-
Wapinzani Kongo DR watakiwa kujongea kwenye mazungumzo
Oct 15, 2016 00:28Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imewataka wapinzani wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa ya nchi hiyo.
-
Wapinzani wakusanyika Kisangani wakitaka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa
Oct 10, 2016 10:44Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekusanyika katika mji wa Kisangani nchini humo wakitaka kuachiwa huru wanaharakati wa kisiasa wanaoipinga serikali.
-
Kuendelea malalamiko na maandamano ya wananchi nchini Ethiopia
Oct 08, 2016 09:16Malalamiko ya wananchi na maandamano ya wapinzani wa kisiasa wa serikali ya sasa ya Ethiopia yangali yanaendelea.
-
Hatima ya Mugabe kutolewa madarakani na mahakama ya katiba Zimbabwe
Oct 08, 2016 10:35Hatima ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu ijinyakulie uhuru sasa ipo mikononi mwa mahakama ya katiba ya nchi hiyo.
-
Wapinzani Kongo DR wasusia mazungumzo ya kitaifa
Sep 24, 2016 01:06Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesusia kushiriki kikao cha mazungumzo ya kitaifa.
-
Mkuu wa upinzani Gabon ataka kufanyika mgomo wa nchi nzima
Sep 05, 2016 09:29Jean Ping kiongozi wa upinzani nchini Gabon leo ametoa wito wa kufanyika mgomo wa nchi nzima dhidi ya kile alichokiita kuwa ushindi wa kuingia tena madarakani kwa udanganyifu kwa Ali Bongo.
-
Wapinzani Gabon waomba msaada wa kimataifa
Sep 01, 2016 11:18Kiongozi wa upinzani Gabon huko katikati mwa Afrika ameomba msaada wa kimataifa ili kusaidia kuwalinda raia nchini humo kufuatia shambulio lililofanywa na vikosi vya serikali kwenye makao makuu ya wapinzani huko Libreville mji mkuu wa nchi hiyo, baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa Rais yaliyopingwa na wapinzani.
-
Rais wa Zambia ataka wapinzani waache fujo
Aug 24, 2016 10:52Rais mteule wa Zambia, Edgar Lungu amewataka wapinzani wa nchi hiyo waache vitendo vya fujo na watumie njia za amani kuelezea malalamiko yao.
-
Kutangazwa muda wa kujiuzulu Rais Omar al Bashir wa Sudan
Aug 22, 2016 03:32Rais Omar al Bashir wa Sudan ametangaza kuwa, ana nia ya kuachia madaraka ifikapo mwaka 2020. Amesema atalazimika kuachana na siasa kwani katiba ya Sudan haitomruhusu kubakia madarakani.
-
133 wakamatwa na polisi Zambia kwa kupinga ushindi wa Rais Lungu
Aug 16, 2016 10:51Polisi nchini Zambia imewatia mbaroni makumi ya wafuasi wa upinzani wanaopinga ushindi wa Rais Edgar Lungu katika uchaguzi wa rais uliofanyika Alkhamisi iliyopita.