• Ruwaza Njema (17)

    Ruwaza Njema (17)

    Sep 18, 2019 10:55

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji na Karibuni kusikiliza sehemu ya 17 ya kipindi hiki cha Riwaza Njema ambacho kinakujieni kupitia Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuriya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka Tehran. Kipindi hiki kama mnavyojua huzungumzia maandiko na Hadithi tofauti ambazo huguzia visa mbalimbali vinavyohusiana na tabia njema na ya kuvutia ya Bwana Mtume (saw) ambapo sisi wafausi wake tunapasa kuiga na kuifuata katika maisha yetu ya kila siku.

  • Ruwaza Njema (16)

    Ruwaza Njema (16)

    Sep 18, 2019 10:47

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 16 ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambacho huzungumzia Hadithi za watukufu mbalimbali na hasa wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (saw) kuhusu tabia njema za Mtume huyo ambazo sote Waislamu tunapasa kuziiga na kuzifanyia kazi katika maisha yetu ya kila siku.

  • Ruwaza Njema (15)

    Ruwaza Njema (15)

    Sep 18, 2019 10:40

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran, na karibuni kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema. Kipindi hiki kama mnavyojua huzungumzia Hadithi tofauti kutoka kwa watu wa Nyumba ya Mtume Mtukufu (saw) ambazo hutuongoza na kutuwezesha kuiga tabia njema za mtukufu huyo katika maisha yetu ya kila siku.

  • Ruwaza Njema (9)

    Ruwaza Njema (9)

    Jan 30, 2019 08:33

    Assalaam Alaykum. Ni siku nyingine ambayo tumejaaliwa kukutana nanyi tena wapenzi wasikilizaji katika kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambapo kwa leo tutazungumzia tabia nyingine njema ya mbora wa viumbe, Mtume Mtukufu (saw) kuhusiana na jinsi ya kuamiliana vyema na Watu wa Kitabu yaani Wakristo wanaoishi katika kivuli cha serikali adilifu na inayofuata mafundisho ya Mwenyezi Mungu na namna alivyokuwa akifanya ibada zake, hivyo kuweni nasi hadi mwisho wa kipindi.

  • Ruwaza Njema (8)

    Ruwaza Njema (8)

    Nov 03, 2018 13:05

    (Kumfuata al-Mustafa (saw) katika maneno na kimya chake)

  • Ruwaza Njema (7)

    Ruwaza Njema (7)

    Nov 03, 2018 13:02

    (Kumfuata al-Mustafa (saw) katika maneno na kimya chake)

  • Ruwaza Njema (6)

    Ruwaza Njema (6)

    Nov 03, 2018 12:57

    (Kumuiga al-Mustafa (saw) katika zuhudi na muamala wake mwema)

  • Ruwaza Njema (5)

    Ruwaza Njema (5)

    Nov 03, 2018 12:50

    (Kumuiga al-Mustafa (saw) katika uadilifu, usawa na kumuhimidi Mwenyezi Mungu)

  • Ruwaza Njema (4)

    Ruwaza Njema (4)

    Nov 03, 2018 12:37

    (Kumfuata al-Mustafa (saw) katika maneno na kimya chake)

  • Ruwaza Njema (3)

    Ruwaza Njema (3)

    Nov 03, 2018 12:27

    (Kumfuata al-Mustafa (saw) katika maneno na kimya chake)