Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nairuzi (Mwaka Kogwa)

  • Jumanne, 30 Septemba, 2025

    Jumanne, 30 Septemba, 2025

    Sep 30, 2025 02:21

    Leo ni Jumanne tarehe 7 Rabiul-Thani mwaka 1447 Hijria Qamaria, sawa na tarehe 8 mwezi Mehr mwaka 1404 Hijria Shamsia inayosadifiana na tarehe 30 Septemba 2025 Miladia.

  • Ijumaa, tarehe 21 Machi, mwaka 2025

    Ijumaa, tarehe 21 Machi, mwaka 2025

    Mar 21, 2025 03:27

    Leo ni Ijumaa tarehe 20 Ramadhani 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 21 Machi mwaka 2025.

  • Salamu za Nouruzi za Rais Pezeshkian kwa Wairan: Tutaifanya qadar yetu iwe bora na tukufu zaidi

    Salamu za Nouruzi za Rais Pezeshkian kwa Wairan: Tutaifanya qadar yetu iwe bora na tukufu zaidi

    Mar 20, 2025 12:48

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza katika ujumbe na salamu zake za Nouruzi kwa wananchi wa Iran kwamba, Nouruzi na Usiku wa Qadar (Lailatul-Qadr) ni miale miwili ya nuru moja na madhihirisho mawili ya hakika na ukweli mmoja, na akafafanua kwa kusema: "katika mzunguko mpya wa masiku, tutaifanya qadari yetu iwe bora na tukufu zaidi kuliko ilivyo sasa".

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wa Nowruz: 1402; Mwaka wa 'Udhibiti wa Mfumuko wa Bei, Ukuaji wa Uzalishaji'

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wa Nowruz: 1402; Mwaka wa 'Udhibiti wa Mfumuko wa Bei, Ukuaji wa Uzalishaji'

    Mar 21, 2023 03:30

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ametuma ujumbe kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1402 Hijria Shamsia akitoa pongezi kwa wananchi wa Iran na mataifa yote yanayosherehekea Nowruz.

  • Takht Ravanchi: Tupateni ilhamu katika ujumbe wa amani, urafiki, mshikamano na upendo wa Nouruzi

    Takht Ravanchi: Tupateni ilhamu katika ujumbe wa amani, urafiki, mshikamano na upendo wa Nouruzi

    Mar 23, 2022 06:36

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema, "tupateni ilhamu katika ujumbe wa amani, urafiki, mshikamano na upendo wa Nouruzi."

  • Waziri wa Afya Kenya: Hoteli na migahawa isiwapokee watu ambao hawajachanjwa

    Waziri wa Afya Kenya: Hoteli na migahawa isiwapokee watu ambao hawajachanjwa

    Dec 28, 2021 08:02

    Serikali ya Kenya kupitia Wizara ya Afya, imeagiza migahawa na hoteli kutotoa huduma kwa wateja ambao hawajachanjwa kama njia ya kukabiliana na maambukizi ya COVID-19 nchini humo hususan katika kipindi hiki cha sikukuu za mwishoni mwa mwaka.

  • Kiongozi Muadhamu: Marekani imekosea katika kuamiliana na Iran na pia inafanya makosa katika eneo

    Kiongozi Muadhamu: Marekani imekosea katika kuamiliana na Iran na pia inafanya makosa katika eneo

    Mar 21, 2021 16:57

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuhusu kutoaminika Marekani katika masuala mbali mbali likiwemo suala la mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kuongeza kuwa, Wamarekani wamekosea katika mauamala wao na Iran na pia wanakosea kwa ujumla katika masuala ya eneo la Asia Magharibi.

  • Rouhani atoa mkono wa kheri kwa viongozi wa nchi zinazoadhimisha mwaka mpya 1400 (Nowruz)

    Rouhani atoa mkono wa kheri kwa viongozi wa nchi zinazoadhimisha mwaka mpya 1400 (Nowruz)

    Mar 21, 2021 04:20

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewanyooshea mkono wa kheri, baraka na fanaka viongozi na marais wenzake wa nchi kadhaa duniani ambazo zinaadhimisha sherehe za Nowruz (Nairuzi) za kuwadia mwaka mpya wa 1400 Hijria Shamsia.

  • Wanadiplomasia Tehran washiriki katika sherehe za mwaka mpya wa Kiirani, Nowruz

    Wanadiplomasia Tehran washiriki katika sherehe za mwaka mpya wa Kiirani, Nowruz

    Mar 16, 2021 08:04

    Mabalozi na wawakilishi wa zaidi ya nchi 80 na pia wawakilishi wa taasisi za kimataifia nchini Iran wameshiriki katika maadhimisho ya mwaka mpya wa Kiirani Nowruz ambao unatazamiwa kuanza Machi 21.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; viongozi wa Marekani ndio watuhumiwa wa kuzalisha corona

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; viongozi wa Marekani ndio watuhumiwa wa kuzalisha corona

    Mar 23, 2020 09:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia ugonjwa wa COVID-19 ulioenea dunia nzima na kukataa msaada wowote wa Marekani kwa Iran akisema kuwa, viongozi wa Marekani ndio watuhumiwa wa kuzalisha kirusi cha corona hivyo si watu wa kuaminika na kwamba mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukubali msaada wao.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Kiongozi Mkuu: Jamhuri ya Kiislamu imebatilisha mantiki potofu ya Magharibi kuhusu mwanamke

    Kiongozi Mkuu: Jamhuri ya Kiislamu imebatilisha mantiki potofu ya Magharibi kuhusu mwanamke

    3 hours ago
  • Azimio la UN: Israel inaikalia "kinyume cha sheria" Miinuko ya Golan ya Syria, iondoke kikamilifu

  • Libya: Tutawatendea wakimbizi wa Sudan kama Walibya, watapatiwa huduma za skuli na hospitali

  • Papa Leo: Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya zinachochewa na wanaotaka kuwatenga wengine

  • Mbunge Ilhan Omar amjibu Trump kwa kumwita yeye na wahamiaji Wasomali "takataka"

Chaguo La Mhariri
  • Je, kujitawala kiuchumi Niger kutakuwa pigo la mwisho kwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

    Je, kujitawala kiuchumi Niger kutakuwa pigo la mwisho kwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

    8 hours ago
  • Utajiri wa madini ya Yemen na jicho la tamaa la madola ya kibeberu

    Utajiri wa madini ya Yemen na jicho la tamaa la madola ya kibeberu

    15 hours ago
  • Kwa nini Marekani inafanya njama za kuidhibiti Venezuela?

    Kwa nini Marekani inafanya njama za kuidhibiti Venezuela?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Qalibaf: Manuva ya Sahand 2025 ni ishara ya nguvu ya mataifa huru dhidi ya madola ya kibeberu

  • Putin: Tuko tayari kupigana na Ulaya kama itataka vita

  • Kwa nini Marekani inafanya njama za kuidhibiti Venezuela?

  • Soko la ujenzi na nyumba Israel limeporomoka baada ya Vita vya Siku 12 na Iran

  • Rais Samia: Vurugu za uchaguzi zililenga kuiangusha serikali

  • Utajiri wa madini ya Yemen na jicho la tamaa la madola ya kibeberu

  • Ma'ariv: Jeshi la Israel limechoka baada ya miaka miwili ya vita

  • Mbunge Ilhan Omar amjibu Trump kwa kumwita yeye na wahamiaji Wasomali "takataka"

  • Maduro aapa Venezuela haitakubali "amani ya utumwa" ya Marekani

  • Russia: Hakuna mazungumzo ya kusitisha mapigano mkesha wa Mwaka Mpya

  • Papa Leo: Kuundwa taifa la Palestina ndio suluhisho pekee la amani

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS