-
Wapinzani wa vita waandamana New York kupinga vita vya Trump dhidi ya Iran
Mar 03, 2026 07:18Mamia ya wanaharakati wanaopinga vita wamefanya maandamano makubwa huko Manhattan mjini New York wakilaani mashambulizi ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wabunge wa Marekani: Netanyahu amemtwisha Trump mpango wake dhidi ya Iran
Mar 03, 2026 05:46Mtandao wa The Hill umewanukuu wabunge waandamizi wa vyama vyote viwili vikubwa vya Marekani, Democtatic na Republican, wakisema kuwa uamuzi wa Donald Trump wa kuanzisha vita dhidi ya Iran umechukuliwa kutokana na imla ya mpango wa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.
-
Katibu Mkuu wa UN: 'Uhamiaji si mgogoro', ahimiza ushirikiano wa kimataifa
Feb 28, 2026 02:33Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amezitolea wito nchi mbalimbali kupinga simulizi zinazochochewa na hofu kuhusu suala la uhamiaji, akisisitiza kwamba "uhamiaji si mgogoro".
-
Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump
Feb 28, 2026 02:11Kadiri matamshi ya kivita yanavyozidi kutoka kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, pamoja na baadhi ya maafisa wa utawala wake, wimbi jipya la upinzani dhidi ya uwezekano wa a vita vya kichochezi vya Marekani dhidi ya Iran limeanza kushika kasi.
-
Katika mwaka 2025, wahamiaji wapatao elfu nane wamefariki au kutoweka duniani kote
Feb 27, 2026 05:41Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa watu wasiopungua 7,667 walifariki au kutoweka katika njia za uhamiaji duniani kote katika mwaka uliopita wa 2025, na kuonya kwamba idadi halisi ya watu hao huenda ikawa kubwa zaidi huku likiitaja hasara hiyo ya upoteaji wa roho za watu inayoendelea kushuhudiwa kuwa "kufeli kimataifa."
-
Pakistan yatangaza 'vita vya wazi' dhidi ya Afghanistan, yashambulia Kabul na miji mingine
Feb 27, 2026 03:43Waziri wa Ulinzi wa Pakistan amesema, subira ya nchi yake kwa kundi la Taliban imemalizika na kwa hiyo imeingia kwenye "vita vya wazi," dhidi ya Afghanistan.
-
El-Baradei, mkuu wa zamani wa IAEA aionya Marekani kuhusu gharama “za kutisha” za vita dhidi ya Iran
Feb 26, 2026 23:19Mohamed El-Baradei, aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), ameionya Marekani kuhusu madhara makubwa na ya kutisha yatakayojitokeza iwapo itaingia katika vita vingine dhidi ya Iran, huku akipinga hoja za Washington zinazodai kuhalalisha uchokozi huo mpya.
-
Wademokrati wanaishutumu Wizara ya Sheria ya Marekani kwa kumwondoa Trump kwenye Mafaili ya Epstein
Feb 26, 2026 23:08Chama cha Democratic kimeituhumu serikali ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kwa "ufichaji mkubwa zaidi wa serikali katika historia ya sasa" kutokana na ripoti kwamba imeficha nyaraka zinazohusiana na madai kwamba rais Trump anayetoka chama cha Republican alimnyanyasa kingono mtoto mdogo.
-
Kim atishia kuifuta kabisa Korea Kusini na kuweka masharti ya makubaliano na Washington
Feb 26, 2026 23:08Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ametishia "kumfuta kabisa" jirani yake wa kusini iwapo usalama wa nchi yake utatishiwa, akiitaja Korea Kusini kuwa ndiyo "kitu chenye uadui mkubwa zaidi" na kutupilia mbali uwezekano wowote wa kufanya mazungumzo na nchi hiyo.
-
Upeo wa ubaguzi; Trump ataka Ilhan, Tlaib wafukuzwe Marekani
Feb 26, 2026 02:06Rais Donald Trump amesema Wawakilishi wa Marekani, Ilhan Omar na Rashida Tlaib wanapaswa kurudishwa "walikotoka" baada ya wabunge hao wawili wa chama cha Democratic katika Congress ya Marekani kupiga kelele na kulalamika wakati wa hotuba ya karibuni ya Trump katika Kongresi.