-
Medvedev: Mashambulizi dhidi ya Iran ni uchokozi unaokiuka misingi ya uungwana
Mar 11, 2026 04:54Naibu Mkuu wa Baraza la Usalama la Russia ametuma ujumbe akimpongeza Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei na kusema kuwa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya ardhi ya Iran ni uchokozi unaokiuka misingi ya uungwana na wala hayawezi kuhalalishwa kwa njia yoyote.
-
Uhispania: Kamisheni ya Ulaya itetee sheria za kimataifa/ Wallace: Muungano wa Epstein unalenga raia nchini Iran
Mar 10, 2026 10:24Naibu Waziri Mkuu wa Uhispania amekosoa vikali matamshi ya Mkuu wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen, kuhusu utaratibu wa kimataifa na kuunga mkono vita vya uvamizi dhidi ya Iran.
-
Uingereza: Hatutaingia katika vita dhidi ya Iran/ Ireland yalaani uvamizi wa Marekani na Wazayuni dhidi ya Iran
Mar 09, 2026 08:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa London haitajiunga katika vita vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran.
-
Russia yawasilisha rasimu ya azimio Baraza la Usalama, yataka kukomeshwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Mar 09, 2026 03:02Russia imewasilisha rasimu ya azimio katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ikitaka kukomeshwa vita katika eneo la Asia Magharibi.
-
Washington Post: Trump anakabiliwa na "upande mweusi" wa vita na Iran; majeneza yameanza kuwasili
Mar 08, 2026 09:24Gazeti la Washington Post limeitaja shughuli ya kupokea miili ya wanajeshi sita wa Marekani waliouawa katika operesheni kali ya Iran kuwa ni ishara kwamba vita vinamwendea vibaya rais wa nchi hiyo.
-
Vyombo vya habari vya Algeria: Kesi ya Epstein ndiyo chanzo cha moja kwa moja cha vita vya Trump dhidi ya Iran
Mar 08, 2026 08:04Gazeti la Algeria "Al-Shorouk" limeandika kuwa kashfa iliyotokana na kesi ya bilionea mashuhuri na mhaifu wa ngono wa Marekani, Jeffrey Epstein, na kuhusika Rais Donald Trump katika kashfa hiyo ndiyo sababu ya moja kwa moja ya kuanzisha vita dhidi ya Iran ili kupotosha maoni ya umma nchini Marekani na duniani.
-
Chatham House: Vita na Iran ni kamari ya kisiasa, Uhispania: Kushambulia Iran ni kosa kubwa
Mar 07, 2026 14:58Kituo cha kifikra cha Uingereza cha Chatham House kimekiri kwamba Rais wa Marekani, Donald Trump, amecheza "kamari kubwa ya kisiasa" kwa kuanzisha vita dhidi ya Iran.
-
Planet Labs inachuja picha za satalaiti za hasara za kambi za Marekani zinazotwangwa na Iran
Mar 06, 2026 11:36Kampuni ya huduma za satalaiti ya Marekani imetangaza kuwa, inachelewesha kutoa picha zake kwa siku nne ili kuzuia tathmini na uchambuzi wa hasara zilizosababishwa kwenye kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.
-
Afisa wa zamani wa Marekani: Washington imeshindwa kutimiza malengo yake dhidi ya Iran
Mar 06, 2026 11:35Afisa wa zamani wa shirika la ujasusi la jeshi la majini la Marekani amesema Washington imeshindwa kutimiza malengo ya uvamizi wake wa kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Afisa wa zamani wa Pentagon: Hatukudhani makombora ya Iran yatakuwa ya kisasa kiasi hiki
Mar 06, 2026 09:40Mshauri wa zamani wa Wizara ya Vita ya Marekani (Pentagon) amekiri kuhusu uwezo mkubwa wa makombora ya Iran na udhaifu wa mifumo ya ulinzi wa anga ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.