Assalaam Aleikum wasikilizaji wapenzi wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya nane ya kipindi hiki ambapo kwa leo tutazungumzia suala la tiba ya Qur'ani dhidi ya magonjwa sugu ya mwili, karibuni.