaka 2025, na hivyo amewataka makamanda kushinikiza vikosi vyao kufikia utayari wa juu zaidi kwa operesheni za kijeshi.

  • Wasiwasi kuhusu hasara za Ulaya katika vita vya Ukraine

    Wasiwasi kuhusu hasara za Ulaya katika vita vya Ukraine

    Dec 05, 2022 07:46

    Baada ya kupita takriban miezi 10 tangu kuanza vita vya Ukraine na thari zake mbaya, mkuu wa Baraza la Ulaya amekiri kwamba, nchi za bara hilo zimepata hasara zaidi katika vita hivyo kuliko Marekani.

  • Sweden yathibitisha: Bomba la gesi la Nord Stream liliharibiwa kwa makusudi, vita vya nishati vyapamba moto

    Sweden yathibitisha: Bomba la gesi la Nord Stream liliharibiwa kwa makusudi, vita vya nishati vyapamba moto

    Nov 20, 2022 02:35

    Tangu kuanza kwa vita vya Ukraine, mahusiano kati ya Russia na nchi za Magharibi yameambatana na mizozo na mivutano mingi, haswa katika sekta ya nishati, kwa kadiri kwamba usafirishaji wa gesi kupitia bomba kuu la usafirishaji wa gesi kutoka Russia kwenda Ulaya lijulikanalo kama "Nord Stream", umesimamishwa kwa miezi kadhaa iliyopita kutokana na sababu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uvujaji wa gesi.

  • Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa

    Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa

    Oct 17, 2022 05:48

    Akthari ya mataifa ya Afrika ambayo katika miongo ya hivi karibuni yalifanya hima kubwa ya kujenga miundomsingi yao ya kiuchumi kwa minajili ya kuboresha hali ya uchumi wao, filihali yanahesabiwa kuwa wahanga wakubwa zaidi wa matukio ya sasa ulimwenguni.

  • Kushadidi mgogoro nchini Libya kwa kuanza tena vita na mapigano makali

    Kushadidi mgogoro nchini Libya kwa kuanza tena vita na mapigano makali

    Aug 29, 2022 13:11

    Kufuatia kushadidi mzozo wa kisiasa nchini Libya kati ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoongozwa na Abdul Hamid al-Dbeibeh na serikali mpya iliyopewa mamlaka na Bunge inayoongozwa na Fathi Bashagha, mapigano yameanza upya kati ya vikosi vya pande hizo mbili katika mji mkuu Tripoli.

  • Marekani imeanzisha vita 400, robo barani Afrika na Asia Magharibi

    Marekani imeanzisha vita 400, robo barani Afrika na Asia Magharibi

    Aug 13, 2022 11:21

    Utafiti mpya umefichua kuwa, zaidi ya robo ya vita vilivyoanzishwa na Washington katika historia ya Marekani vimefanyika katika nchi za Afrika na eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).

  • Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Jun 28, 2022 02:51

    Jeshi la Sudan limelitumu jeshi la Ethiopia kuwa limewanyonga wanajeshi 7 na raia mmoja wa Sudan waliokuwa wafungwa nchini humo, jambo ambalo limekanushwa na maafisa rasmi wa Ethiopia, wakieleza kuwa Addis Ababa itatoa tamko rasmi la kujibu madai hayo ya Sudan.

  • Uhaba wa chakula duniani na matokeo yake

    Uhaba wa chakula duniani na matokeo yake

    May 25, 2022 02:16

    Linda Thomas Greenfield, balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa, indhari ya uhaba wa chakula duniani inayotokana na vita vya Ukraine na Rusia imefikia katika kiwango cha juu kabisa na mazingira ya akthari ya watu ulimwenguni ya kupata chakula yamezidi kuwa magumu siku baada ya siku.