-
Rasimu ya azimio la Umoja wa Mataifa yaitaka Israel kukomesha mara moja upanuzi wa vitongoji haramu
Feb 18, 2023 00:03Rasimu ya azimio jipya la Umoja wa Mataifa ambayo inasubiri kupigiwa kura inautaka utawala ghasibu wa Israel kukomesha haraka iwezekanavyo shughuli za upanuzi wa vitongoji vya walowezi katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
-
Zaidi ya dazeni mbili za vyama vya Kiarabu vyataka kuondolewa haraka vikwazo dhidi ya Syria
Feb 18, 2023 00:02Zaidi ya dazeni mbili za vyama vya siasa vya Kiarabu vimetaka kuondolewa haraka vikwazo vyote vilivyowekwa na Marekani na washirika wake wa Magharibi dhidi ya Syria, hususan baada ya tetemeko kubwa la ardhi la 7.8 kwa kipimo cha Rishta lililoathiri maeneo ya kaskazini mwa Syria na nchi jirani ya Uturuki.
-
Walionusurika 'kimiujiza' kwenye zilzala ya Uturuki waendelea kupatikana, vifo vyakaribia 44,000
Feb 17, 2023 04:23Taarifa za uokokaji wa 'kimiujiza' zinaendelea kutolewa kutoka maeneo yaliyokumbwa na tetemeko la ardhi la Februari 6 katika nchi za Uturuki na Syria, huku watu wengine wanne wakitolewa wakiwa hai kwenye majengo yaliyoporomoka nchini Uturuki zikiwa zimepita zaidi ya siku 10 tokea lilipotokea tetemeko hilo.
-
Kukiri Waziri Mkuu wa zamani wa Israel kuhusu ugaidi wa kiserikali wa utawala huo dhidi ya Wapalestina
Feb 16, 2023 23:18Waziri Mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni amekiri kuwa aliwahi kutoa amri ya kupigwa risasi Wapalestina.
-
Wapalestina: Tutalipiza kisasi kwa jinai za Wazayuni kwa kuwafanya wasiishi kwa amani
Feb 16, 2023 07:24Kundi la Muqawama wa Palestina la 'Arin al Usud' (Pango la Simba) limewahutubu Wazayuni kwa kutangaza kwamba "tutajibu ubomoaji wa nyumba za Wapalestina Baitul Muqaddas kwa kuvuruga usalama wa wavamizi na walowezi wa Kizayuni katika kila pembe ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Mama, wanawe wawili wapatikana wakiwa hai chini ya kifusi siku 9 baada ya Zilzala, Uturuki
Feb 16, 2023 06:43Mama mmoja na watoto wake wawili wameokolewa katika mji wa Antakya kusini mwa Uturuki wakielezewa na timu ya uokoaji kuwa katika "hali nzuri" licha ya kukaa kwa siku tisa chini ya vifusi vya tetemeko kubwa la ardhi lililoikumba nchi hiyo na nchi jirani ya Syria.
-
Hamas yapongeza juhudi za Algeria na Afrika Kusini za kuifukuza Israel AU
Feb 16, 2023 04:27Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza juhudi zinazofanywa na nchi kama Afrika Kusini na Algeria za kuhakikisha utawala haramu wa Israel unapokonywa hadhi ya kuwa mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika (AU).
-
Kuhani wa Kizayuni afurahia vifo vya maelfu ya watu katika tetemeko la ardhi la Uturuki
Feb 14, 2023 23:00Kuhani mmoja wa Kizayuni ameonyesha furaha yake kutokana na vifo vya makumi ya maelfu ya watu katika tetemeko la ardhi nchini Uturuki.
-
Sheikh Isa Qasim: Aal Khalifa imedhamiria kuing'oa mizizi ya Uislamu Bahrain
Feb 14, 2023 23:00Sheikh Isa Qasim, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain ametangaza kuwa, utawala wa Aal Khalifa unafanya kila njia ili kuufuta Uislamu nchini humo.
-
Mapinduzi ya Netanyahu dhidi mfumo wa mahakama na uwezekano wa msambaratiko wa ndani
Feb 14, 2023 22:55Rais Isaac Herzog wa utawala haramu wa Israel amekiri kuwa, utawala huo unakaribia kusambaratika kisheria na kijamii.