Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Zarif: Iran itatoa jibu mwafaka kwa misimamo ya Trump kuhusu JCPOA

    Zarif: Iran itatoa jibu mwafaka kwa misimamo ya Trump kuhusu JCPOA

    Oct 08, 2017 23:02

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran itatoa jibu mwafaka kujibu mapigo ya hatua yoyote ya kiuhasa itakayochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya makubaliano ya nyuklia ya Iran ya JCPOA.

  • Zarif asema Iran na Oman zina uhusiano mzuri na wa karibu

    Zarif asema Iran na Oman zina uhusiano mzuri na wa karibu

    Oct 02, 2017 11:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano wa Iran na Oman katika sekta za siasa, uchumi, usalama na masuala ya eneo ni mzuri na ni wa karibu.

  • Onyo la Zarif kuhusiana na kujiondoa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Onyo la Zarif kuhusiana na kujiondoa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Sep 30, 2017 08:48

    Misimamo ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani inathibitisha wazi kwamba rais huyo hayuko tayari kukubali kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza kikamilifu majukumu yake za mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa ufupi kama JCPOA licha ya nchi za Ulaya na hata wanasiasa mashuhuri wa nchi yake mwenyewe kuthibitisha suala hilo.

  • Dakta Zarif aionya Marekani kuhusu kujitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Dakta Zarif aionya Marekani kuhusu kujitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Sep 29, 2017 00:18

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo Marekani itajitoa katika makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), basi Tehran nayo ina machaguo mengine ambayo inaweza kuyatekeleza.

  • Zarif: Iran haina imani na Marekani

    Zarif: Iran haina imani na Marekani

    Sep 28, 2017 04:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA haukufikiwa kwa msingi wa kuaminiana na kimsingi Iran haina imani na Marekani.

  • Zarif: Iran itaendelea kuwa pamoja na Wasyria kujenga upya nchi yao

    Zarif: Iran itaendelea kuwa pamoja na Wasyria kujenga upya nchi yao

    Sep 22, 2017 00:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif amesema kuwa Tehran inaunga mkono uzingatiaji wa kimataifa juu ya umuhimu wa kuendelea kutolewa misaada ya kibinaadamu na ukarabati wa Syria na kwamba katika hilo Iran itaendelea kushirikiana na Wasyria katika kuijenga upya nchi yao.

  • Zarif: Iran ni mshirika wa kuaminiwa wa Afrika Kusini

    Zarif: Iran ni mshirika wa kuaminiwa wa Afrika Kusini

    Sep 04, 2017 02:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran inaweza kuwa mshirika wa kuaminika wa Afrika Kusini katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Dakta Zarif: Mashinikizo ya Marekani dhidi ya IAEA yanakinzana na makubaliano ya JCPOA

    Dakta Zarif: Mashinikizo ya Marekani dhidi ya IAEA yanakinzana na makubaliano ya JCPOA

    Aug 24, 2017 03:01

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mashinikizo ya serikali ya Marekani kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) yanakinzana na makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) yaliyofikiwa kati ya Iran na madola sita makubwa ulimwenguni.

  • Zarif: Iran inakaribisha kubadilika sera za kieneo za Saudi Arabia

    Zarif: Iran inakaribisha kubadilika sera za kieneo za Saudi Arabia

    Aug 23, 2017 03:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Ikiwa Saudi Arabia itaangalia upya siasa na sera zake za eneo la Mashariki ya Kati itapata jibu na radiamali chanya ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Dakta Zarif: Ugaidi si nembo ya dini wala kaumu yoyote ile

    Dakta Zarif: Ugaidi si nembo ya dini wala kaumu yoyote ile

    Aug 19, 2017 02:29

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali utendaji wa kindumakuwili wa baadhi ya mataifa kuhusiana na ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS