-
Damascus: Kusimamisha kwa muda vikwazo vya Marekani dhidi ya Syria hakutoshi
Feb 14, 2023 07:23Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa kusimamishwa kwa upande mmoja na kwa muda baadhi ya vikwazo vya serikali ya Marekani dhdi ya Damascus hakutasadia kutondoa taathira hasi za muda mrefu za vikwazo hivyo.
-
Msemaji wa Hamas: Muqawama, ngao na upanga vitaendelea kuwa mtetezi wa Palestina
Feb 13, 2023 22:58Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amewapongeza wanamapambano wa Brigedi za Izzudin al Qassam kwa kukabiliana na chokochoko na mashambulizi ya karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza na kusisitiza kuwa, muqawama, ngao na upanga vitaendelea kuipigania Palestina.
-
Ahmed Aboul Gheit: Quds inakabiliwa na hatari ya kubadilishwa utambulisho
Feb 13, 2023 08:51Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ametahadharisha kuwa, mji wa Quds si tu kwamba, umekaliwa kwa mabavu na Wazayuni maghasibu bali eneo hilo takatifu linakabiliwa na hatari ya kubadilishwa utambulisho wa kihistoria, Kiislamu na Kikristo.
-
Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama yasisitiza kuondolewa haraka vikwazo dhidi ya Syria
Feb 13, 2023 08:19Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama imetoa taarifa ikisisitiza udharura wa kuondolewa haraka iwezekanavyo vikwazo dhidi ya Syria katika kipindi hiki ambacho nchi hiyo inahitajia misaada kutokana na kukumbwa na janga la tetemeko la ardhi.
-
Hizbullah ya Lebanon yawapelekea misaada waathirika mitetemeko ya ardhi nchini Syria
Feb 13, 2023 03:59Msafara wa misaada wa Lebanon chini ya jina la "Kampeni ya Huruma" kwa watu waliokhasiriwa na mitetemeko ya ardhi nchini Syria unaelekea kwenye maeneo hayo hivi sasa.
-
HAMAS: Njama za Marekani za kuisambaratisha Intifadha zitafeli
Feb 12, 2023 23:05Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu HAMAS amesema njama za Marekani za kutaka kuisambaratisha Intifadha ya Tatu ya Wapalestina dhidi utawala wa Kizayuni wa Israel zitagonga mwamba.
-
Hizbullah yalaani hatua ya Marekani ya kuzuia misaada ya kibinadamu kwa waathiriwa wa zilzala nchini Syria
Feb 12, 2023 08:22Afisa wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali hatua ya kimaonyesho ya Marekani eti ya kutenga msaada kwa ajili ya waathiriwa wa tetemeko la ardhi nchini Syria na Uturuki na kutangaza kuwa kiasi cha fedha za msaada huo uliotangazwa na Washington baada ya kukosolewa sana kwa kuzuia misaada kwa waathiriwsa wa tetemeko la ardhi ni sawa na siku moja ya wizi wa mafuta unaofanywa na Marekani kwenye visima vya mafuta vya kaskazini mwa Syria.
-
Tahadhari kuhusu ukosefu wa dawa nchini Yemen, kifo kinawanyemelea wagonjwa wa figo
Feb 12, 2023 08:14Afisa wa Wizara ya Afya ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen ameonya kuwa zaidi ya wagonjwa elfu tano wa figo wako katika hatihati ya kufariki dunia kutokana na ukosefu wa dawa.
-
Assad akosoa undumakuwili wa Magharibi kuhusu hali ya kibinadamu katika Syria iliyokumbwa na zilzala
Feb 12, 2023 03:45Rais wa Syria Bashar al-Assad amekosoa misimamo ya kundumakuwili ya nchi za Magharibi katika kukabiliana na wahanga wa mitetemeko mikubwa ya ardhi iliyokumba Syria na Uturuki, akisema mataifa ya Magharibi hayajali hali ya kibinadamu nchini kwake.
-
Zilzala Uturuki na Syria: Waliofariki wakaribia 30,000, UN yaonya idadi ni mara mbili ya hiyo
Feb 12, 2023 01:07Matumaini ya kupata manusura zaidi chini ya vifusi vya nyumba zilizobomolewa mitetemeko miwili mikubwa ya ardhi Jumatatu iliyopita katika nchi za Syria na Uturuki yanazidi kupungua siku 6 baada ya maafa hayo ambapo idadi ya walipoteza maisha inakaribia 30,000 huku Umoja wa Mataifa ukitabiri kuwa yamkini idadi hiyo ikaongezeka maradufu.