-
Afisa wa zamani wa Pentagon: Hatukudhani makombora ya Iran yatakuwa ya kisasa kiasi hiki
Mar 06, 2026 09:40Mshauri wa zamani wa Wizara ya Vita ya Marekani (Pentagon) amekiri kuhusu uwezo mkubwa wa makombora ya Iran na udhaifu wa mifumo ya ulinzi wa anga ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mchambuzi wa Kirusi: Kuishambulia kijeshi Iran kutakuwa na mwisho wa kufedhehesha kwa Trump
Mar 06, 2026 04:01Mkuu wa kituo cha tafiti maalumu za michakato ya kisiasa cha Russia amesema, uvamizi wa kijeshi ulioanzishwa na Marekani na utawala wa kizayuni dhidi ya Iran unafanyika kinyume cha sheria na akabainisha: “baada ya kuanza hujuma hii tumeshuhudia kuimarika umoja wa wananchi wa Iran kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa”.
-
Russia: Kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya mauaji ya wanafunzi nchini Iran kinashangaza
Mar 04, 2026 11:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya mauaji yaliyofanywa na Marekani dhidi ya wanafunzi wa shule ya msingi nchini Iran ni jambo la kushangaza.
-
Mkuu wa WHO alaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya hospitali nchini Iran
Mar 04, 2026 07:40Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus, akizungumzia shambulio la mabomu lililofanywa na Marekani na Israel dhidi ya Hospitali ya Gandhi mjini Tehran, amesisitiza kuwa chini ya Sheria za Kimataifa za Kibinadamu, sekta ya afya haipaswi kulengwa kijeshi
-
Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la Marekani ampinga Trump, asema Iran si tishio
Mar 04, 2026 05:34Kiongozi wa chama cha Democrat katika Bunge la Seneti ya Marekani, Hakeem Jeffries, amekemea kwa ukali serikali ya Donald Trump baada ya shambulizi la kijeshi dhidi ya Iran, akisisitiza kuwa hakuna “tishio tarajiwa” kutoka Iran dhidi ya Marekani.
-
Hujuma ya kijeshi dhidi ya Iran inakiuka Kanuni za Umoja wa Mataifa
Mar 04, 2026 04:18Naibu Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuwa hujuma ya kijeshi yaliyotumika na Marekani na Israel dhidi ya Iran inakiuka Kanuni za Umoja wa Mataifa.
-
UN yataka ufanyike uchunguzi wa haraka kuhusu wasichana wadogo 167 waliouliwa na US/Israel
Mar 03, 2026 15:06Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametaka ufanyike uchunguzi wa haraka kuhusu shambulio lililolenga skuli ya msingi ya wasichana katika mji wa Minab kusini mwa Iran.
-
China yaihutubu Magharibi: Uzimeni moto wa vita usio na tija mliowasha dhidi ya Iran
Mar 03, 2026 12:54Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesisitizia ulazima wa faili la nyuklia la Iran kuondolewa kwenye wingu la vita.
-
Nara za “Mauti kwa Marekani” zatanda kwenye anga ya barabara za Rome na Vienna
Mar 03, 2026 12:42Mamia ya wanachama wa asasi zinazopinga vita, wanaharakati wa haki za binadamu na wapinzani wa uchokozi wa kijeshi wa Marekani na utawala wa kizayuni dhidi ya Iran wameandamana katika mitaa na barabara kuu za miji ya Rome, Italia na Vienna, Austria huku wakipiga nara na kaulimbiu za “Mauti kwa Marekani”.
-
Wapinzani wa vita waandamana New York kupinga vita vya Trump dhidi ya Iran
Mar 03, 2026 07:18Mamia ya wanaharakati wanaopinga vita wamefanya maandamano makubwa huko Manhattan mjini New York wakilaani mashambulizi ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.