-
Mashirika ya kutetea haki za binadamu yaitaka Morocco kutomrejesha Saudia mwanaharakati wa nchi hiyo
Feb 09, 2023 04:29Baadhi ya mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemtaka Waziri Mkuu wa Morocco kutomrudisha nchini kwake mwanaharakati wa Saudia, Hassan al-Rabea.
-
Damascus yakosoa utendaji dhaifu wa UN katika kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi
Feb 09, 2023 04:28Mkurugenzi wa Shirika la Huduma za Kiraia na Misaada la Syria amekosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa katika kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi na kutangaza kwamba maelfu ya familia za Syria wamepoteza makazi na nyumba zao kutokana na janga hilo.
-
Tangazo la uwepo wa "Bunge la Hijaz", hatua ya kukabiliana na vita vya Bin Salman dhidi ya Uislamu
Feb 08, 2023 08:52Wanaharakati wa Saudia wameanzisha Bunge la Hijaz ili kukabiliana na njama za Aal Saud dhidi ya matukufu ya Kiislamu katika ardhi ya Hijaz na kutetea maeneo matakatifu ya Waislamu.
-
Wapalestina 42 wameuawa shahidi tangu kuanza mwaka huu wa 2023
Feb 08, 2023 04:16Kwa akali Wapalestina 42 wameuawa shahidi na jeshi la utawala haramu wa Israel tangu kuanza mwaka huu wa 2023.
-
Harakati ya HAMAS yaonya kuhusiana na njama za Wazayuni za kubomoa msikiti wa al-Aqswa
Feb 08, 2023 04:14Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeonya kuhusiana na njama za Wazayunii za kutaka kuubomoa msikiti wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Magaidi karibu ya 20 wa Daesh wametoroka jela Syria kufuatia tetemeko la ardhi
Feb 07, 2023 08:31Takriban magaidi wa Daesh 20 waliokuwa wamefungwa jela katika gereza moja nchini Syria jana walitoroka baada ya kufanya uasi kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo na Uturuki jana asubuhi.
-
Syria: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani vinazidisha maafa ya tetemeko la ardhi
Feb 07, 2023 03:43Kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea kaskazini ya Syria, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo amesema, athari za vikwazo vya upande mmoja vya Marekani zinaongeza maafa ya janga hilo la kimaumbile.
-
Mgogoro wa wizi wa silaha jeshi unazidi kuutesa utawala wa Kizayuni
Feb 06, 2023 22:54Taasisi ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni imeingia kwenye mwaka mpya wa 2023 ikilemewa na migogoro chungu nzima ya ndani na nje ya utawala huo. Mgogoro wa wizi ndani ya kambi na vituo nyeti vya kijeshi vya Israel bado unaendelea kuutesa utawala huo wa kigaidi.
-
Kumbukumbu ya miaka 20 ya uongo mkubwa wa Marekani kuhalalisha shambulio dhidi ya Iraqi
Feb 06, 2023 09:34Miaka 20 iliyopita yaani Februari 5, 2003, Colin Powell, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani alishiriki katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini New York na kuonyesha bomba la majaribio lililokuwa na mada za kimeta na kudai kuwa ni ushahidi wa kuwepo silaha za maangamizi ya umati nchini Iraq.
-
Waziri wa zamani wa Qatar: Kuanzisha uhusiano na Israel hakutakuwa na faida kwa wananchi wa Sudan
Feb 06, 2023 07:46Waziri Mkuu wa zamani wa Qatar amekosoa vikali hatua ya serikali ya sasa ya Sudan ya kujipendekeza kwa utawala haramu wa Israel na kueleza kwamba, hatua ya Khartoum ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel haitakuwa na faida yoyote kwa wananchi wa Sudan.