-
Vita vya kinyama vya Israel Ghaza: Miili 40 ya watoto, 38 ya wanawake miongoni mwa iliyotolewa kwenye kifusi
Aug 02, 2026 12:57Shirika la Ulinzi wa Raia la Ghaza limesema, wafanyakazi wake walipata miili na mabaki ya watu 112 kutoka chini ya vifusi vya nyumba zilizoharibiwa na mashambulizi ya kinyama ya jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel katika kitongoji cha Sabra cha Jiji la Ghaza.
-
Changamoto mpya kwa Wasaudia kufuatia mzingiro wa majini wa Yemen
Aug 02, 2026 11:03Mzingiro wa majini wa Yemen dhidi ya Saudi Arabia, pamoja na kufungwa kwa Lango-Bahari la Bab al-Mandab kwa meli za mafuta za Saudia, vimetoa changamoto mpya kwa Wasaudia.
-
Mazuwari zaidi ya milioni nne wameingia Iraq tangu Muharram hadi sasa
Aug 02, 2026 03:27Mkuu wa Idara ya habari ya masuala ya usalama wa Iraq ametangaza kuwa wafanyaziara zaidi ya milioni nne wa kigeni wamewasili nchini humo tangu mwanzo wa mwezi wa Muharram, na kwamba zoezi la upokeaji mazuwari wanaokwenda kushiriki kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS lingali unaendelea.
-
Shambulio la Israel dhidi ya maghala ya dawa Ghaza latajwa kuwa ni 'jinai ovu sana'
Aug 02, 2026 02:42Wizara ya Afya ya Ghaza imelaani kile ilichokiita "jinai ovu sana" iliyofanywa na vikosi vya utawala wa kizayuni wa Israel huko Deir el-Balah, ikisema shambulio hilo la Ijumaa asubuhi lililenga "maghala ya dawa" ya Hospitali ya Mashahidi wa Al-Aqsa, na kuyabomoa kikamilifu mawili kati ya maghala hayo.
-
Meja Jenerali Abdullahi: Sasa, majeneza ni sehemu ya vifaa vya wanajeshi wa Marekani, Asia Magharibi
Aug 01, 2026 06:35Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) ameandika ujumbe katika mitandao ya kiijamii akisema: Majeneza ya Wamarekani sasa ni sehemu ya vifaa vyao katika eneo la Asia Magharibi.
-
Jeshi la Yemen lalazimisha meli 8 za mafuta za Saudia kubadili njia
Aug 01, 2026 06:33Msemaji wa Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen ametangaza katika taarifa kwamba, katika juhudi za kuimarisha mlingano wa “kuzingirwa kwa kuzingirwa”, na kufuatia kuongezeka kwa vikwazo vya baharini dhidi ya meli za mafuta za Saudi Arabia, meli nane za mafuta za Saudi Arabia zimelazimika kubadili njia na kuelekea Rasi ya Tumaini Jema (Cape of Good Hope).
-
Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'
Jul 31, 2026 03:27Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.
-
Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'
Jul 30, 2026 11:05Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.
-
Kwa nini Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni?
Jul 30, 2026 06:54Gazeti la Haaretz limeandika: Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni. Gazeti hilo limechapisha ripoti inayokosoa vikali utendaji wa Benjamin Netanyahu, likisisitiza kuwa atakumbukwa kama Waziri Mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni na kwamba madhara ya kiusalama na kiuchumi ya vita alivyovisababisha yataukabili utawala wa Israel kwa miaka mingi ijayo.
-
Iran yalaani mashambulizi ya “kihalifu” ya Marekani na Saudia dhidi ya Iraq
Jul 30, 2026 04:13Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa kauli kali ya kulaani mashambulizi ya pamoja ya angani yaliyofanywa na Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Iraq.