-
Uwezekano wa Marekani kuishambulia Mexico na nchi nyingine za Amerika Kusini
Jan 17, 2026 06:23Kufuatia kuongezeka vitisho vya Rais Donald Trump dhidi ya Mexico, maafisa wa Wizara ya Vita ya Marekani wametangaza kuwa uwezekano wa kufanyika operesheni za kijeshi nchini Mexico umeongezeka.
-
Marekani yaitengea Israel dola bilioni 3.3 nyingine za kufanyia jinai duniani
Jan 17, 2026 05:26Bunge la Marekani limepasisha muswada wa dola bilioni 3.3 kwa ajili ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao hivi sasa dunia nzima inalaani jinai zake kubwa katika maeneo tofauti hasa huko Palestina na hususan katika Ukanda wa Ghaza.
-
Kwa nini Wamarekani waliowengi wanapinga wazo la Marekani kuimiliki Greenland?
Jan 16, 2026 11:50Utafiti mpya wa maoni unaonyesha kuwa Wamarekani wengi wanapinga vikali wazo la kuihodhi Greenland.
-
Iran, China na Russia zailaani Marekani kwa ghasia za karibuni nchini Iran
Jan 16, 2026 03:49Gholamhossein Darzi, Naibu Mwaklishi wa Kudumu wa Iran Umoja wa Mataifa ameikosoa vikali Marekani katika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu ghasia na machafuko yaliyoungwa mkono na nchi ajinabi dhidi ya Iran.
-
Russia: Badala ya Ulaya kuzungumzia hali ya Iran ifuatilie kuiokoa Greenland
Jan 15, 2026 06:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amesema, badala ya viongozi wa Umoja wa Ulaya, EU kutoa matamshi ya kuzungumzia hali ya Iran, ingekuwa bora kama wanegejikita kushughulikia kadhia ya Greenland, ambayo sasa hivi Marekani inafanya juu chini kuitia mkononi.
-
Trump amtukana tusi la nguoni mfanyakazi wa Ford kwa kuitwa 'mlindaji wa mharibifu wa watoto'
Jan 15, 2026 06:56Rais wa Marekani Donald Trump ameonekana kwenye mkanda wa video akimtukana tusi la nguoni mfanyakazi mmoja wa kampuni ya magari ya Ford Motor aliyemkosoa kiuchokozi wakati alipotembelea kiwanda kimoja cha kampuni hiyo kilichoko karibu na mji wa Detroit.
-
Wabunge wa Uingereza watoa wito wa kufukuzwa Marekani katika mashindano ya Kombe la Dunia 2026
Jan 15, 2026 04:16Wabunge wapatao ishirini wa Bunge la Uingereza wamelitaka Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuiondoa Marekani katika fainali za Kombe la Dunia 2026, licha ya kuwa mwenyeji mkuu, kwa sababu ya mienendo ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na ukiukaji wake wa mamlaka ya nchi huru.
-
Haki za binadamu za Kimarekani; Risasi ndani, madai ya haki za binadamu nje ya nchi
Jan 15, 2026 01:41Kufuatia kifo cha raia wa Marekani aliyepigwa risasi na maafisa wa uhamiaji, maandamano yamekuwa yakiendelea katika majimbo mengi ya Marekani.
-
Wakazi wa Greenland: Hatutaki kuwa Wamarekani
Jan 14, 2026 02:56Akthari ya wakazi wa eneo la Greenland wamesema wanahofia kwamba Rais wa Marekani, Donald Trump atatekeleza kivitendo tishio lake la kulitwaa eneo hilo, wakisisitiza kuwa katu hawataki kuwa raia wa Marekani.
-
Je, tishio la ushuru la Trump ni ishara ya nguvu au kukiri kushindwa?
Jan 13, 2026 23:08Katika matamshi yake mapya ya vitisho, Rais wa Marekani amezililenga nchi zinazofanya biashara na Iran.