Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nairuzi (Mwaka Kogwa)

  • Ijumaa, tarehe 21 Machi, mwaka 2025

    Ijumaa, tarehe 21 Machi, mwaka 2025

    Mar 21, 2025 03:27

    Leo ni Ijumaa tarehe 20 Ramadhani 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 21 Machi mwaka 2025.

  • Salamu za Nouruzi za Rais Pezeshkian kwa Wairan: Tutaifanya qadar yetu iwe bora na tukufu zaidi

    Salamu za Nouruzi za Rais Pezeshkian kwa Wairan: Tutaifanya qadar yetu iwe bora na tukufu zaidi

    Mar 20, 2025 12:48

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza katika ujumbe na salamu zake za Nouruzi kwa wananchi wa Iran kwamba, Nouruzi na Usiku wa Qadar (Lailatul-Qadr) ni miale miwili ya nuru moja na madhihirisho mawili ya hakika na ukweli mmoja, na akafafanua kwa kusema: "katika mzunguko mpya wa masiku, tutaifanya qadari yetu iwe bora na tukufu zaidi kuliko ilivyo sasa".

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wa Nowruz: 1402; Mwaka wa 'Udhibiti wa Mfumuko wa Bei, Ukuaji wa Uzalishaji'

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wa Nowruz: 1402; Mwaka wa 'Udhibiti wa Mfumuko wa Bei, Ukuaji wa Uzalishaji'

    Mar 21, 2023 03:30

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ametuma ujumbe kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1402 Hijria Shamsia akitoa pongezi kwa wananchi wa Iran na mataifa yote yanayosherehekea Nowruz.

  • Takht Ravanchi: Tupateni ilhamu katika ujumbe wa amani, urafiki, mshikamano na upendo wa Nouruzi

    Takht Ravanchi: Tupateni ilhamu katika ujumbe wa amani, urafiki, mshikamano na upendo wa Nouruzi

    Mar 23, 2022 06:36

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema, "tupateni ilhamu katika ujumbe wa amani, urafiki, mshikamano na upendo wa Nouruzi."

  • Waziri wa Afya Kenya: Hoteli na migahawa isiwapokee watu ambao hawajachanjwa

    Waziri wa Afya Kenya: Hoteli na migahawa isiwapokee watu ambao hawajachanjwa

    Dec 28, 2021 08:02

    Serikali ya Kenya kupitia Wizara ya Afya, imeagiza migahawa na hoteli kutotoa huduma kwa wateja ambao hawajachanjwa kama njia ya kukabiliana na maambukizi ya COVID-19 nchini humo hususan katika kipindi hiki cha sikukuu za mwishoni mwa mwaka.

  • Kiongozi Muadhamu: Marekani imekosea katika kuamiliana na Iran na pia inafanya makosa katika eneo

    Kiongozi Muadhamu: Marekani imekosea katika kuamiliana na Iran na pia inafanya makosa katika eneo

    Mar 21, 2021 16:57

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuhusu kutoaminika Marekani katika masuala mbali mbali likiwemo suala la mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kuongeza kuwa, Wamarekani wamekosea katika mauamala wao na Iran na pia wanakosea kwa ujumla katika masuala ya eneo la Asia Magharibi.

  • Rouhani atoa mkono wa kheri kwa viongozi wa nchi zinazoadhimisha mwaka mpya 1400 (Nowruz)

    Rouhani atoa mkono wa kheri kwa viongozi wa nchi zinazoadhimisha mwaka mpya 1400 (Nowruz)

    Mar 21, 2021 04:20

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewanyooshea mkono wa kheri, baraka na fanaka viongozi na marais wenzake wa nchi kadhaa duniani ambazo zinaadhimisha sherehe za Nowruz (Nairuzi) za kuwadia mwaka mpya wa 1400 Hijria Shamsia.

  • Wanadiplomasia Tehran washiriki katika sherehe za mwaka mpya wa Kiirani, Nowruz

    Wanadiplomasia Tehran washiriki katika sherehe za mwaka mpya wa Kiirani, Nowruz

    Mar 16, 2021 08:04

    Mabalozi na wawakilishi wa zaidi ya nchi 80 na pia wawakilishi wa taasisi za kimataifia nchini Iran wameshiriki katika maadhimisho ya mwaka mpya wa Kiirani Nowruz ambao unatazamiwa kuanza Machi 21.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; viongozi wa Marekani ndio watuhumiwa wa kuzalisha corona

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; viongozi wa Marekani ndio watuhumiwa wa kuzalisha corona

    Mar 23, 2020 09:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia ugonjwa wa COVID-19 ulioenea dunia nzima na kukataa msaada wowote wa Marekani kwa Iran akisema kuwa, viongozi wa Marekani ndio watuhumiwa wa kuzalisha kirusi cha corona hivyo si watu wa kuaminika na kwamba mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukubali msaada wao.

  • Katibu Mkuu wa UN atuma ujumbe kwa munasaba wa Nowruz

    Katibu Mkuu wa UN atuma ujumbe kwa munasaba wa Nowruz

    Mar 21, 2020 01:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametuma salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa kuwadia siku kuu ya Nowruz (Nairuzi) ya mwaka mpya wa Hijria Shamsia na wakati huo huo akatuma salamu za rambi rambi kutokana na kupoteza maisha idadi kubwa ya watu kutokana na ugonjwa wa COVID-19 au corona.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Rais Pezeshkian: Taifa la Iran limetoa somo kubwa kwa wavamizi wa Kizayuni

    Rais Pezeshkian: Taifa la Iran limetoa somo kubwa kwa wavamizi wa Kizayuni

    11 hours ago
  • Imam wa Swala ya Ijumaa Tehran: Vita vya Siku 12 vilikuwa dhihirisho la imani ya Tauhidi ya taifa la Iran

  • Borrell: Mamluki wa Kimarekani wameua Wapalestina 550 huko Gaza katika mwezi mmoja

  • Rais Ruto akiri kujenga kanisa ndani ya Ikulu ya Rais, asema: Sitaomba msamaha

  • UNRWA: Watu wa Gaza wanazirai mitaani kwa sababu ya njaa

Chaguo La Mhariri
  • Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

    Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

    15 hours ago
  • Kwa nini shambulio la Israel na Marekani dhidi ya Iran limetoa pigo kubwa kwa NPT?

    Kwa nini shambulio la Israel na Marekani dhidi ya Iran limetoa pigo kubwa kwa NPT?

    2 days ago
  • Jibu la Iran kwa ombi la Kundi la G7 kwa ajili ya kufanya mazungumzo

    Jibu la Iran kwa ombi la Kundi la G7 kwa ajili ya kufanya mazungumzo

    3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kwa nini shambulio la Israel na Marekani dhidi ya Iran limetoa pigo kubwa kwa NPT?

  • Afisa wa Israel: Kujenga upya uharibifu uliotokana na mashambulio ya Iran kutachukua miaka

  • Makamanda wa juu waahidi kutoa kipigo kikali zaidi iwapo Iran itashambuliwa tena

  • Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

  • Utafiti: Asilimia 77 ya Wairani 'wanajivunia' uwezo wa makombora na droni wa jeshi dhidi ya uvamizi wa Israel

  • Araqchi: Mazungumzo ya kuhitimisha mpango wa nyuklia wa Iran hayakubaliki

  • Maduro: Nimeifuta WhatsApp kwa sababu inatumika katika ujasusi na mauaji

  • Rais Pezeshkian: Taifa la Iran limetoa somo kubwa kwa wavamizi wa Kizayuni

  • Maandamano Uturuki ya kulaani katuni za kumvunjia heshima Mtume (SAW)

  • Francesca Albanese: Makampuni kadhaa ya kimataifa yanahusika katika mauaji ya kimbari ya Gaza

  • Chama cha siasa cha '47 Voices of Kenya Congress', chaingia rasmi kwenye uwanja wa siasa

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS