Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Aya na Hadithi

Jan 16, 2018 10:19 UTC
Vipindi Vingine
  • Uislamu
    Uislamu
  • Hikaya za Aya
    Hikaya za Aya
  • Teknolojia Mpya
    Teknolojia Mpya
  • Mwezi wa Ramadhani
    Mwezi wa Ramadhani
  • Waislamu wa Rohingya
    Waislamu wa Rohingya
  • Akhlaqi katika Uislamu
    Akhlaqi katika Uislamu
  • Mchango wa Maulamaa wa Kishia katika Uislamu
    Mchango wa Maulamaa wa Kishia katika Uislamu

  • 28
    Aya na Hadithi (28)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tunakukaribisheni tena muwe pamoja nasi ili tupate kusikiliza kwa pamoja sehemu hii ya 28 ya mfululizo wa vipindi hivi vya Aya na Hadithi.
  • 27
    Aya na Hadithi (27)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza sehemu ya 27 ya kipindi hiki cha Aya na Hadithi ambapo Aya zinazojadiliwa humu na kufafanuliwa kwa kina na Hadithi Tukufu huangaza na kuchangamsha nyoyo zetu.
  • 26
    Aya ya Hadithi (26)
    Assalaam Aleikum wasikilizaji wapenzi wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza kipindi kingine katika mfululizo huu wa vipindi vya Aya na Hadithi ambapo leo tutanufaika na sehemu ya 26 ya mfululizo huu.
  • 25
    Aya na Hadithi (25)
    Assalam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Kipindi cha leo kitaendelea kujadili Aya ya an-Nur na aya nyingine tatu zinazofungamana nayo. Aya hizi ni miongoni mwa aya tukufu mno za kitabu kitakatifu cha Qur'ani ambazo huangaza nyoyo za waumini kwa mwongozo wa mbinguni na pia kwa mahaba na mapenzi ya minara maasumu ya Mtume Muhammad (saw) na Ahlu Beit wake watoharifu (as).
  • 24
    Aya na Hadithi (24)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Aya na Hadithi ambapo kwa leo tutajadili Aya ya Nur ambayo inahesabiwa na wasomi na wajuzi wa Qur'ani kuwa bawa la pili la muumini ambaye anamiliki bawa la kwanza la Aya ya Kursiy.
  • 23
    Aya na Hadithi (23)
    Assalaam Aleikum Wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tunakukaribisheni kusikiliza sehemu ya 23 ya kipindi hiki cha Aya na Hadithi huku tukimwomba Mwenyezi Mungu atupe sote nguvu na taufiki ya kutekeleza yale anayoyaridhia na kujiepusha na yale anayoyachukia.
  • 22
    Aya na Hadithi (22)
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Katika vipindi viwili vilivyopita tulichunguza na kujadili Aya za 38 hadi 41 za Surat al-Haj na Hadithi zinazozifasiri kwa kwina Aya hizo ambapo tulifahamu kwamba wale watu walioruhusiwa kupigana Jihadi na Mwenyezi Mungu kujilazimisha kuwanusuru kutokana na hilo, ni kundi maalumu la waja wake waumini ambao wamepambika kwa sifa ya kuwa na ikhlasi ya hali ya juu
  • 21
    Aya na Hadithi (21)
    Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Ni matumaini yetu kwamba mko tayari kusikiliza sehemu hii ya 21 katika mfululizo wa vipindi hivi vya Aya na Hadithi ambavyo bila shaka vinatunufaisha sote kwa pamoja kutokana na masuala tofauti yanayochambuliwa na kujadiliwa humu.
  • 20
    Aya na Hadithi (20)
    Assalaam Aleikum wasikilizaji wapenzi wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza sehemu nyingine mpya ya kipindi hiki cha Aya na Hadithi ambapo kwa juma hili tutazungumzia maandiko matakatifu ambayo yanatuongoza katika kuelewa misdaki na mifano halisi ya watu wanaomnusuru Mwenyezi Mungu kikweli kweli na kwa ikhalsi ambapo kutokana na hilo, Mwenyezi Mungu naye huwanuru kiuhalisi na kwa mifano iliyo wazi.
  • 19
    Aya na Hadithi (19)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Ni matumaini yetu kwamba muko tayari kabisa kusikiliza kipindi hiki mnachokipenda cha Aya na Hadithi ambacho hutufundisha mengi katika maarifa ya Kiislamu, na hasa katika kutushajiisha kufuatilia mambo yanayotuwezesha kupata radhi za Mwenyezi Mungu na kutuepusha na yale yanayomghadhabisha.
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS