Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Alfajiri Kumi

  • Mapinduzi ya Kiislamu Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii (2): Mapinduzi ya Kiislamu yalivyojipambanua na mapinduzi mengine makubwa duniani

    Mapinduzi ya Kiislamu Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii (2): Mapinduzi ya Kiislamu yalivyojipambanua na mapinduzi mengine makubwa duniani

    Jul 06, 2020 05:54

    Tukiendelea na pale yalipoishia mazungumzo yetu katika kipindi kilichopita, katika kueleza sifa zinazoyapambanua na kuyatafautisha Mapinduzi ya Kiislamu na mapinduzi mengine makubwa katika namna ya kutokea kwake, sifa nyingine ya kipekee ya mapinduzi hayo inahusu uongozi wa mapinduzi yenyewe.

  • Mapinduzi ya Kiislamu Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii (1):  Mapinduzi ya Kiislamu yalivyojipambanua na mapinduzi mengine makubwa duniani

    Mapinduzi ya Kiislamu Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii (1): Mapinduzi ya Kiislamu yalivyojipambanua na mapinduzi mengine makubwa duniani

    Jul 06, 2020 05:19

    Karne ya 20 tunaweza kuipa jina la Karne ya Mapinduzi. Mapinduzi ya mwanzo makubwa yaliyotokea katika karne hiyo yalikuwa ya Urusi ya mwaka 1917, yakafuatiwa na mengine kama mapinduzi ya China, Cuba, Iran na Nicaragua. Lakini hakuna shaka kuwa, mapinduzi muhimu zaidi na ya kipekee zaidi katika karne ya 20 yalikuwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyotokea mwaka 1979.

  • Kiongozi Muadhamu atilia mkazo udharura wa kujifunza fikra za hayati Imam Khomeini

    Kiongozi Muadhamu atilia mkazo udharura wa kujifunza fikra za hayati Imam Khomeini

    Jun 04, 2020 07:39

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema jana alihutubia taifa kwa njia ya televisheni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyoaga dunia hayati Imam Ruhullah Khomeini, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akisema kuwa kutaka mabadiliko, kuwa na ari ya kufanya mabadiliko na kuyafanya mageuzi ni miongoni mwa sifa muhimu za hayati Imam Khomeini.

  • Sheikh Isa Qassim: Umma wa Kiislamu una wajibu wa kulinda Mapinduzi ya Kiislamu

    Sheikh Isa Qassim: Umma wa Kiislamu una wajibu wa kulinda Mapinduzi ya Kiislamu

    Jun 04, 2020 07:38

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini (MA) yanafanana na ya Mitume na kusisitiza kwamba umma wote wa Kiislamu una wajibu wa kuyalinda mapinduzi hayo.

  • Nuru ya Imani katika Mwamko wa Imam Khomeini MA

    Nuru ya Imani katika Mwamko wa Imam Khomeini MA

    Feb 13, 2020 06:21

    Hamjambo wapenzi wasikilizake na karibuni kujiunga nami katika makala hii tuliyokutayarishieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ambapo leo tutaangazia namna fikra za Imam Khomeini MA, zilivyoweza kuenea na kuwavutia wasomi wengi duniani.

  • Rouhani: Iran inaendelea kustawi licha ya njama za maadui

    Rouhani: Iran inaendelea kustawi licha ya njama za maadui

    Feb 11, 2020 12:18

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kustawi na kuimarika licha ya uhasama na njama za maadui hususan Marekani, na kwamba 'Mapinduzi ya Kiislamu' lilikuwa chaguo la taifa zima la Iran.

  • Taifa la Iran laadhimisha miaka 41 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Taifa la Iran laadhimisha miaka 41 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 11, 2020 12:09

    Mamilioni ya wananchi wa Iran wamejitokeza mabarabarani katika miji na vijiji vya nchi hii kushiriki matembezi ya Bahman 22, kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 41 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Hakim: Mapinduzi ya Kiislamu yaliibua mlingano mpya katika eneo

    Hakim: Mapinduzi ya Kiislamu yaliibua mlingano mpya katika eneo

    Feb 11, 2020 04:45

    Mwenyekiti wa Mrengo wa Kitaifa wa Hikmat nchini Iraq amesema, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini MA yameweza kuvunja njama zote za maadui dhidi ya Iran katika kipindi cha miaka 40 iliyopita sambamba na kuibua mlingano mpya katika eneo la Asia Magharibi na dunia nzima kwa ujumla.

  • Rais Rouhani: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani ni ugaidi dhidi ya taifa la Iran

    Rais Rouhani: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani ni ugaidi dhidi ya taifa la Iran

    Feb 10, 2020 15:02

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema vikwazo vya kidhalimu vya Marekani ni kitendo cha ugaidi dhidi ya taifa lote la Iran.

  • Velayati: Mapinduzi ya Kiislamu yamepiga hatua kubwa ndani ya miaka 40

    Velayati: Mapinduzi ya Kiislamu yamepiga hatua kubwa ndani ya miaka 40

    Feb 10, 2020 12:49

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, taifa hili limepata mafanikio mengi katika nyuga za kisiasa, kiuchumi na kijamii ndani ya miongo minne ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Shamkhani azionya nchi za Ghuba ya Uajemi kutocheza na “mistari myekundu” ya Iran

    Shamkhani azionya nchi za Ghuba ya Uajemi kutocheza na “mistari myekundu” ya Iran

    3 hours ago
  • Amnesty yataka uchunguzi wa uhalifu wa kivita wa RSF nchini Sudan.

  • Microsoft yalaumiwa kuhusika na jinai za Israel za maauaji kimbari dhidi ya Gaza

  • Waziri Mkuu wa Somalia akosoa kauli za dharau za Trump kuhusu Somalia na wahamiaji wa Kisomali

  • Televisheni ya Kiebrania ya Iran yazua wasiwasi katika vyombo vya habari vya Israel

Chaguo La Mhariri
  • Vita vya Kijasusi; Kadi ya Ushindi ya Iran dhidi ya Utawala wa Kizayuni

    Vita vya Kijasusi; Kadi ya Ushindi ya Iran dhidi ya Utawala wa Kizayuni

    3 hours ago
  • Iran: Mhimili wa muungano na uongozi katika ushirikiano wa kupambana na ugaidi katika jumuiya ya SCO

    Iran: Mhimili wa muungano na uongozi katika ushirikiano wa kupambana na ugaidi katika jumuiya ya SCO

    12 hours ago
  • Je, kujitawala kiuchumi Niger kutakuwa pigo la mwisho kwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

    Je, kujitawala kiuchumi Niger kutakuwa pigo la mwisho kwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Soko la ujenzi na nyumba Israel limeporomoka baada ya Vita vya Siku 12 na Iran

  • Mbunge Ilhan Omar amjibu Trump kwa kumwita yeye na wahamiaji Wasomali "takataka"

  • Putin: Tuko tayari kupigana na Ulaya kama itataka vita

  • Utajiri wa madini ya Yemen na jicho la tamaa la madola ya kibeberu

  • Kiongozi Mkuu: Jamhuri ya Kiislamu imebatilisha mantiki potofu ya Magharibi kuhusu mwanamke

  • Russia: Hakuna mazungumzo ya kusitisha mapigano mkesha wa Mwaka Mpya

  • Maduro aapa Venezuela haitakubali "amani ya utumwa" ya Marekani

  • China yapinga uingiliaji wa Marekani katika masuala ya Venezuela

  • Kamanda wa IRGC: Usalama wa Ghuba ya Uajemi ni 'mstari mwekundu'

  • Libya: Tutawatendea wakimbizi wa Sudan kama Walibya, watapatiwa huduma za skuli na hospitali

  • Je, kujitawala kiuchumi Niger kutakuwa pigo la mwisho kwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS