-
Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu Gaza ni mbaya
Dec 12, 2025 02:40Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu kuongezeka kwa janga la kibinadamu katika Ukanda wa Gaza kutokana na mvua na baridi kali huko Palestina.
-
OIC: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni Ukingo wa Magharibi ni ukiukaji wa sheria za kimataifa
Dec 12, 2025 02:39Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani mpango mpya wa Wazayuni wa kujenga nyumba 764 katika Ukingo wa Magharibi, ikiitaja hatua hiyo kuwa ni ukiukaji wazi wa sheria za kimataifa na azimio za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, hasa Azimio nambari 2334.
-
Hamas: Israel inakiuka majukumu ya awamu ya 1 ya makubaliano ya kusitisha mapigano
Dec 11, 2025 12:14Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeilaani vikali Israel kwa kutotimiza wajibu wake katika makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza, wakati harakati hiyo ya Palestina imetekeleza majukumu yake yote kwa mujibu wa awamu ya kwanza ya makubaliano hayo.
-
Tangu ulipotangazwa usitishaji vita Ghaza, Israel imewaua shahidi Wapalestina wasiopugua 386
Dec 11, 2025 07:12Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Habari ya Ukanda wa Ghaza ametangaza kuwa jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel halijaheshimu wala kufungamana na makubaliano ya kusitisha mapigano na itifaki ya masuala ya kibinadamu iliyoainishwa kwenye makubaliano hayo.
-
Ansarullah: Wazayuni wawafanyia ukatili hata wanawake wajawazito
Dec 11, 2025 03:36Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, ametoa hotuba kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake na kugusia jinsi utawala wa Kizayuni wa Israel unavyoua kikatili maelfu ya wanawake Waislamu nchini Palestina wakiwemo wanawake wajawazito, wazee na watoto na kusema kuwa, Wazayuni hawawaonei huruma hata wanawake wajawazito na vitoto vichanga vilivyomo tumboni.
-
Shida na umasikini; urithi ambao utawala wa kizayuni umewaachia watu wake kutokana na vita vya Ghaza
Dec 10, 2025 07:54Matokeo ya uchunguzi uliofanywa na shirika moja la Kizayuni la utoaji huduma na misaada ya kibinadamu yanaonyesha kuwa, vita vya Ghaza vimewatumbukiza Wazayuni wengi zaidi kwenye lindi la umasikini; na zaidi ya robo ya familia, sasa zinakabiliwa na uhaba wa chakula.
-
Msemaji wa UNRWA: Kinachoendelea Gaza hakijawahi kushuhudiwa tangu wakati wa Vita vya Pili vya Dunia
Dec 10, 2025 06:17Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) amesema kwamba "kinachoendelea huko Gaza hakijawahi kushuhudiwa tangu wakati wa Vita vya Pili vya Dunia."
-
UNIFIL yapinga madai ya Israel kuhusu silaha za Hizbullah
Dec 10, 2025 02:42Kamanda wa Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon (UNIFIL) amesema kuwa ujumbe wa kulinda amani wa kimataifa haujapata ushahidi wowote kuhusu Harakati ya Hizbullah kujenga upya uwezo wake wa kijeshi, akikanusha madai ya Israel yaliyotumika kama kisingizio cha kushambulia kusini mwa Lebanon.
-
Israel yalaaniwa vikali kwa kuvamia ofisi za UNRWA Quds Mashariki
Dec 09, 2025 07:33Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, limesema kwamba polisi wa Israel walivamia makao yake makuu katika Quds (Jerusalem) Mashariki mapema Jumatatu, hatua ambayo limeitaja kuwa “changamoto mpya kwa sheria za kimataifa.”
-
Ripoti: Wapalestina wasiopungua 110 wamefariki katika magereza ya Israel tangu Ben-Gvir achukue wadhifa
Dec 09, 2025 02:39Ripoti mpya imebainisha kuwa angalau Wapalestina 110 wamepoteza maisha ndani ya magereza ya utawala haramu wa Israel tangu Itamar Ben-Gvir, kinara mwenye misimamo mikali wa chama cha 'Nguvu ya Mayahudi' , ateuliwe kuwa waziri wa 'usalama' mnamo Desemba 2022.