Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Matunda ya Mapinduzi ya Kiislamu

  • Zakzaky akiwa Tehran: Mapinduzi ya Kiislamu yataleta mabadiliko duniani

    Zakzaky akiwa Tehran: Mapinduzi ya Kiislamu yataleta mabadiliko duniani

    Oct 11, 2023 12:09

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) amesema anatumai Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yataleta mabadiliko na mageuzi katika kona zote za dunia.

  • Iran yamshambulia Macron kwa kukutana na wanaopinga Mapinduzi ya Kiislamu

    Iran yamshambulia Macron kwa kukutana na wanaopinga Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 18, 2023 10:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemjia juu Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kukutana na 'shakhsia' wanaopinga mfumo wa uongozi na Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran tokeo mwaka 1979.

  • Juhudi tasa za miongo minne za Marekani za kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Juhudi tasa za miongo minne za Marekani za kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Feb 12, 2023 12:09

    Mamilioni ya Wairani jana Jumamosi walishiriki katika maandamano ya maadhimisho ya tarehe 22 Bahman (Februari 11) na kuadhimisha kwa hamasa kubwa miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Mapinduzi ya Kiislamu: Ilhamu ya kuhuisha Ustaarabu wa kisasa wa Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu: Ilhamu ya kuhuisha Ustaarabu wa kisasa wa Kiislamu

    Feb 12, 2023 07:26

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mnaponitegea sikio wakati huu. Nakukaribisheni kwa moyo mkunjufu kusikiliza mfululizo mwingine wa vipindi hivi maalumu tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ambapo maudhui yetu ya leo ni kuhuishwa Ustaarabu wa kisasa wa Kiirani na Kiislamu. Endeleeni kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Ijumaa, tarehe 10 Februari, 2023

    Ijumaa, tarehe 10 Februari, 2023

    Feb 10, 2023 02:24

    Leo Ijumaa tarehe 19 Rajab mwaka 1444 Hijria sawa na 10 Februari 2023.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza ulazima wa kuwepo umoja wa kitaifa na kukabiliana na mikakati ya adui

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza ulazima wa kuwepo umoja wa kitaifa na kukabiliana na mikakati ya adui

    Feb 09, 2023 10:48

    Umoja wa kitaifa na umoja wa jamii una nafasi maalum kwa watu wa kila nchi. Bila kuwepo umoja wa kitaifa, uhai wa nchi na taifa hauwezi kupatikana. Umoja wa kitaifa unamaanisha umoja wa taifa kubwa na lenye fahari la Iran ambao ni siri ya ushindi wa taifa hili na sababu ya kuimarishwa jamii.

  • Jumamosi, 4 Februari, 2023

    Jumamosi, 4 Februari, 2023

    Feb 04, 2023 02:14

    Leo ni Jumamosi tarehe 13 Rajab 1444 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 4 Februari 2023 Miladia.

  • Nafasi ya Utawala wa Faqihi katika Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Nafasi ya Utawala wa Faqihi katika Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 02, 2023 12:34

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 44 wa ushidi wa Mapinduzi ya Kiislau ya nchini Iran.

  • Afajiri Kumi, Mja Mwema

    Afajiri Kumi, Mja Mwema

    Feb 02, 2023 12:30

    Tunakaribia Afajiri Kumi za mwaka wa 44 wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran. Tumekutayarishieni vipindi kadhaa maalumu kwa mnasaba huu ambavyo tunatumai vitakunufaisheni nyote wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, karibuni.

  • Rais Raisi: Licha ya fitna na njama zote, Mapinduzi ya Kiislamu yamezidi kudhihirika duniani

    Rais Raisi: Licha ya fitna na njama zote, Mapinduzi ya Kiislamu yamezidi kudhihirika duniani

    Jan 31, 2023 11:49

    Rais Ebrahim Raisi amesema: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran chini ya uongozi wa Imam Khomeini (MA) yamedumu licha ya fitna na njama zote za adui na yamezidi kudhihirika duniani.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Hamas: Kutambuana kati ya

    Hamas: Kutambuana kati ya "Israel" na "Somaliland" ni mfano hatari

    8 hours ago
  • Ujumbe wa kwanza wa Umoja wa Mataifa wawasili El Fasher kutathmini hali ya mambo

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Marekani inatumia 'sheria ya mwituni' badala ya diplomasia

  • Ayatullah Khamenei: Mashambulizi ya Marekani na Israel yalishindwa kwa hima na ushujaa wa vijana wa Iran

  • Muungano wa waandishi wa habari wa Palestina: Israel 'inawanyamazisha' waandishi habari kwa mashambulizi ya kimfumo

Chaguo La Mhariri
  • Balozi wa Iran nchini Russia na Mufti wa Moscow wasisitiza ushirikiano wa kidini

    Balozi wa Iran nchini Russia na Mufti wa Moscow wasisitiza ushirikiano wa kidini

    8 hours ago
  • Ujumbe Kiongozi Muadhamu kwa Umoja wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya; kubebwa na Iran bendera ya kukabiliana na utaratibu usio wa kiadilifu

    Ujumbe Kiongozi Muadhamu kwa Umoja wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya; kubebwa na Iran bendera ya kukabiliana na utaratibu usio wa kiadilifu

    9 hours ago
  • Taasisi za Palestina: Maelfu ya wafungwa wanateswa katika magereza ya Israel

    Taasisi za Palestina: Maelfu ya wafungwa wanateswa katika magereza ya Israel

    14 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Polisi wa Zambia apongezwa kwa kukataa hongo ya $50,000 kwenye uwanja wa ndege wa Lusaka

  • Hamas yasambaza simulizi ya pili ya kimbunga cha al Aqsa, Muqawama hauwezi kufutwa

  • Shukurani za Venezuela kwa Iran kwa msimamo wake thabiti wa kuitetea Caracas

  • Ayatullah Khatami: Adui atakumbwa na usiku wa giza iwapo atasababisha madhara kwa Iran

  • Iran yalaani vikali shambulio baya la kigaidi nchini Syria

  • Trump asema US imeshambulia kijeshi ndani ya Nigeria kuwalenga wanaoua wakristo wasio na hatia

  • Ayatullah Khamenei: Mashambulizi ya Marekani na Israel yalishindwa kwa hima na ushujaa wa vijana wa Iran

  • Gharibabadi: Mashambulizi ya adui dhidi ya raia wakati wa vita yamethibitisha suala la nyuklia lilikuwa kisingizio tu

  • Takriban watu 5 wameuawa katika shambulio la kigaidi msikitini wakati wa Sala ya Ijumaa huko Homs, Syria

  • Araghchi: Vita vya siku 12 vilimalizika kwa heshima, hadhi na ushindi kwa Iran

  • UN yalaani vikali shambulio la kigaidi lililoua waumini msikitini jimboni Borno, Nigeria

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS