-
Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran
Mar 14, 2026 03:29Kundi moja la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani vikali mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Lebanon.
-
Mjumbe wa UN: Walioua watoto wa shule ya msingi ya Minab wapandishwe kizimbani
Mar 13, 2026 08:05Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Elimu Duniani, Gordon Brown, amesema watoto hawapasi kufanywa wahanga wa vita, na shule na hospitali hazipaswi kushambuliwa.
-
Reuters: Hitilafu zanatikisa White House; Trump anatafuta njia ya kujinasua katika kinamasi cha vita na Iran
Mar 13, 2026 07:55Shirika la habari la Reuters limemnukuu mmoja wa washauri wa Rais wa Marekani akisema kuwa hitilafu kubwa zimepamba moto ndani ya Ikulu ya Rais wa Marekani, White House, kuhusu mwelekeo wa vita vya sasa na Iran.
-
Wasomi na watu mashuhuri walaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Mar 13, 2026 04:09Wasomi na watu mashuhuri kutoka maeneo mbalimbali ya dunia wamelaani mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya watu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Russia: Iran ina haki ya kujitetea mbele ya mashambulizi ya Marekani, Israel
Mar 13, 2026 04:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina haki ya kujitetea na kukabiliana na hujuma za Marekani na Israel na ametoa wito wa kusitishwa mashambulizi ya Marekani na Israel na kurejea kwenye meza ya mazungumzo.
-
Baqaei: Israel imeiburuta Marekani kwenye vita na Iran, Wamarekani wanapaswa kulijua hili
Mar 13, 2026 03:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema wananchi wa Marekani wanapaswa kujua kwamba utawala haramu wa Israel umeiburuta Marekani na kuitumbukiza kwenye vita na Iran.
-
Seneta wa Marekani: Serikali ya Trump imesema uongo kuhusu shambulio dhidi ya shule ya Iran
Mar 12, 2026 04:35Seneta wa Marekani amekosoa uongo wa kukaririwa wa serikali na jeshi la nchi hiyo na kusema serikali imetudanganya kuhusu shambulizi lililolenga shule ya watoto wadogo nchini Iran.
-
Korea Kaskazini yampongeza Ayatullah Mojtaba Khamenei kwa kuchaguliwa kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Mar 11, 2026 23:20Korea Kaskazini imepongeza Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kwa kuchaguliwa kwake kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Seneta wa Marekani akiri: Hatutafikia malengo yetu yoyote katika vita na Iran
Mar 11, 2026 09:33Chris Murphy, Seneta wa chama cha Democrat nchini Marekani, kufuatia kikao cha faragha na maafisa wa utawala wa Rais Donald Trump kuhusu uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran, amekosoa mtazamo wa utawala huo na kusema: "Hatutafikia malengo yoyote tuliyotangaza katika vita dhidi ya Iran."
-
Mufti Mkuu wa Russia ampongeza Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei
Mar 11, 2026 08:38Mufti Mkuu wa Russia ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu wa Shirikisho la Russia ametuma ujumbe akimpongeza Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kwa kuchaguliwa kuwa Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu.