Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Wahajiri 9000 waokolewa katika bahari ya Mediterania mwishoni mwa wiki

    Wahajiri 9000 waokolewa katika bahari ya Mediterania mwishoni mwa wiki

    Apr 18, 2017 11:05

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema idadi ya wakimbizi waliookolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya mwishoni mwa wiki imevunja rekodi.

  • Wahajiri elfu tatu waokolewa katika pwani ya Libya

    Wahajiri elfu tatu waokolewa katika pwani ya Libya

    Apr 16, 2017 02:48

    Maelfu ya wahajiri wamenusurika kufa maji baada ya boti zao kuzama katika bahari ya Mediterania, wakiwa katika juhudi za kuelekea barani Ulaya.

  • Wahajiri karibu 100 watoweka pwani ya Libya

    Wahajiri karibu 100 watoweka pwani ya Libya

    Apr 14, 2017 03:03

    Karibu wahamiaji 100 wametoweka baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika maji ya pwani mwa Libya wakiwa mbioni kuelekea Ulaya.

  • Libya yaituhumu EU kuwa imekataa kutekeleza ahadi zake kuhusu wahajiri

    Libya yaituhumu EU kuwa imekataa kutekeleza ahadi zake kuhusu wahajiri

    Apr 11, 2017 23:23

    Waziri Mkuu wa serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ameukosoa Umoja wa Ulaya (EU) kwa kukataa kutekeleza ahadi ulizozitoa kuhusu kuipatia ufumbuzi kadhia ya magendo wa wahajiri.

  • UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500

    UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500

    Apr 11, 2017 10:54

    Wakala wa wahamiaji wa Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kutokana kile kinachoonekana ni kurejea kwa biashara ya utumwa.

  • Kuendelea ukosoaji kuhusu mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya kuhusu wakimbizi

    Kuendelea ukosoaji kuhusu mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya kuhusu wakimbizi

    Apr 05, 2017 03:37

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka imezitaja taathira hasi za mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya ili kuwazuia wahajiri kuelekea Ulaya kuwa ni hatari na zisizo na kibinadamu.

  • Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi

    Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi

    Mar 31, 2017 10:47

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani katika mkutano na viongozi wa vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya amekiri kuwa bara hilo halijasimamia ipasavyo suala la wakimbizi na wahamiaji.

  • Wahajiri wengine 146 wahofiwa kufa maji wakielekea Ulaya

    Wahajiri wengine 146 wahofiwa kufa maji wakielekea Ulaya

    Mar 29, 2017 22:01

    Makumi ya wahajiri wanaaminika kuwa wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterania.

  • Wanaharakati US wawafunza wahajiri njia za kupambana na siasa za Trump

    Wanaharakati US wawafunza wahajiri njia za kupambana na siasa za Trump

    Mar 13, 2017 13:02

    Wanaharakati wa kijamii nchini Marekani, wameanzisha utaratibu wa kuwapatia mafunzo wahajiri haramu juu ya namna ya kupambana na siasa zilizo dhidi ya wahajiri za Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielea Ulaya

    Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielea Ulaya

    Mar 04, 2017 03:51

    Makumi ya wahajiri wa Kiafrika wanahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean wakijaribu kuelekea barani Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS