-
Ripoti ya haki za kisheria yafichua “ukandamizaji dhidi ya Wapalestina” nchini Uingereza
Feb 26, 2026 00:19Shirika moja la haki za kisheria limebaini kile lilichokitaja kuwa “juhudi za kimfumo” za kukandamiza harakati za mshikamano na Palestina nchini Uingereza, likirekodi karibu matukio 1,000 katika kipindi cha miaka sita iliyopita yanayoonesha mfumo uliokita wa “ukandamizaji dhidi ya Wapalestina.”
-
NGO iliyoanzishwa na CIA yakiri kuhusika na machafuko Iran
Feb 25, 2026 23:57Shirika lisilo la Kiserikali (NGO) Marekani National Endowment for Democracy (NED), ambalo lilianzishwa na shirika kuu la kijasusi nchini humo, CIA, limekiri kuwa lilitumia takriban vifaa 200 vya Starlink nchini Iran wakati wa machafuko ya hivi karibuni.
-
Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani
Feb 25, 2026 23:47Rais wa Marekani Donald Trump amekoleza maradufu moto wa kampeni yake ya kueneza sumu dhidi ya Iran kwa kurudia tena tuhuma hewa za kila mara kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
-
Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake
Feb 25, 2026 23:03Ingawa Marekani daima inapiga ngoma ya vita na kutishia kuishambulia Iran kwa kutuma manowari na zana nyingine nzito za kijeshi katika maji yaliyo karibu na Iran, lakini ukweli wa mambo unaashiria hali tofauti kabisa.
-
Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran
Feb 25, 2026 03:30Kiongozi wa wabunge wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, Rais wa Marekani Donald Trump anasema uwongo kuhusu Iran.
-
Venezuela yaitaka UN iishinikize Marekani imwachie huru Maduro wiki kadhaa baada ya kumteka nyara
Feb 24, 2026 04:32Venezuela imewasilisha ombi rasmi kwa Umoja wa Mataifa ikitaka kuachiwa huru mara moja Rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro, kufuatia kutekwa nyara na wanajeshi wa Marekani katika operesheni ya mapema mwezi Januari mwaka huu ambayo Caracas imeitaja kuwa 'kinyume cha sheria'.
-
'Hapana, asante': Jibu la Waziri Mkuu wa Greenland kwa Trump kuhusu kuwapatia meli ya hospitali
Feb 24, 2026 00:36Waziri Mkuu wa Greenland Jens-Frederik Nielsen ameikataa ofa ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kutuma meli ya hospitali katika eneo hilo la Denmark linalojiendeshea mambo yake, ambalo Trump amekuwa akilifuatilia kwa muda mrefu ili kulinyakua.
-
Kiongozi wa chama cha BSW Ujerumani atoa wito kwa nchi yake kuondoa vikwazo dhidi ya Iran
Feb 23, 2026 06:31Kiongozi wa chama cha Union for Reason and Justice cha Ujerumani, Sarah Wagenknecht, anatoa wito kwa serikali ya nchi yake kuondoa vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Iran na kuzuia Marekani kutumia kambi za kijeshi nchini Ujerumani kuanzisha mashambulizi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Mwandishi wa habari mtajika wa Marekani: Israel ni mzigo mkubwa zaidi wa kigeni kwa Marekani
Feb 23, 2026 06:05Mwandishi mashuhuri wa habari wa Marekani, amekosoa waziwazi sera za Washington kuhusu Israel, akisema utawala huo ni mzigo mkubwa zaidi wa kigeni kwa Marekani.
-
Wamarekani wahoji: Je, Huckabee anawakilisha maslahi ya Washington au Tel Aviv?
Feb 22, 2026 23:44Kauli na matamshi ya balozi wa Marekani huko Israel, Mike Huckabee, yamesababisha hasira kubwa baada ya kusema kwamba utawala ghasibu wa Israel una haki ya kupanua eneo lake kwa kupora eneo kubwa la Mashariki ya Kati la nchi kadhaa za Kiarabu na Kiislamu, kwa mujibu wa tafsiri maarufu za Torati ndani ya harakati za Kikristo yenye msimamo mkali nchini Marekani.