Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • Wapinzani Kongo DR watakiwa kujongea kwenye mazungumzo

    Wapinzani Kongo DR watakiwa kujongea kwenye mazungumzo

    Oct 15, 2016 00:28

    Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imewataka wapinzani wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa ya nchi hiyo.

  • Wapinzani wakusanyika  Kisangani wakitaka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa

    Wapinzani wakusanyika Kisangani wakitaka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa

    Oct 10, 2016 10:44

    Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekusanyika katika mji wa Kisangani nchini humo wakitaka kuachiwa huru wanaharakati wa kisiasa wanaoipinga serikali.

  • Kuendelea malalamiko na maandamano ya wananchi nchini Ethiopia

    Kuendelea malalamiko na maandamano ya wananchi nchini Ethiopia

    Oct 08, 2016 09:16

    Malalamiko ya wananchi na maandamano ya wapinzani wa kisiasa wa serikali ya sasa ya Ethiopia yangali yanaendelea.

  • Hatima ya Mugabe kutolewa madarakani na mahakama ya katiba Zimbabwe

    Hatima ya Mugabe kutolewa madarakani na mahakama ya katiba Zimbabwe

    Oct 08, 2016 10:35

    Hatima ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu ijinyakulie uhuru sasa ipo mikononi mwa mahakama ya katiba ya nchi hiyo.

  • Wapinzani Kongo DR wasusia mazungumzo ya kitaifa

    Wapinzani Kongo DR wasusia mazungumzo ya kitaifa

    Sep 24, 2016 01:06

    Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesusia kushiriki kikao cha mazungumzo ya kitaifa.

  • Mkuu wa upinzani Gabon ataka kufanyika mgomo wa nchi nzima

    Mkuu wa upinzani Gabon ataka kufanyika mgomo wa nchi nzima

    Sep 05, 2016 09:29

    Jean Ping kiongozi wa upinzani nchini Gabon leo ametoa wito wa kufanyika mgomo wa nchi nzima dhidi ya kile alichokiita kuwa ushindi wa kuingia tena madarakani kwa udanganyifu kwa Ali Bongo.

  • Wapinzani Gabon waomba msaada wa kimataifa

    Wapinzani Gabon waomba msaada wa kimataifa

    Sep 01, 2016 11:18

    Kiongozi wa upinzani Gabon huko katikati mwa Afrika ameomba msaada wa kimataifa ili kusaidia kuwalinda raia nchini humo kufuatia shambulio lililofanywa na vikosi vya serikali kwenye makao makuu ya wapinzani huko Libreville mji mkuu wa nchi hiyo, baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa Rais yaliyopingwa na wapinzani.

  • Rais wa Zambia ataka wapinzani waache fujo

    Rais wa Zambia ataka wapinzani waache fujo

    Aug 24, 2016 10:52

    Rais mteule wa Zambia, Edgar Lungu amewataka wapinzani wa nchi hiyo waache vitendo vya fujo na watumie njia za amani kuelezea malalamiko yao.

  • Kutangazwa muda wa kujiuzulu Rais Omar al Bashir wa Sudan

    Kutangazwa muda wa kujiuzulu Rais Omar al Bashir wa Sudan

    Aug 22, 2016 03:32

    Rais Omar al Bashir wa Sudan ametangaza kuwa, ana nia ya kuachia madaraka ifikapo mwaka 2020. Amesema atalazimika kuachana na siasa kwani katiba ya Sudan haitomruhusu kubakia madarakani.

  • 133 wakamatwa na polisi Zambia kwa kupinga ushindi wa Rais Lungu

    133 wakamatwa na polisi Zambia kwa kupinga ushindi wa Rais Lungu

    Aug 16, 2016 10:51

    Polisi nchini Zambia imewatia mbaroni makumi ya wafuasi wa upinzani wanaopinga ushindi wa Rais Edgar Lungu katika uchaguzi wa rais uliofanyika Alkhamisi iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS