• Ruwaza Njema (21)

    Ruwaza Njema (21)

    Sep 18, 2019 11:29

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na karibuni kusikiliza sehemu ya 21 ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambacho kinakujieni kutoka mjini Tehran.

  • Ruwaza Njema (20)

    Ruwaza Njema (20)

    Sep 18, 2019 11:26

    Assalaama Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran.

  • Ruwaza Njema (19)

    Ruwaza Njema (19)

    Sep 18, 2019 11:23

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tunayo furaha ya kukutana nanyi tena katika kipindi kingine cha Ruwaza Njema.

  • Ruwaza Njema (18)

    Ruwaza Njema (18)

    Sep 18, 2019 11:18

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikikutangazieni kutoka mjini Tehran. Ni matumaini yetu kuwa mko tayari kabisa kutegea sikio sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambacho huchambua Hadithi na Riwaya tofauti kuhusiana na tabia njema na ya kupigiwa mfano ya Mtume wetu Mtukufu Muhammad (saw).

  • Ruwaza Njema (17)

    Ruwaza Njema (17)

    Sep 18, 2019 10:55

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji na Karibuni kusikiliza sehemu ya 17 ya kipindi hiki cha Riwaza Njema ambacho kinakujieni kupitia Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuriya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka Tehran. Kipindi hiki kama mnavyojua huzungumzia maandiko na Hadithi tofauti ambazo huguzia visa mbalimbali vinavyohusiana na tabia njema na ya kuvutia ya Bwana Mtume (saw) ambapo sisi wafausi wake tunapasa kuiga na kuifuata katika maisha yetu ya kila siku.

  • Ruwaza Njema (16)

    Ruwaza Njema (16)

    Sep 18, 2019 10:47

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 16 ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambacho huzungumzia Hadithi za watukufu mbalimbali na hasa wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (saw) kuhusu tabia njema za Mtume huyo ambazo sote Waislamu tunapasa kuziiga na kuzifanyia kazi katika maisha yetu ya kila siku.

  • Ruwaza Njema (14)

    Ruwaza Njema (14)

    Feb 19, 2019 06:50

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Kama ilivyo kawaida yetu, katika kipindi hiki pia tutachambua baadhi ya Hadithi za kuaminika kutoka kwa watukufu wa Nyumba ya Mtume (saw) ili zitusaidie na kutuongoza katika njia nyoofu ya kuiga na kufuata mfano mwema wa tabia na nyendo za kuvutia za Mtume (saw) katika maisha yetu ya kila siku.

  • Ruwaza Njema (13)

    Ruwaza Njema (13)

    Feb 19, 2019 06:44

    Assalaam Aleikum Wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambacho hutufafanulia visa na mifano tofauti ya sifa na tabia njema za Mtume Mtukufu (saw), ili nasi tupate kufuata na kujipamba kwa tabia hizo njema.

  • Ruwaza Njema (12)

    Ruwaza Njema (12)

    Feb 06, 2019 14:22

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya 12 katika mfululizo wa vipindi hivi vya Ruwaza Njema.

  • Ruwaza Njema (11)

    Ruwaza Njema (11)

    Feb 06, 2019 14:17

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya 11 ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambapo kwa leo tutazungumzia sifa njema ya Mtume Mtukufu (saw) ambaye ni mbora wa viumbe, ya kusamehe watu na kuwaongoza kwenye heri kuu, hata tunapokuwa na uwezo wa kulipiza kisasi kwa mabaya waliyotufanyia.