-
Jumuiya ya Mabunge ya Kiarabu: Hakuna kufanya mapatano yoyote na utawala haramu wa Israel + Video
Feb 09, 2020 04:47Kikao cha dharura cha Jumuiya ya Mabunge ya Kiarabu kimesisitiza upinzani wake dhidi ya nchi za Kiarabu kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Mgawanyiko kileleni Marekani, Pelosi aichana hotuba ya kila mwaka ya Trump + Video
Feb 05, 2020 04:28Mgawanyiko mkubwa umedhihirika katika uga wa kisiasa Marekani wakati Rais Donald Trump wa nchi hiyo alipokuwa akitoa hotuba ya kila mwaka mbele ya Bunge la Kongresi huku mchakato wa kumuondoa madakarani ukikaribia kumalizika.
-
Mwili wa shahidi Qassem Soleimani na ya mashahidi wenzake yasindikizwa na kuagwa Ahvaz na Mashhad + Video
Jan 05, 2020 12:10Mwili wa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu na ya mashahidi wenzake waliouliwa shahidi pamoja naye katika jinai ya kinyama iliyofanywa na majeshi ya kigaidi ya Marekani imesindikizwa na kuagwa leo katika mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mwa Iran na huko Ahvaz kusini mwa nchi.
-
Zarif azijibu nchi tatu za Ulaya "zilizoishitaki" Iran kwa Umoja wa Mataifa + Video
Dec 05, 2019 23:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa madai yaliyotolewa na nchi tatu za Ulaya katika barua yao kwa Umoja wa Mataifa dhidi ya uwezo wa makombora wa Iran ni ya uongo na lengo lake ni kuficha kushindwa nchi hizo kuheshimu angalau kidogo ahadi zao katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Televisheni ya Iraq yarusha hewani video ya shambulio lililomuua mkuu wa ISIS + Video
Oct 27, 2019 08:49Televisheni ya serikali ya Iraq imerusha hewani mkanda wa video na kusema kuwa ni shambulio lililopelekea kuuawa kiongozi wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS), Abu Bakr al Baghdadi.
-
Utabiri wa Sayyid Nasrullah watimia, Marekani yawasaliti Wakurdi wa Syria + Video
Oct 08, 2019 07:30Wanamgambo wa Kikurdi wa kaskazini mwa Syria wameilalamikia vikali Marekani kwa kuwasaliti na kuwatelekeza katika mashambulizi ya jeshi la Uturuki dhidi yao, suala ambalo limethibitisha ukweli wa utabiri wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah alioutoa takriban miaka miwili iliyopita.
-
Answarullah: Kama Wasaudia hawataki suluhu, jeshi na mamluki wao watasambaratishwa kabisa + Video
Sep 29, 2019 23:49Mjumbe wa Baraza la Kijeshi la harakati ya Kiislamu ya Answarullah ya Yemen amesema kuwa, iwapo Saudi Arabia itaendelea kufanya ukaidi wa kukataa suluhu na kuendelea na mashambulizi yake nchini Yemen, itambue kuwa jeshi na mamluki wake watasambaratishwa kikamilifu.
-
Zarif: Iwapo Marekani inataka mazungumzo na Iran lazima itekeleze ahadi zake
Sep 29, 2019 03:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran haitaacha mustakabali wa uchumi na wananchi wake utegemee mkutano wa kimaonyesho na Rais Donald Trump wa Marekani. Ameongeza kuwa, kama ambavyo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alivyosema, 'iwapo Mareknai inataka kufanya mazungumzo na Iran, ni lazima kwanza itekeleze ahadi zake na isitishe vikwazo.'
-
Video: Brigedi 3 za Saudia zaangamizwa; mamia ya mamluki wametekwa katika mashambulizi Najran
Sep 28, 2019 23:26Msemaji wa jeshi la ulinzi la Yemen amesema kuwa brigedi tatu za kijeshi za Saudi Arabia zimeangamizwa kikamilifu baada ya askari jeshi wa Yemen huku wakiungwa mkono na makundi ya kujitolea ya wananchi walipotekeleza oparesheni kubwa ya kijeshi katika mkoa mpakani kusini mwa Saudi Arabia.
-
Mateso kwa Waislamu, India yapeleka wanajeshi milioni 1 na 80,000 Kashmir + Video
Sep 19, 2019 21:56Ikiwa ni katika kuendeleza ukandamizaji wake dhidi ya Waislamu wa eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India, serikali ya New Delhi imetuma wanajeshi wengine 180 kuungana na maelfu ya wanajeshi wake wengine katika eneo hilo.